JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Great thinker Kama kichwa kinavyosema, ni siri/stori gani hutasahau uliyokutana nayo ukiwa kazini.? Hiki kisa kilimtokea mdogo wangu alikuja nihadithia kama mwezi baada ya kutokea Miaka kama...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni kawaida kukuta reservation kwenye mabar, ma pub na maeneo mengi mashuhuri. Hawa wanaokutana as if ni jambo la maana Sana hivi mdg zangu wanachangia au Ndio mambo ya kifahari. Naenda Zang...
2 Reactions
6 Replies
616 Views
Muulize mshawishi wake mkubwa ni nani? Akikwambia nandy, agnes masugange, Wema sepetu Huyo ni mwanamke anaye penda mambo ya juu! Akisema mama uyo ni wakupeleka home kabisa ukaonane na wazazi...
0 Reactions
0 Replies
663 Views
Habari zenu wazeiya ,nilikuwa busy kidogo , Juzi nimepata fursa ya kutembelea Tanzania house in Sweden, na kumuona mzee mwenye Busara, Dr wilbroad slaa, Kusema kweli ni mtu wa watu na ana upendo...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wakuu natumaini hamjambo Wakuu kama title inavyojieleza nimeamua tu niwe muaminifu kwa mke wangu ili azidi kuniamini kama mume wake yafuatayo ndio niliyo yafanya ili kuongeza uaminifu 1...
3 Reactions
51 Replies
2K Views
hahahahahahahaha hii iliniacha hooi bin taabani MKURYA MMOJA ALISIKIKA AKISEMA: AROO! HAYA MAJITU YANASHINDWA KUBIKIRI FIZURI, MAWASO YAO YOTE YAKO KWENYE KURA KIBORO NA UCHI. akiwa na...
7 Reactions
104 Replies
22K Views
Siku ya juma 3 kuna missed call iliingia kwenye simu yangu majira ya sa 3 asubuhi Nikaituma sms akajibu ni mimi mwanafunzi nilikua nataka kujua kama upo hai Corona umesalimika. Swali la kwanza...
1 Reactions
96 Replies
7K Views
Kiupande wangu sijapata jibu ila nafikiri Mbinguni tutafika tuu kikubwa mkono uende kinywani
2 Reactions
10 Replies
479 Views
Sijajua amehisi nini mpaka kuwapiga marufuku mashoga wake aka marafiki zake wa kike na nikimuuliza majibu ni msumari. Hivi mlioolewa mliomo humu vipi mnakaa na mashoga zenu hawana hitilafu ya...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Je, unafahamu nijinsigani mahusiano yamechukua asilimia kubwa kwenye maisha ya mwanadamu?
1 Reactions
13 Replies
596 Views
Intro: Hakuna Shaka Jamii forums ni mtandao mkubwa sn hapa nyumbani Tz .Kwa siku unatembelewa na watu wengi Sana,wengine wakiwa ni guest users Ukiwa humu ndani unasoma au kuchangia nyuzi...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Nilitoka Kijijini kwetu nikiwa na Miaka 18, nikiwa na Miaka 20 nikaenda kuonga jino General hospital Dodoma. Baada ya kungoa nikaandikiwa amoxicillin.. nikawa nafungua vile virangi mbili...
2 Reactions
5 Replies
900 Views
Ipo hivi unakutana na demu unamtongoza unampa maneno ya kibao ya kuwa unampenda mara paap anakuomba smartphone yako kuna vitu atakagua kama kweli unampenda au jau tu. Kwahyo Situation utampa simu...
1 Reactions
13 Replies
828 Views
Bila shaka hamjambo. Kabla tumshukuru Mwenyezi MUNGU kwa kutupatia uhai na pumzi yake bado tungalipo. Bado dunia inahangaika na covid-19 ,Tanzania ni miongoni mwa nchi hizo ,japo sisi tunapambana...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Je kuna ukweli wowote juu ya hili pale Serena kuna kinywaji cha bei ghali lakini kwenye hili naona mshkaji kanifunga kamba, eti Serena kinywaji hiki kinauzwa 15m ... kwani kina nini haswa cha...
4 Reactions
87 Replies
10K Views
Wakuu habari zenu. Ulinzi wa taifa hili ni la wananchi wote na napenda kuishi kwa amani ndani ya nchi yangu. Mimi ni kijana mpole na mbambe ninapochokozwa na huwa sipendi uonevu kutokana na...
17 Reactions
70 Replies
5K Views
Habari ndugu zangu , leo nimeona nianzishe uzi huu wa vunja mbavu lengo ni kuchangamsha akili pale unapoona haupo sawa. Uzi huu ni wa kuandika tu sio kutuma picha ukiwa na kichekesho chako...
14 Reactions
11 Replies
3K Views
Usiku wa kuamkia leo mida ya saa 6 hivi niliangukiwa na bahati ya mtende baada ya January kufanya yake. Hapa mtaani Kuna pisi moja Kali kutoka kwa mzee PK inafundisha lugha za kigeni kwenye shule...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Tafuta hela uache kulala na mtungi wa gesi Kama upo ICU Tafuta hela hata maarage yanapikwa kwa gesi Tafuta hela uache kununua nguo kwa kuinama Tafuta hela wewe hakuna mwanamke anaechoka usiku...
6 Reactions
21 Replies
5K Views
Back
Top Bottom