JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimejiunga wanajamii forum,natumaini huku mko poa ,nimewaletea zawadi
0 Reactions
49 Replies
4K Views
A husband wrote a message to his wife on his official trip and forgort to add 'e' at the end of a word:- 'Am having such a wonderful time! I wish u were her..... Kiingerereza hicho bora ukosee...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
*Tunafuraha kujiunga na jukwaa hili kwa mara ya kwanza, lkn kikazi zaidi. *Tungependa kufahamu mwanamke wa kisasa yukoje? Maoni yako ni muhimu sana kwetu. Asante
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Najitahidi kutafuta hata story ya kutunga tu ili nianzishie thread 'Cheat-Chat' lakini zote zinakataa. Huwa sina raha kabisa nikimaliza siku mbili bila kupost kitu.
3 Reactions
31 Replies
3K Views
inasemekana kesho ni siku ya choo duniani.yaani world toilet day..dah! Wazungu nao bana.nipe maoni kuhusu hio day.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimeona niwasalimie tu,msije mkadhani senetor keisha kufa bure..ka vp,pamoja sana wadau..
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Ukute meseji yenyewe inasema Umepokea Tsh2,000,000,000 kutoka kwa DAVID CAMAROON na bado hajasema niza nini ila kasema we jisikie huru tu kuzitumia je utazitumia au utafanya je?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
nimeanza mahusiano na msichana mmoja ,vitu gani vya msingi ninatakiwa niwemakini navyo ili nisilizwe?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Lady: what is the price of this dress? Salesman: 5 kisses Lady: what is the price of that dress? Salesman: 10 kisses Lady: OK pack both of them & bill will be paid by my Grandmother
1 Reactions
6 Replies
1K Views
It is of no problem to me if the CHADEMA MP's walk out during the sessions of the parliament but then they should be very careful because their presence there is important but if they walk out...
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Kona hii tuweke uwongo tunaousema au tuliousikia ukisemwa Baa. Mi nilisikia njemba meza ya pili akimwambia binti eti yeye ana hela nyingi mpaka meneja wa benki huwa anamletea nyumbani,nikawaza...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
1. 5 minutes ago you were traveling to office at 80 mph. in your brand new car. Now you are traveling to hospital at double the speed in an ambulance, you wish there was 'undo (ctrl + Z)' in life...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
jamani hawa wabunge wa ccm mbona wanalala hovyo bungeni? Huyu mbunge sijui anaitwa nani,kwa wanaoangalia tv wanisaidie!!!
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Mama moja nchini norway anamtafuta mwanadada atakae mtoa bikra mwanae wa kiume mwanye umri wa miaka 24, mama huyo anadai mwanaye amekuwa taahira kwa kukosa kufanya mapenzi tangu azaliwe. Kumbe...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mfano ungezaliwa mwanaume je ungewafanyia nini wanawake??au ungezaliwa mwanamke ungekuwaje kwa wanaume kutokana na tabia uliyonayo!!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ilikuwa ni mtiti mkubwa sikuwahi kuona. Ustaadhi mmoja maeneo ya dodoma alimkoromea mtoto wa jirani -mtoto wa mpangaji mwenzake-kisa kwanini yule mtoto aliyatia kidole maji yalokuwa yametengwa...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Tunaomba tumjadili huyu mwanamke wa ajabu kabisa, ambaye kaamua kuivunja nyumba yake mwenyewe kwa mikono yake.
0 Reactions
32 Replies
9K Views
Hivi ni raisi yupi anayeongoza duniani kwa 1.kuzungumza na wazee 2.kuzomea wapinzani na kuchekesha sana stejini?
0 Reactions
3 Replies
827 Views
Kuna jamaa alitokea kumpenda demu mzuri cna,huyo msichana kila wakipanga waka do,anasema,iwe usiku,huyo man akawa anashangaa mbona mchana hataki?,kuna nini?.siku hiyo usiku akamvizia,akasema...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mambo zenu? eti jamani hivi ni kwanini Polisi hakupi deal mpaka akikukamata ndio anaanza kuchukua namba na kuanza kukupa madeal ya kupata mahela au hata kukusaidia pale mambo yanapokuwa sio...
0 Reactions
2 Replies
894 Views
Back
Top Bottom