JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Vipi wakuu, mimi hapa napitia contact list yangu Kuna baadhi ya contacts sizijui kabisa na sikumbuki nilizipata vipi na wapi. Kuna mmoja nimekuta nimemsave "muuza madela" ila sielewi chochote.
0 Reactions
5 Replies
235 Views
Hiki kigari kidogo cha joto kisichokuwa hata na airbag wala accident proof measures za msingi kama automatic turn signal na object detectors CHA AJABU huku nyuma kameandikwa IST na natamani sio...
7 Reactions
32 Replies
1K Views
Ufeki Ufeki Kufeki Vyafeki Nyumbani unakuta una li sabufa feki linakupiga kelele na kutokujua unaweka msauti mkubwa kukomoa majirani kumbe unajimaliza mwenyewe. TV feki linakumulikia mwanga...
1 Reactions
3 Replies
180 Views
wakuu,, Kuna manzi inasema niitumie nauli ije kutoka mko x! Nawasiwasi isije nizima. Mbinu gan nitumie asile nauli wala nikimkatia tiket asiuze
1 Reactions
6 Replies
225 Views
Mimi nimemmisi siku hizi amekuwa adimu Vipi nyie hamjammisi?
4 Reactions
27 Replies
465 Views
Hapa ni baadhi ya matendo ya mtu mshamba Hapa haihitaji elimu kubwa kujua kama huyu mtu ni mpori mpori 1. Kuvaa Yebo na soksi Hapa usiulize sana 2. Mtu asiyetaka kuongeza lugha ya asili hata...
12 Reactions
130 Replies
2K Views
Habari wakuu, Siku mbili nyuma nilikua safarini kutoka mkoa x kuja mkoa y. Safari yangu niliianza majira ya saa 1 jioni kwa usafiri wa bus. Sasa kuna mtu tena mmama nilikua nimekaa nae siti moja...
6 Reactions
22 Replies
564 Views
Kula vizuri hasa mbogamboga na matunda ,kunywa maji ya kutosha ,lala inavyotakiwa , kama una hofu au mawazo jitahidi kuviepuka ukizingatia hivi huondoa ngozi kusinyaaa na kuifanya iwe na nuru Ila...
8 Reactions
13 Replies
529 Views
Habari za muda huu Wana JF! Kuna hali ya mabadiliko imenitokea kwa kipindi cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe. Nikiiona pombe, naikinai na najisikia kutapika. Sikuwa na wazo la kuacha pombe...
10 Reactions
141 Replies
2K Views
Kama wewe mtaalam wa chocho na machimbo ya Kigoma. Nipe hizi code Wapi napata 1.Supu nzuri ya samakiiii mkubwaaa😋 2.Kuku chomaaa wa kueleweka😋 3.Kitimoto maridadi kabisa😋 4.Ugali wa lowa😋
0 Reactions
4 Replies
215 Views
Unaambiwa analia sana huko Serengeti anataka kuja Yanga, anadai Mbappe na Halland pia wanaomba nafasi jangwani. Hatahivyo uchambuzi wa kihasibu unasema kuwachukua ni hasara kwani wataishia benchi...
2 Reactions
11 Replies
525 Views
Heri ya siku yakuzaliwa rafiki yetu,mwana chit chat na MMU mwenzetu yna2 Mungu akupe maisha marefu shemela
4 Reactions
49 Replies
3K Views
Kwa kweli nina hoja na mambo mengi ya kupost katika JF ila sioni sehemu ya kupost! Is it because am using a phone or what is the problem?
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Habarini Wana Dodoma, nimeingia hapa jijini Leo jioni toka Mbeya,mwenye kujua location ambayo naweza kupata chakula Cha kitofauti kabisa mathalani ugali wa mtama au uwele na nyama ya punda...
5 Reactions
19 Replies
349 Views
Inaonekana yule Steve msemaji wa waigizaji amemchapa Haji Manara na hapa anapewa pongezi. Tupate habari kamili. Kutoka kwa Jemedari Said
1 Reactions
3 Replies
354 Views
Pombe ni tamu sana lakini ina balaa lakeee! Kama mimi nikiwa na stress nikilewa pombe nitaliaaa machozi hayoo mpaka mashavuni. Yani mtu akinisemesha naangua kilio balaaa ila pombe...
21 Reactions
491 Replies
33K Views
Kuanzia sasa hakuna tena hela ya kutolea unapo mtumia mwanamke hela,akitaka hela kamili afuate geto Kuna vifungu viwili vya uhaini vimeongezwa,ila nakumbuka kimoja tu,mwanao akitaka kuazima geto...
13 Reactions
39 Replies
899 Views
Eti mala yako ya mwisho wewe kuokota pesa lini na ulikota shingapi? Na ushawai oupoteza pesa kiasi gani mpaka ukajilaumu sana Mimi mara ya mwisho kuotoka pesa ilikuwa juzi shilingi 100 niliokota...
6 Reactions
11 Replies
284 Views
Back
Top Bottom