Kuna watoto walikuwa wanacheza,mwenzao mmoja akaanza kulia,wakati analia mtumishi wa Mungu akawa anapita,mtumishi akamuuliza "mtoto mbona unalia?"
Mtoto akamjibu,"natafuta yeboyebo zangu sizioni...
Due to increasing products liability litigation,
liquour manufacturers
have accepted the FDA's suggestion that the
following warning labels be
placed immediately on all containers...
Nina matatizo makubwa sana ambayo nisingependa kuyaanika hapa upenuni. Naomba ridhaa ya mwanajf yoyote yule wakike anipm ili aweze kunisaidia tafadhali.
angalizo: huu si utani, nipo siriaz nina...
Toto lisilo lako utalijua tu.Linacheza mpira wa chandimu na wenzie,bahati mbaya wanakupiga na ule mpira,unauchukua na kuuficha,watoto wengine watakimbia,lenyewe litakuja kifua mbele kwa hasira...
Kila baba mwenye mtoto umwambia mtoto wao eti soma kwa nguvu zote achana na michezo ya ajabu tena kwa ukali.kwani mimi enzi zangu nilikuwa nashika namba moja.je baba yake nani alikuwa anakuwa wa...
Kuna swali linalonisumbua sana kama kuna mtu anayejua anisaidie.
Ni kwa nini wakati wa kushiriki tendo takatifu la ndoa, sehemu iliyo safi hulazimika kutumia kinga wakati sehemu chafu(mdomoni)...
Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2005, nilikuwa naelekea Mbagala kwenye kiwanda cha kutengeneza kanga na vitenge cha KTM. Nilikuwa ndio kwanza nimefungua biashara ya kuuza kanga na vitenge na nilikuwa...
Mwanamke mmoja mkazi huko moshi ambae alisadikika kumuua mumewe mwenye kipato (kama kawaida yao) basi baada ya mumewe kufariki ndugu na jamaa na marafiki walikusanyika kwa ajili ya kumuaga mpendwa...
A junior in an office dialed his boss's number by mistake & said :
Hey, send a coffee in my cabin in two minutes !...........boss shouted : do you know whom you're talking to ?!!!!!!
Junior ...
Nilikuwa na mpenzi wangu na nilimpenda sana,kutokana na tabia yake ya kutokuwa mwaminifu nikaona bora tuachane.Sasa leo nimebahatika kuingia kwenye profile yake fb na nimekuta keshaanza...
Aisee we acha tu ilikua ni balaaa yeye alikua mtoto wa dar mimi wa Moshi.
Nilianza nae form I (one) mzigo kaja nipa form two tena wakati tunafunga mid-term.
Ilikua madikodiko yangu yote nampa...
This is what a guy wrote to our systems analyst:
Dear Systems Analyst, I am desperate for some help! I recently upgraded my program from Girlfriend to Wife and found that the new program began...
leo nimekutana kwa mara ya kwa na konda wa daladala mkweli alikuwa anapiga debe hivi
konda; twende kariakoo ya kuna nafasi za kusimama ....haya wale wakuchelea kariakoo ya kuchelewa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.