JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu Bar Maarufu ya Ambiance Sinza Imerudi. . Bar ya Ambiance Kwa Sasa Ina Unyama Mwingi. . Jamaa kaweka Tv Mpaka Bar, Sehemu ya Smoking Ndio Unyamaaa Mwingiii. . Pale smoking room Mwanangu...
2 Reactions
35 Replies
5K Views
Leo weekend halafu mfuko umechacha mpaka nimepata hasira
1 Reactions
11 Replies
899 Views
Naomba kuuliza, hivi hiki kitendo cha kwenda kwa mtaalam wa kienyeji akusaidie kupata mpenzi ni kweli hua inafanikiwa? Aliewahi kufanya hivi anijibu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwanadada huyu ambaye kafika hapa Bar akiwa na mwanaume wake mida ya saa 12 jioni amegeuka kuwa kitoweo cha wahudumu wa kiume wa Bar ili kumsaidia kutimiza deni la sh. 90,000 lililoachwa na...
13 Reactions
35 Replies
4K Views
Hapo kwa tarehe ndio kuna mambo! [emoji1787][emoji1787]
1 Reactions
6 Replies
950 Views
Kufuatia mechi ya soka kati ya Yanga na Simba jana huko Mwanza, kanda ya ziwa ilipata mvua usiku wa kuamkia Ijumaa na Jumamosi. Leo na kavu. Nafikiria kama msimu wa mvua ukichelewa ni bora...
0 Reactions
0 Replies
438 Views
Nipo Mbeya hapa kuanzia Uyole, Rungwe, Kyela, Chunya na kila ninapopita napishana na wakinamama wana ndevu. Sasa sielewi jamii za huku ndo walivyo au...au Kuna mkoa mwingine wapo kama huku maana...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Nasikia castle lite na serengeti lite hazileweshi na ukilewa ukilala dakika 15 tu pombe yote imeisha ani hamna hengova.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Bia ni safari lager na castle lager nyingine ni takataka tu
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau mi nimeona ni jambo zuri warembo wetu tuwashndanshe, il tujue nan ni miss JamiiForums. Pga kura kwa mtu mmoja tu, kura yako itaharbka kama utapgia wawil au zaid, karbun wajomba.
1 Reactions
100 Replies
5K Views
awali ya yote nianze kuwasalimu ndugu zangu wa jf na nyie mnaosoma kimya kimya huko kama maguest kupitia browser NAWASALIMU KWA JINA LA TOZO ZA MAMA...
1 Reactions
1 Replies
482 Views
Wana jamvi habari, Niende moja kwa moja kwenye mada. Hivi unapokuwa na mpenzi akakuzingua huwa unafanya nini kama mmefikia ile point ya kila mtu afe kivyake. Binafsi huwa napiga buyu tu mdogo...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hellow JF. Wanywaji na walevi heshima nyingi ziwafikie kwa sababu hata bia ipande bei kiasi gani hawa wadau huwa hawaachi kununua na ni miongoni mwa bidhaa inayofanya vizur kuchangia pato la...
8 Reactions
176 Replies
8K Views
Ni jambo gani haswa lilikuvutia hadi ukaamua kujiunga na Jamii forums. Na je tangu umejiunga huu mtandao wa Jamii forums umekusaidiaje na wewe umeutumia vipi kuwasaidia wengine? Mimi binafsi...
2 Reactions
16 Replies
542 Views
nimewaza na kujiuliza sana.... Nani atatangaza/kujulisha kuhusu kifo CHANGU/CHAKO humu jamvini... Au ndo mtaenda na CODE
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Naam naomba unitajie mti wowote usio anzia na herufi "M" maana nimetumwa na mganga kama hamna nimpe laki moja
3 Reactions
79 Replies
17K Views
Nimetimiza ndoto yangu nimefika juu kabsa kwenye daraja la kijazi inter change kipindi nko Lushoto ilikua ndoto yangu nikikanyaga Dar es Salaam kwa mara ya kwanza tu moja kwa moja niende daraja la...
5 Reactions
18 Replies
850 Views
Wakuu.... Nimeamua kushuka hapa Tinde, nilikua safarini kuelekea huko kijijini kwetu kutoka Daslam nilipo vunja udugu wa dam, baada ya kuona sitendewi haki ugenini. Na baada ya kuuza ng'ombe zangu...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Sayansi inajitoa ufahamu, hivi humu jf Kuna mtu atakosa makundi haya ya wagonjwa wa akili kazini
1 Reactions
0 Replies
522 Views
Wakuu habari,toka nijiunge humu JF nmekutana na maneno/misamiati kadhaa inayonivunja mbavu ,neno linalonichekesha zaidi ni “Chai”[emoji23] yani mtu akisema hii chai kabisa nacheka sana. Wewe je...
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Back
Top Bottom