JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mi naanza kibishi hapa mtaani kwa mama Omari
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Leo nimepata kazi Kama utani nilienda kunywa pombe kwenye grocery fulani mtaani jamaa mwenye grocery Ni mwanajeshi mstaafu alikuwa na yeye amelewa akasema haiwezekani grocery ikose chips...
9 Reactions
13 Replies
867 Views
Jamani eti ni member gani hapa JF ni maarufu sana ukiondoa hao ma mods akina invisible? kujitaja haipo
1 Reactions
215 Replies
10K Views
Tumesemwa sana kuhusu Tecno zetu aisee, hatimae Phantom x,ameanza kuokoa jahazi[emoji108]... This week naenda utafuta,nionje utamu wake maana nimeiona tu kwa bestie... Picha kaliiii, screen tam...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Acha dharau kwa watu wenye hadhi ya chini kumbuka hakuna boss atakuja kuchafuka na vumbi akuchimbie kaburi..hao unaowaona ni watu wa maana hawawezi kuja kukusalimia ukiwa umelazwa ila ukifa tu...
3 Reactions
5 Replies
563 Views
Ni kipi kinawafanya matozi wengi kutembea na buku 500 tu mifukoni mwao?
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Mwenyezi Mungu akipenda inshallah mwezi wa 12(tarehe sitaji) mwaka huu(2019), nitaingia rasmi katika kundi la wahenga. nitatimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa kwangu. kiufupi uhenga sio jambo la...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Jana nimerudi nyumbani ghafla nikakuta housegirl anamnyonyesha mtoto wangu wa miezi nane. Nilipaniki mno maana kuna hatari ya kumuambukiza magonjwa. Kujitetea akasema alikuwa analia sana...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Niko sehem nimekaa hapa, yani wanaopita ni wanawake wengiwao, halafu wazuri! Yani Dar bana Mpaka nafikiria huko mikoani watu wanaishije? Wanakosa mengi sana
8 Reactions
44 Replies
5K Views
Wakuu habarini, weekend ikifika watu waliokuwa na michepuko wanakuwa na kauli mbali mbali ilimradi waweze kutanua wakiwa na hao wapenzi wao ambaye sio wewe, mfano wa kauli zao ni> 1. Leo...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Poleni na majukumu ya mwisho wa mwaka wadau. Niseme tu nimezunguka maeneo mengi sana ya starehe hapa DSM mengine ya kistaarabu na mengine ya kishenzi ila sijawahi fika beach kidimbwi. Kwanini...
16 Reactions
254 Replies
61K Views
Jana nilifanya kitu tofauti kabisa na mazoea..lakini nikapata matokeo ya kushangaza mno..pishi zima ndani ya jungu moja Ubao ulikuwa umebana kisawasawa kutupia macho kwenye jokofu kuna haragwe...
13 Reactions
36 Replies
2K Views
Kilichomkuta, sidhani kama marehemu alitarajia, maana kaanguka kimo kirefu kutoka kwenye matawi aliyokuwa akipunga upepo. Wenzake walimwona kwa mbali hawakujua hata jina lake. Ama kweli maisha ni...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna wanawake wakorofi bhana. Tena ukorofi unawazidi pale wanapojua huyu hawezi kunipiga. Na wanaume tunavyojua kutunza siri ukipigwa hupigi kelele majirani wasije wakaskia...unajikalia kimya...
25 Reactions
138 Replies
13K Views
[emoji117]Ukiruhusu mitandao ya kijamii itawale maisha yako na mpaka inafikia hatua ikuamulie jinsi ya kuishi hutaweza kudumu na mwanaume yeyote hata Mungu akuletee...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Baada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale...
22 Reactions
339 Replies
35K Views
Hamna mtu asiye na tabia mbaya, wote tunazo, za kurithi, za kujifunza na za kuiga. Kila mtu anayejijua vyema, huwezi ukawa mwizi halafu usijijue. Huwezi ukawa kicheche halafu useme eti hujui...
11 Reactions
54 Replies
3K Views
Wanajopu tupeane uzoefu kidogo hapa je ni sehemu ipi nzuri kwa kumtoa out mwanamke mnapokuwa katika uhusiano wa mwanzo ili afurahi na aone umemtendea vyema. Nikifikiria kwenda naye club nahisi...
2 Reactions
66 Replies
17K Views
Habari za wakati huu wadau wa Jamvi letu pendwa JF. Eeeh bhana niko kwenye mtoko wa pekee yangu huku mkoani kwetu. Sasa hapa kuna ki pub kimoja hapa, sasa kafika jamaa mmoja hivi kajaza hicho...
1 Reactions
65 Replies
3K Views
Ni jambo la ajabu sana sikuwahi kusikia. Ila kuna jogoo anasumbua sana. Anawika muda huu. Hivi hii ni kawaida kweli? Ningekuwa mmiliki ningemchinja akawa kitoweo, anafanya ujinga sana
2 Reactions
29 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…