JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kwema wapendwa? Kutokana na malalamiko ya baadhi ya members kuhusu avatar yangu, nimeamua kuchukua maamuzi ambayo ninadhani ni sahihi kwa mustakabali wangu na mustakabali wa JF kwa ujumla. Baadhi...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Mambo ya mshahara kutokupanda kwa kukidhi VS bei ya mafuta, sukari etc
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Kula gizani ni kula na shetani. To eat in the dark is to eat with the devil. This belief discourages eating In the dark, for obvious reasons. Kushona nguo mwilini kunaleta ufukara; tabia hii...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
jamani nawaombeni sana watu ambao mnapenda kufanya sherehe bila ya kuwa na fedha muache tabia hiyo. unakuta mtu hana hela ila anapenda tu kuwakusanya watu na kuwapotezea muda kwa mambo yasiyo na...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari ya siku wapendwam Nimewamiss sana maana sikuwa kwa jukwaa kwa muda kidogo but now nimerudi. Leo natangaza rasmi kwamba nataka kuwa JF Premium Member kwasababu nimekuwa naanzisha threads na...
3 Reactions
42 Replies
4K Views
Habari wana jf. Rafiki yangu mmoja amenisimulia juu ya bro wake aliyeoa mke kutoka kigoma. Sasa jamaa alikuwa anatoka nje ya ndoa ila kila akikutana na hawara yake, jogooi hasimami ila akirudi kwa...
0 Reactions
99 Replies
11K Views
Habari za mchana wanajamvi? Nina swali kidogo la uzushi. Ni hivi umemtia mimba mwanafunzi na kosa la kumtia mimba mwanafunzi nchini Tanzania ni kwenda jela miaka 30,baba wa mwanafunzi ameshashtaki...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
pamoja na ukweli kwamba ni maadui wangu wa muda mlefu,ila nawapenda tu baasi,maadui zangu wenyewe ni 1.Tropical 2.Rejao 3.ritz 4.Faiza foxy 5.mzee..nimewapanga kulingana na uzito wa wa kero zao...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
(MGAMBO)>:Aroo,kwanini unakunywa gongo mchana mchana tena hadharani?,hii nchi ya babako? (MLEVI)>:Na wewe kwa nini unanifokea mchana mchana tena hadharani,hii nchi ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
ABCDEFG HIJK LMNOP QRST UVWXYZ 12345 67890 .,'?!"-( )@ /:_;+&%*=<> £€$¥&#8377;[]¤{ } \~^`¡§¿§#| ebwana nashukuru iko poa, NILIKUWA NATEST KEYPAD YANGU ILIKUWA INAZINGUA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mateja wawili wako juu gorofani wakiendeleza sniff, cocktail na kujidunga huku wakiwa wanaingalia man'dhari (city view) ya jiji la Mwanza kw chini wao wakiwa juu issue ikawa :- Teja 1 :- Nambie...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
hivi ni kweli wanawake kutoka pande za kaskazini especially kilimanjaro yaani uchagani hawajui kukatika viuno wanapokuwa kunako 6/6
0 Reactions
12 Replies
2K Views
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa kanifuraisha sana
2 Reactions
39 Replies
4K Views
  • Closed
Ni wazi hakuna anebisha ushupavu wa dada (mh Halima mdee) njee na ndani ya Bunge. ni mmoa wa wabunge wa kwanza kuchukua jimbo la Dar Es kama mgombea mwanamke kutoka kambi ya upinzani. ni mmoja ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Msichana mzuri aliweka tangazo kwenye gazeti akisema anatafuta mwanaume atakayemwoa,ambaye hata mwacha na atamridhisha kitandani. kesho yake akashangaa jamaa anagonga mlango hana miguu wala...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Kihoja hiki kimejiri muda wa saa 7 mchana pale bibi akiwa angania alipodondoka chini maeneo ya mfumoni(wenyeji mnapajua). Bibi huyo aliambatana na mtoto mmoja wa kike kwa wenyeji wanasema...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
I was following news the other evening, suddenly I saw news piece with Mr. President as the focal of attention. The news flash made me think of our top CEO, I realized I’m short of expression...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
tofauti kati ya ukweli na hali halisi
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau, Kunakipimo cha uwezo wa mtu kufikiria, ubunifu, au kuelewa mambo haraka(IQ), na kipimo cha chini ni IQ 70 na cha juu zaidi ni IQ 180 Kikwete (IQ) --------Nyerere (IQ) kufikiri 40...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Katika hali isiyo ya kawaida leo asubuhi nimefika Ofisini kwangu. Si unajua tena mambo ya kujiajiri. Nina ka salon kangu na mtaani kuna salon mbili nyingine. Lakini kufika mlangoni nikakuta kuna...
0 Reactions
66 Replies
5K Views
Back
Top Bottom