[emoji1751][emoji134]Mwanamke wangu Alinipigia simu! Hello baby, nina njaa sana muda huu[emoji24][emoji24]
[emoji117] samahani unaeza kuja kwangu muda huu [emoji536], na wakati unakuja naomba...
Relax, sipo hapa kumkera mtu yeyote ni jambo la kufikilika tu
Just imagine maeneo mbali mbali ya DSM yangekuwa ni jinsia ya kike unafikiri yangekuwa na tabia gani...?
Ifuatayo ni analysis fupi...
Kitu gani huwezi kusahau katika maisha ya JKT
Changer yako pendwa wakati wote
Unamkumbuka saameja wako wa kombania
Naipenda sana kombania yangu wale A coy B coy na danger aloo ilikuwa high morali
Ni Asubuhi nzuri yenye utulivu,kwani mwili uwa wenye nguvu ya kufanya kazi zaidi kwa wale wezetu wamachinga,wakulima,na ata wale wafanyakazi wa maofisini.Na hali ya hewa furani yenye kuvutia, kwa...
Habari nna rafiki zangu watatu ila nimekuja kugundua mmoja ni muongo sana ,mwingine ni mnafiki na wa mwisho ni Mmbea.
Kati ya hawa ni yupi niwe nae makini sana?
Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya.
Sio wote ni malaya kuna watu hawajikombi kombi au kuvua chupi ovyoo kwa wanaume.
Watu wanataka kuishi nawatu wenye...
Kama kweli Watanzania hatupendi kusoma vitabu, ina maana tunapenda kusomewa. Je, ni kweli? Na sisi tunakubali tuwe tunasomewa?
Hakika, ndio maana tunapewa sana 'matango pori' na wale watu...
Wanawake ni watu wa kutongozwa na wao pia huwa wanatongoza.
Wanaume kibao tu huwa wanajua wanapigiwa wake zao lakini inabidi wakae kimya.
Maisha ya ndoa au mahusiano ya muda mrefu yanachangamoto.
Huu ni uzi maalum kwa wazazi wa sasa na wa baadae kujulishana kuhusu faida na hasara za shule za sekondari ambazo zina wanafunzi wa jinsia moja.
Hivyo mdau tunapenda kushirikishana mawili matatu...
Hi!
Sasa wanaume tumebaki wachache. Hivi kuna ulazima gani mwanaume kufanya au kuishi kwa mitindo ya kike?
Mwanaume anasuka
Mwanaume anavaa hereni
Mwanaume anavaa suruali kama tight ya mwanamke...
Habari zenu wakuu mliomo jamiiforum, members wa wazamani na wa sasa pia, natumaini mpo salama wote, ALHAMDULILAH, ni jambo la kushukuru.
Sina mengi, nimekuja kuwasalimu! NAWAPENDENI SANA ENYI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.