JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mapenzi sijui mahusiano sio poa ... Mara yule anataka aolewe wakati uwezo wa kuishi na mtu sasa bado kama kijana ....mimi mwenyewe tu hapa pasi ndefu kawaida ....kila siku swali hilo hilo ooh...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakiwa katika tabasamu bash adha baada ya kukabidhiwa kazi zao za chama kikongwe cha siasa kuliko vyote barani Afrika.
1 Reactions
8 Replies
842 Views
Habarin wanajukwaa Nina Imani nyote wazima afya πŸ’―πŸ’― Mapenzi wanasema yanaendesha dunia na pale mtu yanapomkuta ya kumkuta Hali inakuwa si Hali Je ni vioja gani vinavyoweza kusababishwa na stress...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe Kulaleki kumbe walikuwa...
17 Reactions
194 Replies
21K Views
Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend...
37 Reactions
125 Replies
11K Views
Dah ile vuuu!! Paaa si nikamaliza six mzee sahiyo akili inafahamu kuwa chuo ni bata na mademu wa kumwaga duh!!!. Fresh mzee nikajitusu nikaomba mkopo Mungu Si MWENDAZAKE nikapata tena 100%. Basi...
9 Reactions
54 Replies
8K Views
πŸ˜€
7 Reactions
14 Replies
868 Views
TUISHI NAO KWA HEKIMA SANA NDIVYO VITABU VYA MUNGU VILIVYOTUAGIZA Jamaa kaamka asubuhi, kavaa track suit na kumuamsha mkewe! MUME: Amka twende jogging mke wangu? MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi...
11 Reactions
16 Replies
2K Views
Huwa nikienda clubs mbalimbali nakuta wajomba wanaburudika na hii mimoshi.. Sielewagi wanapata stimu gani.. Natamani siku Moja nijaribu lakini sielewi km ndo nitakuwa Mraibu au laa.. Sasa...
0 Reactions
5 Replies
545 Views
Kama IQ yako hipo sawa naomba ujipime kwa chambua vitu vilivyo fichwa kwenye picha. [emoji116][emoji116]
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Jamani leo katika pita pita zangu katika mtandao wa LinkedIn. Mekutana na mtu anaitwa George n. Sijui ndo love at first sight sijui ndo Niko mpweke. Nyie nimeview profile ya George jamani am...
12 Reactions
86 Replies
4K Views
Hivi nyie wenye marafiki ambao mnatembeleana na kukutana physically weekend mnawapata wapi? Mbona mi niko mwenyewe sana Yaani weekend nazichukia bora weekdays nikiwa kazini muda unaenda ila...
7 Reactions
48 Replies
3K Views
Zifuatazo ni kabila na kazi za Kambale kama angekuwa binadamu:- Mmakonde – angechonga na kukeleza vinyago kwa sababu ana brashi mkiani, polish mwilini, msasa utosini, krampu mdomoni na msumeno...
1 Reactions
5 Replies
707 Views
Kupitia uzi huu kila mtu aeleze anasumbuliwa na tatizo gani au anasumbuliwa na Maradhi au maumivu gani ..na tuelekezane njia za za kutatua Shida YAKO ya leo ,,,,ni shida ya mwenzio ya jana,,,na ni...
0 Reactions
1 Replies
814 Views
Salaam wanang wa Jamiiforums Oya wadau jana nimeota navuta sigara, wataalam wa ndoto, hii ina maana gani?
2 Reactions
15 Replies
946 Views
Kwanza niwape pongezi kwa kuwa wavumilivu kwenye uchumba wenu na kumaliza harusi yenu salama. Lingine nilishindwa kupata wasaa wa kuhudhuria kwenye shughuli hiyo nawaomba radhi kwa hilo. Na la...
3 Reactions
72 Replies
3K Views
Naanza na langu, Wananiitaga Tembo maana nna mkonga. wewe je.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nijipinde kukutongoza wee nitumie muda, nguvu, akili nipangilie maneno ya kukushawishi.. halafu kirahisi tu uniite mimi konokono!!! Serious Mimi konokono! mjiheshimu bhana inauma.
28 Reactions
190 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…