JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
N vyema ukauona MWAKA ukiwa kwenye madhabahu ya Mungu Tukutane Kawe kwa Mwamposa Happy New Year in Advance
2 Reactions
14 Replies
248 Views
Anasema bado ajira ni tatizo mtaani licha ya matangazo mengi ya nafasi za kazi. Bado mashoga wanapigania haki zao kama haki zingine. Bado watu wananunua upendo, toa pesa upate penzi. Bado...
3 Reactions
2 Replies
153 Views
Wanaofahamu mkoa wa Mbeya mjini njoo mtujuze! Eti, Mbeya ni jiji kuliko Dodoma? Na, Kitimoto kilo elfu mbili na ndizi tatu bure?
1 Reactions
2 Replies
247 Views
Wakuu, Kama ulikula spana 2024 jirekebishe, acha uchawa, ukupe na umaandazi :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: Ukibisha utakula spana tu😹😹. Happy New Year watu wazuri wa JF, wengine...
5 Reactions
8 Replies
227 Views
Zikiwa zimebaki dakika chache kuuaga mwaka 2024 na kuukaribisha 2025. Em tumbie mdau wa Jf 2025 unaupokea ukiwa wapi? Kwa upande wangu huu mwaka nitaupokea nikiwa kwenye basi kutokea Musoma...
3 Reactions
18 Replies
316 Views
Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale...
21 Reactions
88 Replies
2K Views
Merry Christmas and happy new year, Hao watu niliowa mention hapo juu Pascal Mayala, Lumumbashi na Gaganiga nawatakia heri ya fanaka katika sikukuuu hizi za mwisho wa mwaka naomba mungu...
1 Reactions
3 Replies
492 Views
Wasalaam.. Christmas ni kesho tu hapo, kila mtu anachinja chinja na kuandaa madikodiko plus kupanga viwanja vya kutanua. Huu ni uzi maalum kwa kupeana zawadi na mialiko, alika memba mwenzio...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Naamini hunijui. Na mimi nakiri kuwa sikujui. Hatujuani! Lakini zamani wakati sijajiunga JF ulikuwa unaandika sana hasa kuhusu ushauri wa kimahusiano, malezi ya watoto, familia, mambo ya kiroho...
32 Reactions
211 Replies
6K Views
Wakaangaji na wachomaji kitimoto wa bongo ni kama hawajui viungo vingine vya kuweka katika nyama pendwa zaidi ya tangawizi tu. Nyama nyeupe kama za kitimoto, kuku na Samaki zinanoga zaidi mpishi...
3 Reactions
24 Replies
615 Views
Nina list ndefu. Tuanze 2025 na UUNGWANA zaidi katika kuwasilisha mada zetu na kujibu mada za wengine kiungwana bila matusi, dharau and the like. 2025 MOTTO: USICHOPENDA KUTENDEWA USIMTENDEE...
3 Reactions
18 Replies
322 Views
Yoyote yule ambaye yupo tayari kutoa mwaliko Mimi nipo tayari.. Location Gongo la mboto... Nafika sehemu yoyote ile ndani ya jiji la dasalamu.. Nakuja na vitendea kazi vyangu Kama Kijiko Ndizi...
21 Reactions
260 Replies
3K Views
Na ukae ukijua leo ndio.mara ya mwisho kuja club na wewe, Ni namna gani uliwahi pata aibu na kujuta kwenda club na rafiki yako au rafiki yenu.
3 Reactions
13 Replies
419 Views
Wanasemaga kambi popote Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na...
29 Reactions
199 Replies
5K Views
nimekunywa pombe Jana usiku hadi muda huu. nimelewa can some one help?? I have tried drinking alot of water. I took soup in the morning. I still feel drunk.
11 Reactions
50 Replies
1K Views
Je kuna watu kabisa katika maisha yao hawajawahi kupanda boda ?
4 Reactions
12 Replies
215 Views
Wishing you a birthday as perfect as you are for me. Your day is as special as you are! May your birthday be as unforgettable as you are every day. Here's to another year of good health and...
29 Reactions
295 Replies
4K Views
Ni bia pendwa kwa sasa. Out of nowhere yule mpinzani mkuu anapotea . Ingia pub yeyote... Whatever bar Kilimanharo trends... Thread! What's ur feeling!??
7 Reactions
53 Replies
3K Views
Najaribu kupita mtaa kwa mtaa, sioni zile pukurushani za mwezi wa kumi na mbili, zile shamra shamra za maandalizi ya sikukuu, nyimbo hazipigwi, sijui tatizo ni nini? Ninachoona tu, ni wazazi...
8 Reactions
32 Replies
826 Views
Back
Top Bottom