JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
wakuu kwema ..? jana nmerudi zangu magetoni usiku mwingi nikakuta hawa wajusi wajomba wako 2 sijui wametoka wapi msaada sijalal magetoni leo nmerudi nmewakuta chini wanacheza hawana hata habari...
4 Reactions
59 Replies
1K Views
Tujuzane sehem mbalimbali ambazo baadhi mwapendelea kwenda ku refresh kidogo katika Weeknds ama ata pia Weekdays, Pengine tunaweza kujumuika siku moja moja. Mimi kwa upande wangu napenda...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Ndugu zangu huku tukisubiria mwaka mpa tutumie huu uzi kujuzana maneno ya wakosaji, yaani yale maneno wanayotumia wasionacho kujifariji wakiowaona wenye nacho. Mimi nitaanza na haya. "Kwani IST...
10 Reactions
30 Replies
448 Views
Muda sio rafiki sana ila haraka haraka kwa mwendo wa Ngiri tupendekeze majina 10 ya members humu walioupiga mwingi hapa JF. Tukijaliwa kabla ya tarehe 31 Dec 2024 tutatoa final list ya 10 bora...
19 Reactions
78 Replies
2K Views
Mimi kiingereza sijui vizuri. Ila nasikia kwa 80% na nikisoma naelewa kwa 85% Tupia maneno ya kuchambana hapa kwa lugha ya kiingereza. Nimeweka hapa hii sababu nimemsikia mtangazaji wa kiliFm...
3 Reactions
12 Replies
345 Views
Chombezo : Biringanya La Mwalimu Sehemu Ya : Kwanza (1) 2 Apr IMEANDIKWA NA: UNKNOWN ********** Siku Ziliendelea kukatika kwa kasi Sana Si unajua tena siku hazigandi.. Hatimaye , Graduu...
6 Reactions
235 Replies
34K Views
Napenda kuwajulisha kuwa, katika maandalizi ya kuukaribisha mwaka mpya, tarehe 31 nitachoma nyama ya mbuzi nyumbani pamoja na familia yetu. Pia kutakuwa na cocktails pamoja na vinywaji mbalimbali...
8 Reactions
25 Replies
461 Views
Heri ya jumapili: Jana juzi bhn Kuna jamaa yangu alipata kesi kubwa hapa dsm sasa katika kuhangaika jamaa wakashauri twende Kwa msisi tanga tukaroge tuokoe jahazi safari ya...
4 Reactions
22 Replies
488 Views
Kwanza tambua wewe ni mtu mzima na ushavuka 18yrs kama bado basi umeenda tofauti na ulivofundishwa biology secondary na bado hujafika 18 Kubaliana na litakalotokea huna wa kumlaumu mambo ya gono...
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Msomi huyu wa mzumbe kasoma pale na kupata elimu yake mzumbe alicho jifunza ni hiki ambacho ana kifanya leo kwenye macho ya watu Mwijaku siku akiambiliwa alambe mwiko sifikiri kama atajiuliza sana...
0 Reactions
2 Replies
151 Views
MERRY CHRISTMASS & HAPPY NEW YEAR JF Ikiwa ndio leo siku ya kwanza ya msimu rasmi wa sikukuu wa mwaka 2024~2025. Sina budi kwanza kumshukuru Mungu kwa niaba ya wote wataouona ujumbe huu. Pia...
7 Reactions
32 Replies
545 Views
Kuna baadhi ya avatar nilikuwa naziangaliaga juu juu lakini baada ya kuzifungua nilizielewa vizuri mfano avatar ya Tindo huyu yeye ameweka kifaa cha ujenzi mimi siku zote nilikuwa sielewi mpaka...
3 Reactions
23 Replies
701 Views
Ndugu zangu nimetua salama Beijing. Hakika ni furaha iliyoje
7 Reactions
19 Replies
709 Views
1. Wadau hawa wote (Doto na Dr Mauki) ni watu Maarufu nchini a.k.a Influencers. 2. Ukiniuliza mimi nani anastahili kupigiwa mfano kwa kupambana kimaisha na kuwa role model wa vijana naweza kusema...
5 Reactions
27 Replies
771 Views
Hapa wana mazingira wanaona madhara ya matumizi ya chakula chenye makeni ambacho sasa kinakimbiliwa na wanyama. Wahuni wanaona panya mwizi. Waporini wanaona nyama Na ma legend wa IT wanaona...
3 Reactions
5 Replies
165 Views
Mabibi na mabwana napenda kuitambulisha kwenu Avatar yangu mpya ambayo nitaitumia kwa mwaka 2025 nakuendelea. Haki zote zimehifadhiwa hairuhusiwi kutumia Avatar hii mahali popote pale bila idhini...
2 Reactions
11 Replies
323 Views
Leo kuna Epl Laliga Bundesliga Ligue 1 Eredivisie Serie A Na nyingine nyingiiiii, je tunabetije leo wakuu? Share hapa
2 Reactions
16 Replies
874 Views
Huu ni uzi maalumu wa majibu ya kisenzi ya xavier
3 Reactions
10 Replies
214 Views
Huyu bata pichani hapa chini anajifanya yeye ndo yeye kama baadhi mishangazi ijifanyavyo humu JF. Unadhani huyu bata anasadifu tabia ya mshangazi gani humu. Binafsi naona huyu bata kakopi na...
13 Reactions
52 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…