A husband wrote a message to his wife on his official trip and forgort to add 'e' at the end of a word:- 'Am having such a wonderful time! I wish u were her.....
Kiingerereza hicho bora ukosee...
*Tunafuraha kujiunga na jukwaa hili kwa mara ya kwanza, lkn kikazi zaidi.
*Tungependa kufahamu mwanamke wa kisasa yukoje? Maoni yako ni muhimu sana kwetu. Asante
Najitahidi kutafuta hata story ya kutunga tu ili nianzishie thread 'Cheat-Chat' lakini zote zinakataa. Huwa sina raha kabisa nikimaliza siku mbili bila kupost kitu.
Ukute meseji yenyewe inasema
Umepokea Tsh2,000,000,000 kutoka kwa DAVID CAMAROON na bado hajasema niza nini ila kasema we jisikie huru tu kuzitumia
je utazitumia au utafanya je?
Lady: what is the price of this dress?
Salesman: 5 kisses
Lady: what is the price of that dress?
Salesman: 10 kisses
Lady: OK pack both of them & bill will be paid by my Grandmother
It is of no problem to me if the CHADEMA MP's walk out during the sessions of the parliament but then they should be very careful because their presence there is important but if they walk out...
Kona hii tuweke uwongo tunaousema au tuliousikia ukisemwa Baa.
Mi nilisikia njemba meza ya pili akimwambia binti eti yeye ana hela nyingi mpaka meneja wa benki huwa anamletea nyumbani,nikawaza...
1. 5 minutes ago you were traveling to office at 80 mph. in your brand new car. Now you are traveling to hospital at double the speed in an ambulance, you wish there was 'undo (ctrl + Z)' in life...
Mama moja nchini norway anamtafuta mwanadada atakae mtoa bikra mwanae wa kiume mwanye umri wa miaka 24, mama huyo anadai mwanaye amekuwa taahira kwa kukosa kufanya mapenzi tangu azaliwe. Kumbe...
Ilikuwa ni mtiti mkubwa sikuwahi kuona. Ustaadhi mmoja maeneo ya dodoma alimkoromea mtoto wa jirani -mtoto wa mpangaji mwenzake-kisa kwanini yule mtoto aliyatia kidole maji yalokuwa yametengwa...
Kuna jamaa alitokea kumpenda demu mzuri cna,huyo msichana kila wakipanga waka do,anasema,iwe usiku,huyo man akawa anashangaa mbona mchana hataki?,kuna nini?.siku hiyo usiku akamvizia,akasema...
Mambo zenu? eti jamani hivi ni kwanini Polisi hakupi deal mpaka akikukamata ndio anaanza kuchukua namba na kuanza kukupa madeal ya kupata mahela au hata kukusaidia pale mambo yanapokuwa sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.