JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Siyo kwa ubaya bali kwa mema tu tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka. Tunaonana kwa ajili ya kufurahi, kubadilishana mawazo, kubadilisha mazingira, kupeana michongo na vingine vingi...
54 Reactions
1K Replies
29K Views
juzi nilikuwa nimeji hanganya mtaani,katika pitapita za hapa na pale,nikakutana na hii kitu, eti inasemwa kuwa wanawake wenye vinyweleo vingi mwilini (NI rahisi kuwatambua utawaona kwa kuangalia...
1 Reactions
3 Replies
892 Views
Jana nilibahatika kukaa home sikua poa kiafya....mida ya jioni hivi nikasikia jamaa na mke wake wanalumbana..(nahic jamaa alifumwa na meseji)...!!sasa imefika kama saa 2 naenda toilet namkuta...
3 Reactions
9 Replies
504 Views
Chukua tano , ting tang gijiiii, watu Kati Oya Jafe....unamuona maza anavyopendezaaaa?? Maza anaupiga mwingi au sio!!!!!??? Haikatai Haikatoksi #Ccm hatuboi/Hatupoi
0 Reactions
6 Replies
374 Views
Habari zenu wakuu, Lennaina swali kidogo ambalo ntalileta kama mjadala. JE, MWANAUME NA MWANAMKE NI NANI ANAMUHITAJI MWENZIE SANA?
0 Reactions
7 Replies
939 Views
Ila for My opinion is that the answer to this question depends on the culture of those questioned. . If U have a culture where one man can marry up to 7 wives then u have a total of 49 (parents)...
0 Reactions
6 Replies
461 Views
Tumia maneno ya kingereza kwa mfumo huo hapo juu uyachanganye na kiswahili Tuone unyumbulifu wa kiswahili kuja kwa kingereza.🤣🤣🤣🤣uzi tayari.
0 Reactions
2 Replies
402 Views
Jana man u wamesha mashindano Yao, Wemebaki hawa wengine wazee kupaki basi, Je wamachomoka? 2-0 leo
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Nimeona sehem MMU wana timu ya mpira nikaona huyo aliyevaa namba tano nikafikiri nikawaza nkasema au ndo Miss Natafuta na ka wezele kake? Maana ndo alisema anafanya sana mazoezi, Natania tu ila...
4 Reactions
471 Replies
12K Views
Leo ni mara ya nne kufika Karatu, naomba nikiri, katika miji niliyotembelea, huu mji una watoto wakali sana, tena weupe. Wajuzi wa mambo naombeni mnisaidie.
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Kuna jirani yangu Mung chris alikuwa anaumwa sana akaamua kumtafuta mganga bingwa wa kienyeji ili aweze kumpa tiba. Baada ya siku kadhaa akapatikana mganga maarufu toka Msata mzee Mshana Jr...
11 Reactions
23 Replies
4K Views
kuna jiran yangu mmoja alikuwa anaumwa akaamua kumuita mganga wa kienyeji ili aweze kumpa tiba. Mganga alipofika akamwambia kuwa ugonjwa wake hautibiki ila njia pekee ya yeye kupona ni kurusha ule...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nwakaribisha katika mkesha wa mshahara mpya baada ya mama kupiga mwingi... Yeyeote mwenye interest aje inbox..
4 Reactions
22 Replies
2K Views
AISEE HII KALI YAANI KUSAHAU GANI HUKU AU NDO NIMEUPIGA MWINGI Si nilisahau bestito kumbe Leo ndo kumbukumbu ya kuzaliwa kwako katoto kachanga acha nikutakie hero na fanaka ya kumbukumbu ya...
4 Reactions
11 Replies
784 Views
Leo nmeamua kuja na list ya watoto wazuri wenye majina matamu hapa jf sweet @16 hii ndo namba moja yangu hili jina lina sound fresh sana haliitaji maelezo limejitosheleza @Demiss jina tamu sana...
6 Reactions
155 Replies
9K Views
Kazi zilibana sana hivo week hii niko free tena ntakuwapo sana hapa JF Nilikuwa busy kidogo then we can share everything new, Nimetoka zangu Norway ninapumzika hapa Lviv wenyewe wanaita a dining...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Uzi huu ni maalum kwa fans wa weekend,na kula Bata,fans wa counter za juu,tuambie uko viwanja gani,tupia ma picha ,video ,tupia mwaliko kwa mtu unaye mkubali ,n.k
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Je, ni kitu gani unawaza kwa sasa? Mi binafsi nimekaa hapa nipo nawaza tu. Je, ni kitu nifanye ili nipate pesa ninue gari ya ndoto zangu ili niendeleze mtanange wa kuwachakata kimataifa. Cc Zero IQ
3 Reactions
9 Replies
486 Views
leo wakati naswaki nimeikumbuka hii daw ya meno ya aha..ilikuja kwa kasi hadi kukawa kuna peni za aha...kwani hii dawa siku hizi ipogo wapi?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Back
Top Bottom