"Mr. Bean alinunua card nyingi za X-mass alivyofika home akaziingiza kwenye kipenyo cha mlango halafu alivyoingia akaona zile card nyingi chini, akaanza kufurahia kuona amekumbukwa na watu wengi."...
yaani nyie mumeona "mia" ndo neno la kuendesha biashara zenu?hakuna maneno mengine?mumesoma terms of use ya hilo neno "mia"?kwanini hamjanishirikisha?mi nashangaa mumeikomalia.kila kitu mia,mala...
Ili uwe mwanasiasa hasa kwa ccm,itakupasa uwe na sifa zifuatazo.
1.Uwe mwongo na mnafiki,hii ina maana kuwa hata kama jambo si zuri,itakupasa ulitetee kwa nguvu zote,
2.Uwe Mshirikina,suala la...
Ikitokea umepewa siku moja tu, yenye masaa 24, umchague mtu mmoja tu ambae utapata nafasi ya kusikia maneno yake, kuona matendo yake na kujua mawazo yake bila ya yeye kujua, NAULIZA HIVI...
A Doc prescribed the robot.
A man buys a lie detector robot that slaps people who lie. He decided to test it at dinner:
Dad: Son where were you today during school hours?
Son: At school (robot...
1- mtu anakupigia simu ila unaongea na simu nyingine na simu inamuonyesha kabisa iyo simu inaongea ila yeye anaendelea kupiga tu anakuharibia maongezi maana simu inakata kata dkk 3 tu unakuta...
19 .12. 1989 19 .11. 2010
Today, our dearly loved brother you turn almost one year since you left us in a melancholy way, your sense of humor will be remembered forever.
Your gap will never be...
Mwalimu: Baba yako anamiaka mingapi?
Dogo: Ni miaka saba kama mimi.
Mwalimu: Acha utani, itakuwaje uwe umri sawa na Baba yako?
Dogo: Unajua Baba aliikataa mimba, ila alikuja kukubari baada ya...
Eti jamani, ni haki kaka kumlinda mdogo wake wa kike ambaye ni zaidi ya miaka 18 asiwe na Boy Friend?
Mie huyu kaka yangu mwenzenu keshanichosha, natamani hata kumtovuga!
Eti:
1.Maskini,waoga na washamba-SUA
2.Matajir wajanja na wenye akili za maisha-MU (MZUMBE)
3.Wenye akili chache, wavivu,wahuni na matozi (sharobaro),masister duu-CBE DAR
4.Malaya,wasanii,wauza...
Nimeamini makonda wa daladala tangu wanapoondoka majumbani mwao hadi wanapopanda kitandani, wanakutana na vituko vingi katika shughuli yao hiyo. Wapo abiria waelewa na wapo wasioelewa na...
Wenzetu wa mikoa ya Pwani, Tanga, Dares Salaam na visiwani huwa nacheka mpaka basi ukiwasikia wanavyoongea kiswahili. Haya ni baadhi ya maneno yao1) Bwana anakuja - aja; 2) Anaenda-aenda; 3)...
An old masai man was
struggling a bit with english in
abroad. He enters a restaurant
and wants to order chicken
but he can't remember what is
chicken in english. So he sees one guy at a table...
Wana JF...
Ndugu yenu nipo kwenye wakati mgumu hakuna kipindi kigumu kwenye maisha yangu kama iki...
Hizo benki zote zinanidai jumla ya milioni 80
Kila benki nilikopa milioni 20...
Msichana mzuri aliweka tangazo kwenye gazeti akisema anatafuta mwanaume atakayemwoa,ambaye hata mwacha na atamridhisha kitandani.
kesho yake akashangaa jamaa anagonga mlango hana miguu wala...
TEACHER: Why did you laugh?
BOY: I saw 1 strip of your brazia.
TEACHER: Get out of the class for 1 week. 2nd boy laughed.
TEACHER: why did you laugh?
BOY: I...
Nimejiuliza sana, leo nimeona bora niulize tu ingawa wengi watasema nimekuja na katabia kangu ka ukabila. Liwalo na liwe.
Naomba nijuzeni waungwana, kuna hawa watu wanajiita wachaga........sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.