JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Demu wako kaenda kukutambulisha kwao kufika getini unakutana na dada yake ambaye ni demu wako wa zamani kidogo unamwona kaka yake ambaye ulipigana nae kwasababu alikufumania na demu wake...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
An 8 year old son asks her dad, "What's the difference between 'Potential' and 'reality?'" Dad turns to wife, "Would you sleep with Barrack Obama for $1 million?'' Wife answers, "Of course, I...
5 Reactions
1 Replies
1K Views
Wafuatao ni baadhi tu ya Wanyama na tabia zao, ambazo Mimi, wewe tunazo na wakti mwingine ni vikwazo kwa watu wanaotuzunguka. 1. PUNDA: anaposema "Siendi" haendi hata umpige na gogo la mbuyu...
2 Reactions
74 Replies
15K Views
Q. Why do lazy people always claim to be perfectionists? A. Because they always take the lazy way out --- Q. Why do ignorant people always have the most to say? A. Because they think they know...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
An Elder was asked to preach in church for a Sunday Service. His sermon was as follows: Dear Brothers and Sisters!!!!! Today I want to talk about a piece of meat. THAT PIECE OF MEAT...
2 Reactions
7 Replies
877 Views
Huku kwetu hasa shuleni ni jambo la kawaida mtu kupandisha mashetani au kuanguka kwa mashetani hasa wadada, je uko kwa wazungu nao wanapandishaga au?
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Madame B, hata haka kautepe ka BRONZE jamani kanakushinda....! Jina kuubwa, lakini unatuangusha bana, hebu sema na shemeji akuondolee hii aibu....... LOL Copy to: Paloma, amu, Asprin, na...
10 Reactions
111 Replies
8K Views
Ndugu mwenyekiti wa chama cha punyeto Tanzania [CHAPUTA], Makamu mwenyekiti CHAPUTA, Katibu mkuu CHAPUTA, Viongozi mbalimbali pamoja na wanachama wa CHAPUTA, Mimi Shadow7 nikiwa na akili zangu...
17 Reactions
121 Replies
8K Views
Nani mkali kati ya hawa. 1-abbah 2-s2kizzy 3-mesen selecta 4-raizer 5-mr t-touch 6-kimambo 7-yogo me namkubali namba 1"abbah''
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Nilikutana nae mtandaoni si nikajipinda kuomba picha nikijua naopoa pisi kali kumbe pisi kombe!.. na hii ndo picha yake Baada ya kuiona sikujibu chochote zaidi ya kumuwekea haka ka video Tuwe...
6 Reactions
44 Replies
4K Views
Hivi kwann mademu wakali siku hizi ni ngumu Sana kuwapata kwa baadhi ya sisi vijana tusio na hela, nimekuwa nikisoma nyuzi za member mmoja wa humu anajiita Zero IQ, Huyu jamaa anasemaga anawala...
4 Reactions
18 Replies
4K Views
Huyu ndio mlevi 1: Akipata kazi ANALEWA 2: Akifukuzwa kazi ANALEWA 3: Akioa ANALEWA 4: Akiachika ANALEWA 5: Akifurahi ANALEWA 6: Akichukia ANALEWA 7: Akipandishwa cheo ANALEWA 8...
2 Reactions
10 Replies
746 Views
Hii kusema kwamba mke mwema anatoka kwa MUNGU naikataa kwa kweli kwa sababu hao wanawake wema Duniani hapa nahisi wamebakia wachache mno. Sasa cha msingi bora tu ukiona umechoka kulala peke yako...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Hakuna bia nilikua napenda kama castle milk 6.0 vol, nakumbuka 2015 nilikua napiga mwisho 3 hapo lazma nizimie kitandani. Siku hizi naoana zimerudi zikiwa maji kabisa,bora Guinness mls 300 unywe...
1 Reactions
10 Replies
733 Views
Huu ni uzi maalumu kwajili ya kupeana directions mbalimbali za sehemu tunapoenda ili kuepusha usumbufu unaoweza kuepukika au kupelekea mgeni kupotea kabisa. Naamini JF ina members kutoka pande...
2 Reactions
6 Replies
683 Views
Tuseme hata usiku ukiwa macho Jambo lipo ambalo linakusumbua Sana akili katika aspects mbalimbali na unaliwaza Sana Mimi katika Mambo ya mahusiano nawazaga Sana kuhusu mchumba wangu flani ninataka...
0 Reactions
8 Replies
735 Views
Jamani mie naacha kuajiriwa naenda kupiga boda boda ushauri wenu jama pikipiki ni yangu.
0 Reactions
3 Replies
454 Views
Anayebisha alete ushahidi.
2 Reactions
40 Replies
4K Views
Tambua Dalili za kujinyonga Police Tabora yatangaza kuwasaka wanaotegemea kujinyonga. Zifuatazo ni baadhi ya viashiria vya anayetaka kujinyonga 1. Kuzungumza kuhusu kujinyonga 2. Kujitengatenga...
10 Reactions
43 Replies
6K Views
Maisha yana matukio mengi ambayo yana muunganiko wa moja kwa moja kwenye hisia zetu, hivyo unapoyakumbuka unaweza patwa na hisia ya huzuni au furaha. Hivyo leo tukumbuke matukio ambayo tuliwahi...
7 Reactions
25 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…