JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Dar na wakazi wake: wachaga > kimara, wahaya > sinza Wakurya > kitunda wapemba > ilala na kigamboni waarabu > kariakoo wapi tumesahau ??
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Wakuuu poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale humu JF sio pazuri kuna member mmoja humu ana mambo ya kishirikina sana tuweni kujibu jibu watu yamenikuta
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Mbeya ni Mkoa wenye Historia tata sana Tanzania, ni Mkoa wenye Makanisa Mengi sana lakini ni Mkoa ambao watu wake wanawindana kama Chui anapowindwa kwa maana Ngozi yake ni dili, lakini vile vile...
1 Reactions
45 Replies
18K Views
Baada ya kumaliza kusali na familia yangu, kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa neema zake alizotujalia, Naangalia series moja matata inaitwa Treadstone.
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Jamani natafuta mtu yeyote anayeweza kuwa mwenyeji wangu Iringa mjini. Sijawai kufika, ila natakiwa kwenda iringa kikazi hivi karibuni.
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Ukweli ni kwamba twendeni Ukraine tukaokote VIUMA chakavu
0 Reactions
2 Replies
392 Views
Tarehe kama ya leo, miaka kadhaa...iliyopita malaika walishangilia kwa ajili ya dada na rafiki yangu mpendwa kuzaliwa. Leo unapoikumbuka siku hii muhimu na ya kipekee katika maisha yako, napenda...
9 Reactions
110 Replies
6K Views
Hahahahaaa Yaani hizi type za hawa wanawake, wewe usijiangaishe kutongoza maana ni kama utakuwa unapoteza nguvu na maneno yako. Cha kufanya, endapo kama umekutana naye kwenye kona, wewe cha...
13 Reactions
77 Replies
11K Views
Usiku ndio muda mzuri wa kuchat na marafiki kutoka mataifa mbali mbali. Sasa wewe umelala, unasubiri pakuche uanze kuchat na Mwajuma ndala ndefu. Huo ni umasikini, changamka kijana
4 Reactions
22 Replies
946 Views
Labda Huenda wewe umebobea katika kitu Fulani, labda ndio career yako ni vema ujifunze mambo mengine madogo madogo! Mfano mimi Nasoma Civil, ila ninajifunza Programming....najifunza namna ya ku...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
habari watu wanguvu ...naimani kila mtu yu mzima na yu afya njems ningependa tujumuikebsote kwa pamoja kwa dhumuni la kuweza kujuana na kupiga story tofauti tofauti ikiwemo kupeana ushauri na...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Angalia keyboard/keypad yako, zikariri herufi then andika neno chit chat au JamiiForums ukiwa umefumba macho tuone utaandika nini. Just for fun. Ngoja nijaribu Chit cuat Jamiifoeumd πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
4 Reactions
242 Replies
12K Views
Kesho nitakuwa mgeni wenu watu wa Mbeya na viunga vyake Naomba muwe wenyeji wangu
1 Reactions
14 Replies
767 Views
Wakuu nipo mda huu gesti. Nimeoga tayari sasa nahitaji kujifuta. Ila hii gesti ni zile za short time. Mataulo haya naona si salama kwa ngozi yangu nyororo niliyonayo. Je usafi wa Mataulo ya gesti...
1 Reactions
42 Replies
3K Views
πŸ˜‚
2 Reactions
63 Replies
4K Views
Hello JF members, niko ugenini leo, nimekwenda kumtembelea member wa Jamii Forums Sijui nimtaje? [emoji3][emoji3] Msosi umeletwa, mko mnakula, ukajikuta unaujiuliza wewe na Mungu wako, "Mungu...
3 Reactions
11 Replies
845 Views
Baada ya kufanya research ya kutosha Kwa kutumia sampuli zaidi ya 50 nimejiridhisha kwa 100% kuwa mademu weusi ni watamu na wana joto kali kuliko weupe. Pengine ni kwasababu ya kile tulicho...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Mimi niwekee nusu billioni afu tuanze kujadili.
1 Reactions
8 Replies
375 Views
Mtu anawekewa limbwata na mwanamke mpaka anasahau familia yake. Anashindwa kufanya kazi. Anawaza kuhusu mwanamke na wivu usiofaa. Anahonga mwanamke mpaka anaharibu maisha yake. Wengine...
1 Reactions
8 Replies
808 Views
Awali alitaka Mshahara wa Tsh Milioni 350 kwa Mwezi ila baada ya Majadiliano na Klabu aliyoipenda ya Simba baada ya Kusimuliwa na Timu ya Sevilla ya Hispania iliyokuja Tanzania kucheza na Simba SC...
15 Reactions
48 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…