JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Zingatieni kuweka stock ya vyakula ndani,acheni anasa weekend hizi sio nzuri kbs huchomoki utajikuta jumatatu unaamka na laki moja au mbili.
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Wanajukwaa naomba kusaidiwa kuchumbia mwanamke anaefanya huduma sehemu tajwa vipi anahitaji kuchunguzwa zaidi na keshasema ukweni yeye ni bikra na yupo tayari kuwa mke. Mawazo yenu tafadhali
2 Reactions
40 Replies
3K Views
Ukimwambia tuachane utasikia ooh..Nirudishie muda wangu ulioupoteza[emoji23][emoji23] Ntarudi.. Uzi bado unaweza kuongeza sifa zao nyingine.
0 Reactions
0 Replies
379 Views
Binafsi nilimaliza kidato cha 4 pale The Highlands mwaka 1984 na tukio ninalolikumbuka ni mwalimu wa Chemistry Mr Kibasa kuja kuwa mbunge wa kwanza wa upinzani Iringa mjini mwaka 1995 akitokea...
2 Reactions
107 Replies
12K Views
Binafsi nilkuwa sinywi ila kila tukitoka out huyu mshua kazi yake ni kununulia watu tu yaani wana kauli yao ya lete kama tulivyo inakuja bill 90 elfu hadi laki nikaona huu ni ujinga bora hiyo hela...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari! Kichwa hapo juu kinajieleza Kuna watu kila mwaka Magufuli alipotangaza kugoma kuongeza MISHAHARA kwa watumishi wa umma wao walufurahia huku wakitoa sababu eti Magufuli analeta maendeleo...
5 Reactions
11 Replies
996 Views
Habari za asubuhi! Nina mwanangu wa miaka miwili kasoro miezi, jana asubuhi (ijumaa) niliamka asubuhi na mapema na kuanza kufagia banda la kuku. Kumbe na yeye aliamka muda huo huo na kuja kukaa...
3 Reactions
3 Replies
469 Views
Kufanana kwa Rais Marais wote wa zamani wa Merika wamefungwa maisha yote, lakini kufanana kati ya marais wawili wa zamani huenda zaidi ya kawaida. Kuwa na umewahi kusikia kuhusu kitendawili cha...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Eti wadau nimeikuta mahali ivi ni kweli ukichanganya pepsi na karanga zilizokaangwa inaongeza nguvu za kiume?
4 Reactions
23 Replies
4K Views
Habarini ni jambo la kumshukuru Mungu muumba mbingu na nchi kwa nafasi hii ya upendeleo kwangu kunitoa duniani tarehe kama yale nakumbuka nilivyotokea na amenipa afya tele na kunilinda na mabaya...
6 Reactions
11 Replies
664 Views
Siku moja nilimtembelea rafiki yangu aliye kipofu. Kwa sababu ilikuwa usiku alifanya kitu kilichonifundisha sana. Nilipoingia ndani, Moses aliwasha taa. Nikamuuliza, Moses, kwa nini umewasha taa...
1 Reactions
0 Replies
584 Views
Leo nipo kaunta wadada wanaangalia unakunywa nini. Wenzangu mnaokaa kaunta mnapendea matako au Siri ni nini??
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Ukitaka kuona raha ya pesa yako tafuta chawa ,akyanani utajiona upo peponi.
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Hivi huku wote ni matajiri au? Kwasabu Mimi kilanikileta mada zangu za laki mbili, tatu, Watu wananikejeli. Isije kuwa nimevamia chaka la maboss tu, Wanaohitaji nyuzi zinazo husu bilioni kadhaa.
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Ni huyu jirani yangu mama Sikujua hapa Kwamtogole. Alikwenda kwa mganga ili kumuweka sawa baba Sikujua asifurukute. Maganga alimpa mama Sikujua dawa ya kuweka kwenye maji ya kuoga. Siku ya...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Kikubwa alichosema anamshukuru Mungu kwa kila jambo. Na mambo yote hupangwa na Mungu.
13 Reactions
63 Replies
8K Views
Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place Kuwa zinatakiwa zihifadhiwe eneo lenye giza ili wapate nguvu za giza
7 Reactions
83 Replies
4K Views
1.Utosini hadi Unyayoni. 2.Kichwani hadi kabla ya Matiti. 3. Matiti hadi Chini ya Kiuno. 4.Chini ya kiuno hadi Unyayoni. Mwenye picha Anisaidie mi sio mchoraji. Mi kwakweli Jamani nisiwe muongo...
1 Reactions
14 Replies
808 Views
Kama wewe ni mrembo Bora wa wakati wote na unajikubali, Nithibitishie ,nikupe vocha na MB za kutosha kuendelea kupenzika na kuchat Only 5 women Thanks
4 Reactions
16 Replies
943 Views
Za muda huu folks Nipo hapa TipTop kupata japo bia mbili tatu na weekend hii, sio mbaya wadau walio karibu na hapa tukionana. Hata walio ndani sio mbaya. Lengo ni kufurahi na kupeana mawazo ya...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Back
Top Bottom