TUJIFUNZE KUTUNZA SIRI
KIJANA mmoja mtanashati aliingia kwenye hoteli moja kama mteja, akaomba aonane na bosi. Baada ya kuruhusiwa, mazungumzo yalikwenda kama hivi;
Mteja: Samahani, naomba kujua...
Any way awali ya yote nahitaji mtu yeyote mwenye namba za mganga anisaidie nina shida nae
Ishu inaanza kuna jamaa yangu mmoja hadi hapa tunapoongea anaumwa vibaya sana, huyo jamaa alikua na tabia...
hujatokea kwenye familia ya kitajiri (hujarithi mali)
huna jina wala umaarufu wowote mjini
hujawahi kupigiwa chapuo sehemu yoyote
huna kipaji (sio msanii, mchezaji nk)
hujawahi kufanya biashara...
Tuwe Makini na Hukumu zetu kwa Watu bila kujua Vinasaba vyao na Genes zao..
Habari wana jf
Nimeona nilete hili kwenu ili mjifunze jambo, Katika jamii zetu kuna kuhukumia sana kuhusu Ushoga...
We are Africans❤
We call every toothpaste COLGATE.
We don't care😂
We call every washing powder SURF
We are proud😂
We point at an empty chair and ask “Who's sitting there?”
We are just like that😂...
-Ukimaliza kuoga kama maji yamebaki unajimwagia miguuni
-ukienda kanisani kutoa sadaka unaomba chenji kabisa hukohuko ulipotoka
-kuwa ijumaa ni siku ya biriani
-kuwa mwanaume hapaki mafuta...
Hii in maalum sana kwa zile sentesi ambazo ukijichanganya tu unaangukia kwingine .
Mfano.
Jaribu kutamka kwa speed
[emoji312] Ndege mwekundu kala mkungu wa ndizi...... ndege mwekundu...
Ndo kama hivyo, halafu nikiangalia maendeleo niliyonayo daah.
Inabidi niwe serious na nirudi kwa muumba wangu ndo nilivyoamua hivyo, ili mwaka ujao tarehe kama ya leo panapo majaliwa niwe mahali...
Hakuna mtu mrefu anakataliwa na mademu labda uwe mchafu yani hujipendi la sivyo jihakikishie mademu wanakupenda ukiona wanakukataa hao mademu sitaki nataka yani wanakupima tu ila uwezo wa...
Hello guys!
Nachukua nafasi hii adhim kujipongeza mimi pamoja na wazazi wangu kutokuingia kwenye ulimbukeni wa kijinga wa kuondoa rangi yangu ya asili na kujinasbisha na watu weupe!
Nimekuta box la Kly gelly kwenye droo ya kabati lake liliwa halina kitu (empty box)
Sijawahi kuitumia
Hii inaweza kuwa ishara ya nini wakuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sister ameanza ubinafsi wa kipuuzi. Nmewasikia toka wakiwa room kwao kuna mgogoro. Shem anaomba game. Sister analeta usister duu kuwa eti kachoka.
Shem kabembeleza sana kuwa ana hamu na yeye ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.