JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nawasalimu kwa mvua. Nimeona jamaa angu kapost facebook na wengin wakaja na ushuhuda, mimi pia hii hali pia hunitokea. Hivi kwanini mara nyingi huwa naota niko form six na naogopa sitafaulu...
5 Reactions
40 Replies
3K Views
Leo tumekaa kikao wanaume wote tuliowa na wasio owa tumekubaliana wote kwa kauli moja, kumuhonga mwanamke mwisho sh. Elfu kumi hili halina mjadala. Wanawake jishughulisheni wanaume tumezinduka...
3 Reactions
42 Replies
2K Views
Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani Upo kwenye chumba cha mtihani, maswalii yamekupiga kinyama Unaamua kuchukua smartphone ugoogle kisha ucopy na kupaste kwenye booklet yako, Ghagfla lecturer...
0 Reactions
1 Replies
778 Views
Habali za usiku huu wakuu nimekuja na nyuzi hii tushikilishane kwa pamoja kwamba ni njia gani huwa tunazitumiaga kuondoa stress mfano; mtu kakukwaza, matatizo, kuumwa, nk. Mfano mimi huwa nikiwa...
3 Reactions
44 Replies
3K Views
Hey y'all... Inachukua muda gani mpaka mtu uanze kupostiwa thread za happy birthday humu au kuπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ˜…πŸ˜…. Anyway Namshukuru Mungu kwa rehema zake leo nimtimiza miaka 30. It was a long journey Kwakweli.
14 Reactions
106 Replies
3K Views
Naelekea Jiji la DAR japo ndipo nilipozaliwa na nilipokulia naenda kukutana na vituko vya mji na purukushani za hapa na pale. Dar kila mtu ni kujiona kafanikiwa japo unakufa na tai shingoni muda...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Mwaka ushausha huo, tupia hapa namba za mtaalamu wako unayemkubali kwenye ndumba zako 1. Waganga wa kupata likes nyingi 2. Waganga wa kupata ubunge wa kuteuliwa 3. Waganga wa kupata pisi kali ma-...
6 Reactions
43 Replies
8K Views
Ukiona thread hii au mtu wa karibu naye anisaidie sana. Asante.
0 Reactions
3 Replies
688 Views
Namshukuru Muumba kwa kunifikisha kutimiza mwaka mwengine tena wa kusherehekea kuongeza umri niloishi hapa duniani nikiwa na siha na afya njema, kwani ni Muumba pekee ndio muweza wa kila kitu...
10 Reactions
106 Replies
9K Views
Kwa mfano Mimi muanzisha Uzi mchangiaji wa kwanza atakayeni"quote" mchangiaji wa pili atatakiwa ku comment Kwa kuunganisha jina langu na la Yule mchangiaji wa Kwanza, and the game continues, let's...
0 Reactions
5 Replies
801 Views
Yani tumetoka kusuluhishwa ukweni suala langu la kuchepuka ila tunarudi nyumbani tunawasha TV tu tunakuta tamthilia halafu mwanaume ana wanawake wawili na ana mtoto nje halafu mke wake hajui. Yani...
2 Reactions
15 Replies
952 Views
Nadhani tumeshaelewana sasa Wewe njoo Kwangu kwa Mazoea ya Kutizama Taarifa za Habari utaishia Mlangoni.
5 Reactions
8 Replies
541 Views
NDUGU ZANGU... Mnamo mwezi wa sita mwaka huu nikiwa nchini kenya.baada ya kuzunguka katika kaunti zake kazaa kikazi nikitokea dar es salaam tanzania (si mara yangu ya kwanza kwenda kenya)...
6 Reactions
18 Replies
39K Views
Wakuu kuna demu wangu tumeachana ni pisi Kali tulidumu kwenye mahusiano kwa wiki 2. Sasa naona amezidisha kunipiga majungu status kila kukicha. Japo yeye ndio alieniacha Nimfanyaje?
1 Reactions
6 Replies
709 Views
Maajabu ya Mungu kaumba watu wa jinsi/namna mbalimbali! Fanya tuone. UTAFITI: Kuna ambao wapo confortable kidole gumba cha kulia kikiwa juu, na wako ambao kile cha kushoto kikiwa juu ndio sahihi...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Mambo? Unachelewa kuoa au kuolewa ndivyo utavyopata matokeo hasi ukishapata ndoa. 1. Utaanza kuhisi kilakitu afanyacho mkeo/mmeo anakosea sababu ulishazoea tuvisheria twako. 2. Kubughuziwa(to...
17 Reactions
235 Replies
7K Views
Mimi niliibiwa k7 nilinunua mpyaaa baada ya kula mkeka natoka zangu kazini kwenda stand hapo Mohamedy Mwanza ile kunyanyua tu mguu kuingia kwenye gari nakutana na jamaa nae anashuka nilivyompisha...
16 Reactions
101 Replies
7K Views
Ata ukiweka kidole cha mdogo wako lock inatoka eti wanadai kuwa dam ni nzito kuliko maji πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Juzi juzi tu niliwasili mkoani Mwanza usiku sana nikitokea mkoa fulani. Nikasema isiwe kesi ngojea nikapumzike kabla asubuhi sijakwenda uko nilipotaka kufika. Kweli nikapata guest moja karibu na...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…