JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jambo Jambo? Hiki ni kisa cha kweli na kama mods wataniruhusu nitaweka PM screenshot za mimi na Jamaa jinsi tulivyochapana. Jamaa anajiita “Medecin“ humu sijui alitokea wap ila nakumbuka alikuwa...
65 Reactions
313 Replies
12K Views
Hivi karibuni Kumekua na Matamasha kila Kona (mwanzo- mwisho kuanzia; 1. Kizimkazi Festival, 2. Tulia Trust Festival, 3. Arusha Land rover Festival, 4. Majimaji Festival, 5. Wasafi Festival, 6...
0 Reactions
4 Replies
199 Views
Kwa nini japo nyama ya bata ni tamu kuliko nyama ya kuku ila kuku ni maarufu na analiwa zaidi ya bata ? Ni vigumu sana kupata bata mgahawani au hotelini.
3 Reactions
17 Replies
446 Views
Kasheshe la Christmas, hapa kijijini kwetu wageni wameamka bila makeup ikabidi watambulishwe upya Walipokuja walitambulishwa na sura zao kila mmoja akazishika ila ilipofika asubuhi hali ikawa...
3 Reactions
2 Replies
191 Views
Natumai mu wazima. Nakumbuka way back nikiwa kwenye harakat zangu... Kuna baharia aliniita na kuniuliza ishu Fulani, nilmjibu kavu akanambia "chora". Nikawa nashangaa tu kumbe maana yake ilkuwa...
6 Reactions
12 Replies
400 Views
Wakuu Merry Christmas kwenu Siku ya kwanza wewe kusikia jina KIBAKA ulikuwa unafikiria nini??🤔🤔😅😅 Kwangu Mimi nilikuwa najua ni wazee wa kubaka tu😅 yaani wao wakikukuta kwenye 18 zao hamna...
3 Reactions
6 Replies
209 Views
Maini, mabandama figo na ndugu zao wote leo wajiandae vema kuupokea huu mzigo hevi😂
13 Reactions
21 Replies
417 Views
wakuu siwelewei nifanyeje niko sehemu mtu ananiangalia sana simuelewi wakuu halafu n mdada mzuri lakni
6 Reactions
46 Replies
716 Views
Jana nimeanza kulewa immediately nimetoka kazini. Nikapiga pafu Kama mbili za whiskey 🥃. Shot matata nikaluka home. Nikawaka nikaludi kulewa by Saa 6 nipo chali. My mistake siku nunua Maji as I...
2 Reactions
12 Replies
381 Views
Bata batani, wana wa stress free zone Don't take it personal... Wala usichukulie wahusika wa mada hii ni watu wa nyodo wenye nazo na wanaopenda show off... La hasha... Hata wewe ni sehemu ya mada...
30 Reactions
1K Replies
85K Views
Yes wazawa na wakuja uzi special Mjini hapa Dar tangia ufike una Christmas ngap Binfsi jiji hili la dar nina Christmas 24 Aya wewe mwenzangu hadi sasa hii ni Christmas ya ngapi kuwepo jiji hili
1 Reactions
9 Replies
223 Views
Nimependa sana some strategies zinazotumiwa na wahuni kuishi. Asee wahuni wana balaa sana, some tips natohoa kwao ili nipate kitu perfect mwakani. Mbinu kubwa ya utajiri ni ubahili, minimize...
10 Reactions
56 Replies
837 Views
Wakuu habari zenu, Naomba kujua route rahisi kutoka Kigamboni to Kunduchi
1 Reactions
3 Replies
123 Views
Hawa jamaa wanahitaji pongezi kwa namna wanaaenda kwao kurudisha kilichopatikana pamoja na kujiweka tayari kwa kuingia mwaka mwingine. Hakika kwa misafara ya magari yanayoelekea Kaskakazini...
0 Reactions
2 Replies
173 Views
Nipo Dodoma napenda kuwafahamu wanajf mliopo huu mkoa? Ikiwezekana siku tukutane
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu wana JF, nilikua naomba msaada wa yeyote anaeweza kunisaidia kupata nakala ya kitambulisho cha taifa
2 Reactions
2 Replies
243 Views
Naombeni kunitajia hotel nzurii na mpya za hivi karibuni hapa Dar es Salaam bei iwe affordable na sehemu iwe imetulia nawakilisha.
3 Reactions
21 Replies
1K Views
NI UTANI TU 😂😂 Kama umeona umri unakutupa mkono,na unatamani kurudisha miaka nyuma, Hemu Nenda hapo Ethiopia huko saivi ni 2017 Eti kadi yako ya bank unaambiwa umeweka namba ya siri,halafu ni...
2 Reactions
1 Replies
226 Views
Wakuu ni kitu gani ulinunua kwa pesa yako ya kwanza kulipwa au kupata iwe kwenye ajira rasmi,boom la chuo au pesa uliyoingiza kwenye biashara. Nakumbuka kipindi naanza chuo mwaka 2014 pale udsm...
4 Reactions
9 Replies
238 Views
Naulizia machiinjio ya kitimoto jamani katika Jiji hili la Dar es Salamaa
3 Reactions
15 Replies
345 Views
Back
Top Bottom