JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
hii siku sitaisahau kwani ilijaa vituko vya kila aina, kwanza nilikuwa nafanya mizunguko isiyo ya lazima si unajua tena kipya kinyemi du nikamaliza akiba yangu yote kwa kuweka mafuta nilizunguka...
4 Reactions
45 Replies
6K Views
Kwa wahenga wa JF hawata jiuliza maswali mengi wakusikia hayamajina. Chabruma, Lizaboni, Mcubic, Msalan. Hawa watu walikuwa ni wapiganaji wa kweli wa CCM, ukimuondoa Mcubic ambaye alikuwa upande...
1 Reactions
52 Replies
2K Views
Umri sio miaka... Leo ni ile siku maalum sana ambapo mrembo bibie NAKWEDE kwa ushirikiano wa watu watatu aliletwa katika ulimwengu huu Wa kwanza ni Mungu baba huyu alitia uhai na kuruhusu uumbwaji...
9 Reactions
53 Replies
2K Views
Tamthilia imekosa uhalisia na mvuto Ila Kuna huyu dada Clara naskia anaitwa Esther Daruwesh ni Moto wakuotea mbali anajua mpaka anajua Tena Halafu mzuri nafkiri bongo movie yote hakuna...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Stori yangu inaanz mbali sanaaaa kipindi nikiwa chuo kikuu fulani, ilikua ni mwaka wa pili nikisoma shahada moja ya sayansi Nakumbuka nilikua field nikakutana na mdada mzuri sana mweupe ana...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Happy birthday to me [emoji53][emoji53] miaka 50 [emoji318] natimiza now zawadi zenu mniletee PM ila kusherekea b-day bila kwichikwichi ni sawa na Mei mosi tu [emoji39][emoji39]
3 Reactions
11 Replies
707 Views
Kuna pisi siku yake ya kuzaliwa (happy birthday) yake inakiribia mm nataka nimuache maana Hali ya uchumi siielewi elewi
1 Reactions
12 Replies
615 Views
Jamani nipo kwenye dalalada natokea posta naenda gongolamboto mda huu, nimeangalia mifuko yote nilikuwa na buku lakini siioni sijui nilidondoshea wapi na konda mda huu ndoanasanya nauli afu ana...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Usikubali kutoa jibu pekeako😅😅😅 mi nasema nisingewapelekea bana si nimeshakula mboko zao!! Hii hela kesho yake naenda kuila na Joanah kimya kimya mtaa pili
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za leo wadau ebu kwa wataalam na wahenga naomba ebu tujuzane kuhusu ili jambo maana kila mtu na ujuzi wake na je unaweza kutoa kwa mkeo ndani na kwanini mke apewi hii hela baada ya tendo
1 Reactions
16 Replies
1K Views
JF Mahusiano👋 Nipo hapa kuuliza swali dogo tu. Ipi ni zawadi nzuri ambayo unaweza mpatia mpenzi wako akafurahi Mainly Mwanamke hasa katika siku zao Maalumu kama Birthday? Nina Jambo langu...
10 Reactions
113 Replies
42K Views
Niaje wazeiyaaah... EBANA SAWA : Mnajua nini mazee???? Nilikua najua kuwa ni wanawake wa jijini pekee ndio hushoboka wakiona mwanaume yupo ndan ya ndinga... Kumbe aisee mikoani ndio balaa...
11 Reactions
111 Replies
9K Views
Nataka nikasafishe nyota maana nasikia wazungu wanakujaga na baraka tele. Msaada tafadhali. Nina 90 haina kazi Karibuni kwa majibu.
1 Reactions
156 Replies
21K Views
Ndio umekuja kuposwa na familia yenyewe ndio Kama hiyo unavyoiona. Mume mwijaku. Dada ake nyawana wa kwenye mama kimbo. Kaka ake Steve nyerere. Shangazi yake riyama Ali dada wa michambo. Wajomba...
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Ubachela huu noma, takea lini sijui nina nguo chafu nasemea tu kufua, Leo mida hii nipo nazichek tu nguo chafu hapa dah! Ila leo itabidi tu nifue Mabachela wenzangu muna-survive vipi na usafi...
0 Reactions
16 Replies
706 Views
Ukiachana na walinzi wetu wa kilinge....kama akina1...........na 2......... Au wazee wetu wa kupiga ban kama akina.......1.......2........3...... Au wale wengine wa Uzi wetu pendwa ule1...
2 Reactions
43 Replies
2K Views
Kwamba mtu wa kale zaidi kuishi hapa duniani alitoka Tanzania, katika mapango ya Olduvai Gorge!! Tuliisoma sana primary enzi hizo.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za pande zote. Naomba kuuliza watu wa kipande hiyo(mo-town) Yule babu muhindi pale dabo rodi alikuwa anauza juisi bado yupo?? Nilikuwa nikipita mitaa hiyo lazma niende kunywa juisi pale...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Siku hizi kila mtu analamikia vyuma. Mkuu anasema ukiona vyuma vimekaza weka grease.
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom