JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Bora tu niseme ukweli kuliko kudanganyanaa. Kwanini nimesema mwanaume yeyote anaye hitaji kuonana na mimi lazima atume nauli. MKASA Kuna mkaka mmoja wa Jf ana I'd yake inaanzia kama ya kike...
39 Reactions
750 Replies
39K Views
Kila mitandao ya kijamii kuna jamhuri zake.mfano ukija instagram ni fake life na kila picha za mastaa utaona simu kageuza ili mradi ufahamu kuwa hana macho matatu aka iphone na umbeya. Sasa...
1 Reactions
1 Replies
567 Views
Mapenzi hayana baunsa Haya ni maisha tu! Naapa ila ipo siku tu.
16 Reactions
127 Replies
7K Views
Maisha ya hapa Duniani Ni Kama vile Kuna mashine fulani tunaingia na kusagwa mmoja mmoja au tufanye Kama Ni samaki unamtega unamvua anakuangalia tu unampika bado tu anakutolea macho ndio kifo kipo...
0 Reactions
0 Replies
439 Views
Habari wana MMU. Kwa wale wanaotumia hii App au kama unaifahamu ni kwamba unaweza kujua kwamba mtu kama anatumia simu wakati gani na mara mwisho kuitumia ilikuwa muda gani. Lengo la...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Wanabody embu tufanye kamchezo kamoja hapa. Unamuuliza mpenzi wako boyfriend /girlfriend hili swali Swali linasema hivi "bby Do you think buttom up economy is really sustainable as to compare to...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Salamu sana wana CC wote, Nilisikia hii kitu BBC, nimeitafuta nimepata moja; Naomba wale wenye barua nyingine waziweke hapa; Kweli Mzee Mandela alikuwa na mapenzi ya ajabu...
2 Reactions
36 Replies
6K Views
Kuna watu wanapita JF unabaki kujiuliza ni watu wa aina gani. Kuna huyu mwamba alitokea. Kila akianzisha uzi anaanza na "Mimi ni yule kijana ambaye nimetahiriwa hivi karibuni😀😀" sijui alikuwa...
1 Reactions
7 Replies
728 Views
Hebu piga picha, lengo la yanga ni kutafuta watu,lengo la simba ni kuonesha kikosi kipana. Ndugu zangu wanaobeti sasa! Unakuta anaitabiria yanga kufunga magoli saba huku haina kikosi kipana? Duh...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ki pekee nashukuru jf leo kwa kunitunuku cheo hichi cha jf expert member ambacho nilikuwa nakitamani kwa muda mrefu sasa najiona ni member rasmi baada ya kujiunga toka mwaka 2020.Je wewe member...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
leo nimejitahid kuisoma bible yote na kuimaluza so mwenye swali lolote auulize tuuu
1 Reactions
3 Replies
958 Views
Mwana Flani wa facebook kanivutia Uzi ohhh mambo vp bro .. Nakubali kazi zako Nini ... Tuwe friends Moja na mbili nikasema fresh Mara kauliza ohhh unaish wap nikamwambia kino , akasema dahhhh...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ila wabongo bhana! Ety humu ndani kuna mtu anawaza kwenda kumtambulisha binti mwenye tatoo nyumban kwao, ety watamchukuliaje!! Wakati kaka yangu alioza kwa mdada mwenye upaa na midevu, mapengo na...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Mxela toz
1 Reactions
0 Replies
373 Views
Eti Rais wa Nchi anatembea na Wallet ya kuhifadhia fedha? Ya nini sasa wkt kila anapokwenda anakuta kaandaliwa kila kitu...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Tarehe 24 ya mwezi wa nane niliomba maelekezo kwa msichana mmoja hivi demu wangu!! Akanikubalia tukakubaliana tuimalizie kwao. Dah!! Kama huna bahati ni huna tu, tukakutwa na maza mtu, alisukuma...
6 Reactions
94 Replies
7K Views
wadau nimekuwa nikisikia kuna wataalamu wanasafisha nyota inayopelekea kupata mafanikio kipesa. Je Huo utaalamu upo, kuna aliyewahi kusafishiwa nyota na akafanikiwa, wataalamu wa uhakika wapo? Ahsante
0 Reactions
2 Replies
3K Views
1. Kitambi Mvurugo -- hiki kitambi kimekaa kama O. Kinapatikana kwa kula sana kitimoto. 2. Kitambi Mchuchumio -- hiki kitambi kimekaa kama herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na bia za...
3 Reactions
47 Replies
17K Views
Nadhani hujabahatika kukutana na magwiji Hawa wawili wakiwa nje ya jukwaa letu pendwa. Jumamosi iliyopita nilibahatika kuonana nao mitaa ya Kasumulo wakijiandaa kuvuka mpaka kwenda Lilongwe...
5 Reactions
41 Replies
3K Views
Inapotokea umemzidi umri mwenza na mama yake pia unampa salamu gani?
6 Reactions
76 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…