JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wanapo imba nyimbo zao na kucheza lazima washikane mikono? Eti hii imetokana na nini?
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Kuna mlevi mmoja alikuwa katokea kilabuni akapita karibu na Mahubiri na mambo yalikuwa hivi Muhubiri: Ndugu zanguni tubuni ili muweze kwenda mbinguni, huko kuna asali nyingi saaanaaa na maziwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi napenda kuuliza ivi ukienda sehem wakakwambia upeleke birth certificate ina maana wanakua hawaamin kama ulizaliwa au?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Aliyemtengeneza hakumtumia,alimuuza tu.Mnunuzi naye alimnunua lakini naye pia hakumtumia.Mtumiaji alimtumia lakini kamwe hakumjua,je yeye ni nani huyu?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Askofu aliendesha harambee kuchangia ujenzi wa kanisa. Wakristo wakatoa Tshs. 75,050/= tu. Ghafla majambazi wakateka kanisa na kuamrisha kila mtu atoe alichonacho!!! Majambazi wakakusanya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukitaka kufaidi raha ya $ex ucfanye na afande, atakuambia 'mikono juu' wala acwe mha§ibu atakuambia na huku lazima iballance, docta atakuambia mwingine aingie! Naku$haul fanye na mwl yeye...
0 Reactions
36 Replies
9K Views
Paddy and his two Irish friends are talking at a bar. His first friend says: “I think my wife is having an affair with the electrician. The other day I came home and found wire cutters under our...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kuna jamaa wamenishangaza sana pale buguruni sheli. wakati magari yakiwa kwenye foleni, yakisubiri kuruhusiwa, njemba mbili ziliona kupita nyuma ama mbele ya sam trela ni ishu. wakaamua kuinamisha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwanza niseme yafuatayo Kama namuunga mkono babu wa Loliondo sijui, na kama simuungi mkono babu wa Loliondo mimi sijui.... MoD pamoja na kuwa kuna nukuu za Biblia tafadhali naomba msiihamishe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kweli Mbeya kuna upako Mwakasege katokea mbeya,Lusekelo mbeya,Bukuku mbeya,Ambwene mbeya,mwaitege mbeya,mwakyembe hukohuko,babu Ambilikile nae mbeya.Sasa sijui na Yesu nae atakaporudi atafikia...
0 Reactions
52 Replies
10K Views
Kwa babu Loliondo kuna vituko sana. Chek bob mmoja (mijini ni maarufu kama Sharobaro), akiwa kavalia mlegezo na miwani mikubwa yenye giza, alifika kwa Babu akiwa anasumbuliwa na presha. Ilipofika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamaa alikuwa na matatizo mengi akaona hana pa kutokea isipokuwa kujitoa maisha. Akapanda ghorofa ya kumi ili ajitupe. Akiwa anachungulia chini, akamwona mtu hana mkono hata anatabasamu, meno nje...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Padre kauliza Waumini, PADRE: Ni kiungo gani cha mwili hupatikana katika sehemu iliyofichama, kina wingi wa unyevunyevu, kinaweza kufanya ndoa iwe imara sana au kuyumba? WAUMINI: Kimya huku...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
umri wa juma wa sasa ni miaka 5 zaidi ya umri wa ally.tafuta umri wa juma miaka mitano ijayo. iwapo jumla ya miaka yao kwa sasa ni 35
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kichaa alikuwa amevaa miwani jicho likawa linamuwasha. Alipokuwa akijikuna akawa anakuna juu ya miwani ndipo dada mmoja akamuambia si uvue hiyo miwani ndio ujikune? Yule kichaa akamuambia "Hebu...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Jamaa watatu walienda guest.Walipouliza bei ya chumba,waliambiwa ni sh.30000 kwa chumba kimoja.Wakaamua kuchanga kila mmoja sh.10000 wakamkabidhi mmiliki wa guest.Mmiliki wa guest alipofika ndani...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nashanga sana kwamba viongozi wetu wa siri kali asimilia 95 hapa TZ hwamjui Gaddafi. Wanajuwatu kuwa ni raisi wa Libya ila hawamfahamu alivyo. Nashangaa wanapo sema hao western countries wasi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna mzee mmoja alikuta kundi kubwa la ndege,akalisalimia kwa kusema,shikamooni ndege mia,ndege walipaza sauti wakisema sisi sio ndege mia,bali waje kama sisi,waje nusu yetu,waje pia robo yetu na...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Jamani nimemiss sana Rev, hakuna msamaha wa MODs?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
kuna mzee mmoja alikuwa basha lami[mombasa]nzimaa,yani hakunaa kijana ambaye hakuwai kumchokoraa...siku mojaa alimwambia mwanae[mwanangu hapaa kijijini kwetu hakuna kijana ambaye sija...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom