JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ujumbe kwako kipenzi cha roho yangu hazard,mwanaume nikupendae kwa dhati. Mwanaume ambaye sijawahi kuacha kukuwaza.Wewe ni zaidi ya mwanaume,hakuna mwanaume yeyote duniani anaweza kunielewa zaidi...
20 Reactions
704 Replies
28K Views
Huu ni uzi maalum kwajili ya kukumbushana baadhi ya vitu vidogo vidogo ambavyo huwa tunavipuuza lakini kuna muda vinaweza kutucost sana na kutusababishia matatizo. Inaweza ikawa iliwahi kukutokea...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiuchumi hii ni njema sana, sijui kiafya ikoje! Utasikia watu wakisema ukichanganya bia unalewa fasta, binafsi nilidhani tofauti ya bia ni majina tu na viwango vya kilevi ila viambata vingi ni...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
A. Miiko yao kuhusu wakwe ni ipi? B. Wanawaheshimu wakwe kwa kiasi gani? C. Utamaduni wao kuhusu sherehe za harusi au msiba ni upi? D.majina yao ya asili ni yapi ? Angalau matatu!!! Nisaidieni...
3 Reactions
140 Replies
34K Views
Watu wote nawasalimia hasa wenye Imani kwa mwenyeziMungu napenda kuwasihi kama hujapata nafasi ya kwenda kusali swala tano Basi angalau ijumaa uende masjid nyie Ni ndugu zangu lazima nawashauri...
2 Reactions
1 Replies
334 Views
Hamna Mwanaume rijali asiyetoa hela yake kwa msichana tunaliwa wote, embu UWABATA wa kweli ajitokeze aseme Kama hajawahi kuhonga. Dhambi zote Ni biashara na biashara zipo kila point katika Dunia...
2 Reactions
8 Replies
754 Views
Bagosha nise twimane a bhanu abali umu. Nasoma mashandikwa ga majogoli naduma ukumana gete. Ndiganika pye muli mhola. Welelo abize ning'we.
6 Reactions
246 Replies
31K Views
I asked my doctor today how long he thought this COVID thing will last... He said, “How should I know, I’m a doctor not a politician.”
0 Reactions
2 Replies
656 Views
Kuna katabia kamoja kabaya sana naona kanaanza kuota mizizi. Unakuta mkuu kauliza swali kwa mtoa uzi au mtoa hoja. Mkuu mwingine anatokea na kumwambia "akikujibu nitag" na yeye anasema poa. Sasa...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
SIKU HIZI KUNA KATABIA NAKAONA BAR Umeenda zako mahali unapiga gambe na meza imependeza anatokea jamaa kapendeza na kaweka ufungua wa gari kiunoni anajisogeza na bia yake moja story nyingiiiii...
18 Reactions
45 Replies
3K Views
The married couple were in the middle of an argument. Husband: "Do you know the meaning of the word WIFE? It means 'Without Information Fighting Everytime!'" Wife: "You're wrong, it means 'With...
1 Reactions
0 Replies
579 Views
Teacher: "Whoever answers my next question, can go home." One boy throws his bag out the window. Teacher: "Who just threw that?" Boy: "Me, and now I’m going home.
3 Reactions
2 Replies
890 Views
Week yote hii napata shida kuhema yaani engine yangu ya mapafu nahisi Kama ime block halafu kwenye Koo Kuna uzito flan Kama vile mafuta ya mboga yameganda.kifua kimekuwa kizito lakini nawaahidi...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Wajameni eeeh siku ndio hizo zinajivuta, Hebu leo fanya kuchagua wa kwenda kutembea nae siku ya valentine kutoka humu humu Jf. Na ukimchagua anaweza kukubali au kukataa pia na ikitokea mpo wengi...
3 Reactions
55 Replies
3K Views
Yaani sisi tuna nidhamu sana. Viongozi wa JF tunaomba mtupandishe cheo kabla mwaka haujaisha, hii ikiwa ni sehemu ya kutupongeza na kuwashawishi wale wanaopata banned. Imekuwa tunalinganishwa...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu. Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio...
15 Reactions
25 Replies
6K Views
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1 Reactions
4 Replies
1K Views
na anza na hii HOUSE OF SICK PEOPLE INCLUDING TREATMENT AND LABOR. ndo nini et
1 Reactions
4 Replies
745 Views
Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kila mtu ana weakness yake sasa ebu tuseme leo tuone kama hivi vitu huwa vinafananaga kwa wengi. Mimi bhana weakness yangu ni churaaa yani churaaa nikipishana na mkia haswaa lazima nigeuke nyuma...
5 Reactions
156 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…