JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hello my friend's Hivi ni WhatsApp yangu tu ambayo leo haitumi text wala kupokea ujumbe? Mwanzo ilifunguka text zikaingia shida ikawa kujibu ukijibu inapotea ewani now haifunguki shida nini...
6 Reactions
46 Replies
698 Views
Sato mkubwa mwenye kilo 3 abanikwe naviungo na chumvi ya wastani mpaka akauke vizuri, halafu atengwe kwenye meza ya Dr Janabi na kaugali kadogo kama ngumi, pilipili iwepembeni iliyotengenezwa kwa...
4 Reactions
5 Replies
405 Views
Tumekamata mwizi tukaanza kukung'unta, piga mwizi mpaka akapandisha mapepo!. tukajua anatania tukaendelea kupiga tu! wacha mapepo ya mwizi yacharuke zaidi!, yakagoma hayasikii chochote ukirusha...
19 Reactions
43 Replies
1K Views
Huu mgahawa upo japani ni special kwa wavivu tu
3 Reactions
12 Replies
692 Views
Jamani mwaka jana mwez wa 5 nilifanikiwa kupata mpenzi ambaye ni mzuri sijawah ona. Alikuwa Anagombaniwa na kila mtu mtaani. Alikuwa Ananipenda sana, tulikubaliana tutaoana.Alikuwa ni mgeni mtaa...
1 Reactions
46 Replies
5K Views
Wanazuoni na walioboboa kwenye uchumi hapa naishije Kwa siku Nikiwa na buku 3 na ramani zimegoma Hapo iwepo breakfast, lunch na dinner na nitambe kwa mtaa Naomba ushauri wa kina, me ni...
7 Reactions
77 Replies
1K Views
Niende kwenye mada moja kwa moja. Kwa wiki kadhaa sasa nimekuwa nikifanya mazoezi ya kunena kwa lugha na nimeshaanza kuweka stock ya mafuta ambayo yatakuwa ya upako nitapomaliza kuyaombea. Hii...
2 Reactions
11 Replies
259 Views
Kama wewe ni mkazi wa maeneo ya Goba Njia Nne au karibu na maeneo hayo, lazima utakuwa unaijua hii night club iliyopo njia ya Madale kwenye huu mteremko mbele kidogo ya stendi ya bajaj za Madale...
6 Reactions
20 Replies
631 Views
Mimi Kilimanjaro miaka na miaka 😁 tililika na wewe mwanawane😉
4 Reactions
43 Replies
889 Views
Inasemekana watu wenye akili nyingi ni waaminifu. Kwaiyo ukiona una mpenz kiruka njia jua yaliyomo hayamo!
3 Reactions
10 Replies
439 Views
Butesi ni jina la kike la Kihaya. Je lina maaana gani kwa anayejua?
1 Reactions
2 Replies
151 Views
......twende bakurutu, live band Jb Belmont. charminglady nakusubiria, Slave baki ulinde nyuma tutaenda na wewe siku nyingine!!!!!!
4 Reactions
105 Replies
5K Views
Zunguka kote! Ukikuta kuna sherehe au msiba halafu wapishi wawe wanawake mara nyingi chakula kinakuwa kibovu mno kuliko wakipika wanaume! Wanawakwe huanza upishi kwa mbwembwe nyingi! Kuchambua...
15 Reactions
75 Replies
1K Views
Wanazuoni na walioboboa kwenye uchumi hapa naishije Kwa siku Nikiwa na buku 3 na ramani zimegoma Hapo iwepo breakfast, lunch na dinner na nitambe Kwa mtaa Naomba ushauri wa kina, me ni...
0 Reactions
4 Replies
129 Views
  • Closed
Hello Rebeca nimetokea kukupenda naomba uwe mpenzi wangu
15 Reactions
121 Replies
3K Views
Kichwa cha habari knajtosheleza, tunasubiri shuhuda kutoka mitaani Je mitaro inayopatikana hapo mtaani kwako ipo kwenye hali nzuri au inahitaji kuzibuliwa tutoe tope?
2 Reactions
10 Replies
257 Views
Hii imekaaje wataalamu wa mambo ya kiroho? Uzi tayari.
1 Reactions
8 Replies
355 Views
Ilikuwa mida fulani hivi ya saa mbili usiku ile naingia nyumbani kabla sijafika sebuleni nikasikia ndugu zangu wanajadili "Tumemletea tiba leoleo lazima aache hizo pombe zake!" hapo walikuwa...
30 Reactions
62 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…