JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu wazima hivi ni kweli kuna mganga wa mapenzi, au ni sound tu tunapigwa?
6 Reactions
40 Replies
920 Views
Hivi kwa bongo hii kuna MBOGA Safi inayovutia kuzidi hii? Kuna watu wanakula MBOGA Safi bana!
10 Reactions
44 Replies
2K Views
Wakuu nimekaa nikakumbuka miaka hiyo kipindi cha SITOSAHAU cha RFA. Ilikuwa ikifika hiyo mida ni kukaa karibu na redio mfano wakati wa simulizi ya Gamboshi 😂 asee? Wahenga kipindi kipi...
4 Reactions
112 Replies
2K Views
Mhhh, watu wanapeana ushirikiano jamani. Inaonekana huu mchezo unapendwa na jinsia zote, sasa ni kuwatenganisha tu kama talebani. ==== Pia soma: Wanawake na tabia ya kutusogezea makalio...
44 Reactions
191 Replies
25K Views
Je, ulishawai mkimbia mwanamke au kumuacha mwanamke gesti baada ya kutofautiana na je sababu ilikuwa ipi ukamuacha peke yake ukasepa zako?
18 Reactions
269 Replies
12K Views
Mimi natumia Samsung A50, wewe unatumia simu gani?
5 Reactions
68 Replies
1K Views
Binafsi natumia wimbo wa Wiz Khalifa_High_as_me
7 Reactions
86 Replies
2K Views
Mwenye jibu anipe
2 Reactions
38 Replies
772 Views
Swali limejieleza hapo juu! Katika tittle.. ××× Mimi mpaka leo sijui kwanini wanaume wana matiti
2 Reactions
53 Replies
963 Views
Kichwa habari kiko clear kabisa kuna watu wametumia lugha chafu sana ndani ya mitandao na wengi tu kupata ban... Ni nani hao ambao waliongoza kwa lugha chafu zisizio na staha na kuharibu mada ya...
2 Reactions
105 Replies
8K Views
Aisee maisha marahisi sana. Kuna demu kanisumbua weee mpaka basi. Ila kuna siku alipoona App ya JamiiForums tu kwenye simu yangu, aah mwenyewe kalainika. Akaniona bonge la mtu Akaniambia kumbe...
9 Reactions
61 Replies
4K Views
Wadau kuna members humu ndani wana fix sana.... sijapata kuona.. yaani wanakufunga kamba mpaka mtu unajishtukia kabisa. huwa sometime utawashtukia namna wanavyojichanganya. kuna jamaa kaweka post...
15 Reactions
100 Replies
7K Views
All d best Sema amen kama umeelewa
1 Reactions
1 Replies
135 Views
Tumesubilia kwa hamu hatimaye tumemuon mwenye Ina TV kwa ndani😂😂😂🤣😅😅🏌‍♂️
3 Reactions
15 Replies
672 Views
Wakuu Yaani salamu za shikamoo zimekuwa nyingi sana, wakati nikijiangalia kwenye kioo bado najiona Handsome. Ni mnyamwezi fulani hv najipenda muda wote nanukia, kipato si haba. Nina O moja...
5 Reactions
10 Replies
259 Views
1.Huyu jamaa ni member mwenye kisebengo kuliko wote humu Jf 2.mada zake ni za kitoto hazina mantinki 3. Anapenda sifa kama harmorapa na nahisi ni ndugu take Ushauri nirkuwa naomba kwa wale...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Happy born day Bro HR 666 Mungu akujalie maisha marefu wewe na shemu langu Shunie [emoji148] [emoji145] [emoji149] hii zawadi yako mkuu [emoji154] na hii suti ni kwa ajili ya harusi yenu wewe na...
0 Reactions
8 Replies
830 Views
Hawa jamaa akili zao zinafanana kweli Hawa watakuwa ndugu tu ila hawajuani.
4 Reactions
84 Replies
6K Views
Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is...
7 Reactions
123 Replies
19K Views
Hivi siku ukapata bahati ya kuonana na mwana JF machachali anayejulikana kama HR 666 utamwambia kitu gani ambacho ulikuwa unashindwa kumwambia humu jukwaani?
0 Reactions
92 Replies
7K Views
Back
Top Bottom