JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni usiku ambao hauchi, kulala hulali, usingizi hauji. Leo nimekuja sehemu imebidi nilale, kuna mbu na joto balaa, hakuna fan, hakuna dawa za mbu, ni kaz juu ya kazi. Nimekumbuka sana nyumbani...
3 Reactions
8 Replies
320 Views
Muda mrefu naboreka sana kwa kukosa kampan.... nilizoea sana kampani za wanafunzi wenzangu nilipokuwa nasoma, yani tangu nimalize kusoma sina marafiki wa kutembeleana nao, kutoka wala kuzurura...
6 Reactions
81 Replies
3K Views
Ladies & Gentlement habari za usiku!!!!!!! Jamani mie kuna mambo nishayafanya yani aibu zake siwezi kusahau!!! Miaka ya juzi kati hapa ndo nimejiunga na chuo,jumamosi moja nikaingia zangu mtaani...
9 Reactions
125 Replies
11K Views
Watanzania tulio wengi ni wajuaji wa vitu tusivyo vijua njooni TUDANGANYANE KUHUSU makomandoo wa JWTZ Story yeyote ya mtaani uliyoisikia kuhusu wao Note:motto wao ni PAIN IS MY MEDICINE
8 Reactions
64 Replies
2K Views
Nawasilisha!? Dini inakataza lakini watu milioni 12 Tanzania wanakunywa Bia Sana au Kidogo ili wasilewe!? Mie ni mjinga nataka kujua kitu toka JF
6 Reactions
85 Replies
2K Views
.............
8 Reactions
103 Replies
6K Views
Hivi tukifanya Prank hizi kwa wake zetu wa Kiafrica watacheka ama kulia? Tazama Video hii
1 Reactions
1 Replies
180 Views
Wakati mimi namlipia ada ya chuo, kuna mwingine alikuwa anamsaidia kujenga kwao. Kumbuka, nilishajitambulisha kwa mama yake, ambaye alikuwa anajua kila kitu – kwamba binti yake hana kazi yoyote...
1 Reactions
22 Replies
787 Views
baada ya kumaliza mtihani wa form 4 nikaomba nikapumzike kwa kaka town. sasa nimeshangaa wakati wa kufua nguo zangu siombwi kwa ajili ya kufua, huu ni utaratibu wa wapi? huyu shem hajui kua sisi...
9 Reactions
72 Replies
1K Views
Wakuu Mimi natumia Sim card moja tu, Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakishangaa Ila Kiukweli naenjoy kuwa na Line moja tu
0 Reactions
8 Replies
256 Views
Kwa upande wangu mpaka sasa nimeshawakula girls 12. Nategemea idadi hii kudumu kwa miaka miwili mbele kutokana na mapambano yangu dhidi ya hali mbovu ya kiuchumi.
12 Reactions
83 Replies
2K Views
Salute Comrades.. wakuu naombeni mnifunze nami jinsi ya ku Quote mara nyingi post moj al maarufu kama Multi Quotes nifahamisheni hatua kwa hatua.. Cc. Mwl.RCT Otorong'ong'o -Da'Vinci 1...
2 Reactions
118 Replies
7K Views
.............
10 Reactions
67 Replies
4K Views
............
7 Reactions
138 Replies
7K Views
Niliwahi kuona Jamaa wa kwanza alikuwa na kibao Cha ubalozi wa ufilipino ndani Wa pili ni demu ana mashuka yameandikwa PRISON ROOM 4. Wewe ulikutana na nini?
10 Reactions
24 Replies
654 Views
I've always been ashamed of my small d*ck, I'v dated my girlfriend for a year but I never touched her because I thought she might dump me after discovering that I have a tiny d*ck . So...
9 Reactions
14 Replies
982 Views
Hichi kifaa kinaitwaje na kinauzwa bei gani? Nataka niwe naruka angani niachane na hizi foleni za barabarani.
3 Reactions
3 Replies
198 Views
Habari wanajamii, Naitwa Allen, Samahani Kwa usumbufu, natambua mna mambo mengi ya kufanya ila kwa MDA wako umeamua kupitia Uzi huu🙏🏿, Napitia changamoto ya Usikivu hafifu Kwa takribani miaka...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
1 - Saa 3 usiku hakuna daladala barabarani. 2-Saa 4 usiku huoni watu nje na usiulize kwanini. Jiongeze bro! 3-Ugali wa 1500 unapata mboga 7, usisahau uono (dagaa mchele) buree. 4- Ndio jiji lenye...
8 Reactions
10 Replies
908 Views
Wanyakyusa naomba mnisaidie. Mdogo wangu anataka kuoa Tukuyu, Mbeya, ameshauriwa auchunguze ukoo wa msichana wake asije akawa ni MNYAMANYAFU. WANYAMANYAFU eti wanakula watu na ni wachawi sana. Na...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Back
Top Bottom