kuna watu hapa jf wanamajina makubwa kwa umaarufu wao hapa jf hasa ktk michamgo yao.mimi hawa watu ningependa kuwaita masuper star wa jf! Kwangu mm wapo wengi kama The boss, klorokwin, nyani...
Rais Barack Obama apigwa denda na marais wa Uchina na Venezuela katika picha za kampeni inayoitwa Unhate,ila picha ya Papa akiliwa denda na Mmisri imeondolewa baada ya songombingo. Nafikiri...
Mwanaume wa shoka kabisa uko zako mtaaani au sehemu yoyote ile anajitokeza jamaa,bila kujali kama wewe ni mdau au la kukutongoza (kama ilivyo kwa m/ke vs m/me) akaku-cameroon.Dah nadhani ngumi...
Nilikula tano kwenye kiti, sasa ndo nashusha neti najua hamwishi kuchiti humu. Pamoja na yote kumbuka kusali na kumwomba Mungu adumishe amani Tanzania miaka 50 ijayo kwa watakobahatika kuiona...
LAST Week was my birthday
My wife didnt wish me
My parents forgot and so did my kids
I went to work
Even my colleague did not wish me
As I entered my cabin my secretary said Happy Birthday...
Katika mazoezi ya mgambo kutafuta wanajeshi.uliwadia muda wakulenga shabaa,kamanda wa kikosi akasikia mmoja wa mgambo wake anamwaga risasi kama rambo,akamfuata akaangalia wapi alipopiga,akakuta...
Msukuma mmoja aliyekuwa mcha mungu alioa kwa mbwembwe huko kijijini kwao wilaya ya Bariadi. Baada ya miezi mitatu mkewe akamfuata mama mkwe akilalamika kuwa tokea aolewe hajawahi kupata unyumba...
FUNDI WA KWANZA;ninaweza kushona suti nzuri na ikamtosha nikimuona anapita kwa mbali...
FUNDI WA PILI;hiyo si kitu kwangu,mi naweza kushona suti bora kabisa nikimwona mtu anakatiza kwenye kona na...
Mmarekani, Mhaya na Mjapani walikutana ndani Sauna kwenye Hotel ya Hilton Manhattam Jijini New York. Wote wakiwa uchi wakifurahia unyunyuunyunyu wa kwenye Sauna. Ghafla Mmarekana akafanya kama...
Joe had asked Bob to help him out with the deck after work, so Bob just went straight over to Joe's place. When they got to the door, Joe went straight to his wife, gave her a hug...
kuna bibi kizee mmoja alikua anakatiza kitaa ile anakula kona tu anakutana na bandidu ka 2 zimechili kiaina na 2 ivi zikawa zinamdeku bibi tu anavojongea ile anawakaribia tu wakamvutia ktk jumba...
Hiki ni kisa cha kweli!!
Askari barabarani alimaarufu kama trafiki wa kituo cha kange tanga,amekufa ktk mazingira ya kutatanisha baada ya kuomba rushwa na alipoletewa alikataa!
Kisa kilianza...
(BOY);Hi girl!, (GIRL);What? (BOY);How are you? (GIRL);do i know you? (BOY);I'm Rich!. (GIRL);hi i'm so happy to meet you. (BOY);no no,Rich is my name. (GIRL);Sorry i don't...
Ukienda bar nyingi za dar hukosi kuta pakas wengi sana especially zile bar za kichovu zinazouza bia below 1800! But bar za kishua or zinazouza bia above 2000 mara chache sana utakutana na paka! Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.