JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Iwe hivi sasa... Bila kujali muda na Umri wako Jf Chit chat iamke!! Wakongwe na Wasasa Hoyeee. Nitakuja na list muda sio mrefu. To be continued... By the way hii forum inaendelea. Kwa picha...
33 Reactions
3K Replies
118K Views
class mates wa shule ya msingi / secondary marafiki wa utotoni / secondary Majirani n.k Mimi huwa nikikutana na mtu wa muda mrefu huwa nadeal na haya mambo Nimefurahi kukuona baada ya miaka...
10 Reactions
34 Replies
1K Views
Wakuu habari, Tunamuomba rais, aweze kushirikiana vyema na kitengo cha hali ya hewa Tanzania, Ili kuweza Kupunguza ukali wa jua la hapa dar. Hapa dar jua ni Kali sana na linachoma angel zote za...
4 Reactions
14 Replies
487 Views
He'll bosses, Wale tulio na games kwenye devices zetu, ni game gani unacheza sasa Mm sio mpenzi sana wa games lkn sometimes na cheza mara nyingi napenda ku cheza game amambazo zina run online...
3 Reactions
32 Replies
6K Views
Amani iwe nanyi waungwana... Haya maswala ya kuigaiga na kujifanya over confidence kisa Umeona kuna watu wa aina fulani, niwaonye yatakuja kumtoa mtu uhai!. Kiberenge wa watu nilikuwa nimeenda...
135 Reactions
180 Replies
12K Views
Hebu wakuu njooni mtuambie apa Mwaka UKIISHA ukipiga hesabu za matendo yako Huwa UNAJIONA ulivyokuwa mjinga mwaka ulioisha?
0 Reactions
0 Replies
131 Views
Kila nikisikiliza redio moja nasikia tu watu wakishinda pikipiki na milioni mbili au kashinda milioni tano na bajaji, yaani full kuokota. Ila sasa ukijaribu kucheki kwa sura nyingine ni kama...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Now nimeshangaa kuona wachawi wapo live kabisa hakuna wanachokiogopa tena yaani hakuna kabisa af wajinga wachache wanaingia king mm japi najua kusoma nyota ila kamwe siwezi ingia live na ili...
1 Reactions
8 Replies
391 Views
Mbona madhabahu na injili inavamiwa na washamba sana, yaani akili ya kusoma vifungu vya bible, na hizo lukutu lakata leketee feki ndio wanajifanya na kujikuta wanajua kila kitu, mahusiano wanajua...
2 Reactions
12 Replies
775 Views
10. Kifo cha mtoto albino mkoani Kagera 9.Kutekwa kwa Sativa 8. Msigwa kuhamia ccm 7. Makonda kurudi kwenye mfumo 6. Kifo cha mzee Mwinyi 5. Yanga kuifunga Simba mara 4 mfululizo. 4...
0 Reactions
19 Replies
726 Views
Na mende msafi (mwandishi hana nia yoyote mbaya, lengo ni kufurahia maisha muda huu ambao vyuma vimekaza) Tuanze…… Episode 01 mshana jr: (huku akinyoosha kidole upande wa mbele yao) mkuu...
7 Reactions
53 Replies
4K Views
Inasemekana! Kwa Sasa unaweza ukausaka utajiri na usiufanyie jambo lolote la maana kwenye Jamii!? Matharani ukipata $2,000,000 utafanyia nini!? Naomba kuwasilisha
2 Reactions
10 Replies
271 Views
Kuna watu wakisema uongo Huwa wanatetemeka balaa ila Kuna wengine asalaleee!! Anadanganya macho makavuuuu hata kupepesa hapepesi. Hivi nguvu yenu Huwa nini hasa!?. 🤔
11 Reactions
34 Replies
787 Views
  • Closed
Mikoa inayoongoza kwa watu washamba. 1. Kigoma 2. Arusha 3. Kilimanjaro 4. Mbeya 5. Rukwa 6. mwanza.
2 Reactions
16 Replies
789 Views
Kila shabiki kuna namna alianza kupenda muziki na hatimaye akajikuta hawezi kutoka tena! Mi nakumbuka kwenye 90s mzee wangu alikuwa na music system ambayo alitoka nayo Russia na alikuwa akiplay...
1 Reactions
1 Replies
216 Views
Itifaki imezingatiwa, Wakuu, binafsi chanzo cha kutumia id-enter passcode ni shemeji/wifi/mtoto/mjukuu wenu, simu niliijaza pass words mpaka akitaka kufungua app yoyote inamdai aingize codes...
5 Reactions
14 Replies
532 Views
Wakuu samahani naomba kuuliza na kujuzwa wapi walipo hawa member wa kitambpo wa JF? Walipatwa na umauti? Walibadirisha ID? Wako wapi? GUDume Zero Iq Joseverest Na wengine wengine wakongwe wa JF
11 Reactions
51 Replies
1K Views
Napenda sana maua,mje nayo bas macho yafurahi na moyo uburudike. Hili ni kwa ajili ya jf members wote🧡
26 Reactions
429 Replies
6K Views
Nipo mbeya kwa ajili ya mambo yangu ya kifamilia. Nimekutana na mambo ya hovyo sana, nikasema ngoja niwaulize wadau. Jamani eti kunywa beer 20 pekeyako ni starehe au ni stress. Conclusion yangu...
8 Reactions
13 Replies
469 Views
Katika familia nyingi za kiafrika ukali kutoka kwa mzazi mmoja au wawili, hasa baba imekuwa kama desturi kwa baadhi ya familia. Hali hiyo inaweza kusababisha watoto kuwa na hofu na wasiwasi...
0 Reactions
4 Replies
248 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…