JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Je, utafanya nini endapo sehemu unayofanya kazi jamii inakuhisi wewe ni TISS na huku hata mshahara wa TISS huujui, na hakuna evidence -- kila mtu anasema amesikia kwa watu?
5 Reactions
52 Replies
7K Views
"Mwanamke mmoja wa kizungu aliniomba urafiki huko Facebook, nikakubali na akaruka inbox siku hiyo hiyo. Alijitambulisha kwa jina la Dkt.Christina kutoka London, Uingereza. Akasema yeye ni...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
nilikuwa naonaga wivu sana nikionaga watu waapiga miluzi kila nikijaribu siwezi mpo disco zinapigwa ngoma Kali unasikia wahuni wanapiga miluzi Pye pyeeeeeee mpaka raha ila nikirajibugi siwezagi...
2 Reactions
13 Replies
602 Views
Habari wadau, Recently nimepata kimuhemuhe cha kutaka kutembelea DRC(sio kwa biashara ila ni kwa ajili ya utalii uchwara) Nifanye road trip mpaka nitokee upande wa pili wa nchi kule kwenye...
4 Reactions
27 Replies
5K Views
Habarini wakuu leo naingia Musoma mjini hapo mpaka sasa ndio nipo Igoma Mwanza nategemea kuingia saa 3 hivi nipo na private car Naomba kuelekezwa Hotel nzuri za kulala bajeti yangu 40,000/=na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za mda huu? Naomba kuuliza kwa wale ndugu zangu wapenda Tungi siku ya Kwanza kununua beer unywe Ulijiskiaje? achana na mwanzo za kujifunzia za sherehe siku ya Kwanza kutoa pesa mfukoni...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuna mambo mawili ukizaliwa na kuishi yatakuhusu Ni ama wewe utazaliwa mwanaume au mwanamke Kama wewe utazaliwa mwanamke uko salama, Lakini kama wewe utazaliwa mwanaume kuna mambo mawili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
That LOVE! [emoji120] Consistency + Commitment, PAYS off. Good morning FAMILIA... Leo pia ni siku, thanks, and let's do this.. may the name of the God of Jacob protect you. Psalm 20:V 1.. I and I
1 Reactions
5 Replies
589 Views
Nili zaliwa mwezi na tarehe kama ya leo miaka ishirini iliyopita, na leo ni furaha kubwa sana kwangu kuuaga uteenager na kuingia rasmi into adulthood .. kimwonekano bado ni mdogo mno, kwani mwili...
10 Reactions
60 Replies
4K Views
Siku moja mbwa mwitu alipita karibu na hema la wachungaji. Hapo aliwaona wakila nyama ya kondoo. Akawaambia: "Siyo kelele hizo, iwapo mimi ndiyo ningekuwa nafanya hivyo."
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nilikuwa napenda mno Kuiga Kujikunja kama Bruce Lee huku nikirusharusha Viteke vya hapa na pale na mkwara mwingi wa ile Sauti ya Bruce Lee ya kulia kama Paka hivi, lakini kuna Siku niliingia kwa...
1 Reactions
1 Replies
592 Views
WHAT'S IN A NAME ================ President Idi Amin once wanted to change the name of Uganda to "Idi". Except for one man, Maliyamungu, everybody else who was close to him feared to challenge...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Inakuwaje wakuu..... Wakuu ukweli ni kwamba hakuna binaadamu alietaka kuja duniani lakin tunajishtukia tu tumeshakuja duniani Swali ssa linalonifanya kila siku nitafakari Kwanini watu tunaogopa...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Jamani naombeni mnijuze Kama kichwa kinavyo jieleza. Kama hizo silver zipo huwa zinamajina gani. Pia sent moja ya dollar sawa na cent ngapi ya shilling?
0 Reactions
7 Replies
498 Views
Je? inatakiwa nipate yenye power gani?
0 Reactions
5 Replies
745 Views
Aise leo nimekumbuka mbali kidogo miaka ya 2003 enzi hizo naanza form one shule fulani. Enzi hizo ilikuwa shule ya serikali lakini ya vipaji; aisee hapa nilikutana na vipanga humo darasani mpaka...
2 Reactions
70 Replies
7K Views
.
11 Reactions
123 Replies
27K Views
Mwana jamvi, pengine unahisi nimekosea. Hapana sijakosea iko hivi, wengi tunatambua maziwa kama agent wa kuua sumu mwilini, hasa pale mtu anapozamilia kujitoa uhai akanywa sumu tunamuwahi kwa...
3 Reactions
45 Replies
4K Views
Nimekunywa castle lite 10, K Vant moja na wine mbili aina ya magi nimelewa balaa sijui kama nitaweza kufika hom
3 Reactions
50 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…