JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habali wakuu, Wale wazee wakuponda kila kitu muipotezee tuu hii threads jana bana nikaamua kwenda bmax lounge nikiwa na staff wenzangu watano wa ofisini Sasa bana maisha haya sometimes tukiwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Gigy kipenzi nicheki kwenye email stefanokiva@gmail.com I need to meet you in private Nicheki in private my email is stefanokiva@gmail.com Just send me contact
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Waswahili nimewashindwa,kila demu wa kibongo anataka na ya kutolea. Makato yamezidi, watanifilisi hawa. Hivyo Ni mitaa ipi nikihudhuria sana naweza pata Toto la mbele huko, haijalishi mjapani au...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Nipo Las Vegas hapa USA kama kuna mtu yupo karibu please tuwasiliane maana nipo tu bored. kulikuwa na kikao tumemaliza toka Jumamosi so nikaona nikae kae kidogo kuonana na jamaa zangu. bahati...
21 Reactions
28 Replies
2K Views
Kwangu mimi huyu ndio madam makini zaidi hapa JF, Na ndio mtu niliemfuatilia zaidi hata kabla ya kuwa member rasmi hapa Jf mwaka huu. Ninamkubali sana ,ni mwqnamke makini, na hekima sana ,,hata...
11 Reactions
47 Replies
3K Views
Kamwe, mwanamke ambaye hajatokea kukupenda ama ambaye hujamvutia, hawezi kukupatia namba yake ya simu, anapokupatia anasubiri utayari wako tu kama utamuhitaji kimapenzi zaidi!", ilikuwa ni sauti...
4 Reactions
51 Replies
9K Views
Habari wakuu..huu uzi ni maalum kwa ajili ya kutabiri/kubashiri mambo au matukio yatakayotokea nchini na duniani kwa ujumla..ni kwa ajili ya burudani tu na kupima nguvu/bahati/kipawa ulichonacho...
2 Reactions
55 Replies
8K Views
1.Mabaamedi na mameneja wao 2.Madereva tax 3.Vinyozi na wasusi wa kiume 4.Madj (except me) 5.Wanamuziki mwisho wao kama si kufa kwa ukimwi au kuuliwa kwa kufumaniwa basi ni bahati yako. Najua...
18 Reactions
348 Replies
64K Views
Swali la kizushi: Kwa hiyo english yako unayojivunia unaweza kugombana na mzungu masaa mangapi? Yaan mfano imetokea mmekwaluza kidogo labda kakuovertake kibabe,kakuchukulia dem wako baa,au labda...
2 Reactions
49 Replies
4K Views
Maisha ili yawe marahisi inabidi watu wakat mwingine tujifurahishe na kujiona tunacho hata kama hatuna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi ninafsi huwa najiuliza sana weekend mtu...
2 Reactions
11 Replies
620 Views
Are you kind or nice person?.
1 Reactions
21 Replies
937 Views
Wakuu, Nakunywa valuer daily but silewi kabisa. Mbadala wake ni pombe gani hivi?
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Hii picha kila nikiiangaliaa nacheka tu yan mbavu sina...
1 Reactions
1 Replies
392 Views
Shukrani nying sana ziende kwa Allah na Wazazi wangu ,leo tarehe 05/June 2022 nimetimiza umri wa miaka 25. Sasa nita focus kwenye uwekezaji wa biashara tu.
3 Reactions
7 Replies
520 Views
Kwanza kabla ya yote namshukuru Mungu,mama mkwe,na baba mkwe kwa kufanikisha wewe kuja duniani,naamini ulikuja kwa ajili yangu.Wewe ndo umekuwa siri yangu,wewe ndo kila kitu kwangu..najua nimewahi...
22 Reactions
391 Replies
11K Views
Habari wakuu, Naombeni kuuliza leo nimeota nipo mtaani kwangu nikawa naruka kama ndege lakini sina mabawa naruka huku nimesimama wima, nazunguka zunguka mtaani kila kona napita nakutana na watu...
3 Reactions
46 Replies
13K Views
Hello fellows,. It has been a while Natumai walio hai hamjambo na waliotangulia mbele ya haki Mungu awapeleke wanapostahili. Tuko pamoja jamvini. Wagala walioniombea dua mbaya nimewasamehe bure...
3 Reactions
16 Replies
825 Views
thread hii lengo lake ni Ili wajijue wale ambao kwa makusudi au kwa bahati mbaya hamtakwenda mbinguni kule ambapo waadilifu wameahidiwa ahadi kubwa kuliko zote na yenye thamani.na kwa sababu...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Let this new year of your life be more beautiful and full of achievements and fun. May you enjoy new opportunities and experiences as you take another step in your life. Happy birthday dearest.
15 Reactions
174 Replies
7K Views
Heri ya siku yako ya kuzaliwa rafiki..... Mungu akupe hitaji la moyo wako na akupe maisha marefu zaidi.... Sijutii kukufahamu umekua rafiki, na mshauri mwema kwangu...... Nakuombea siku zote uwe...
15 Reactions
325 Replies
13K Views
Back
Top Bottom