JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Je ulipo kua huko shuleni ama hapo ulipo umeshawahi kuwa na cheo gani? Na ulikua unapata faida gani? Maana wengine walikuaga viongozi lakini walikua hawajui nini chakufanya Embu sema ulikua na...
3 Reactions
86 Replies
4K Views
Habari za mida hii ndugu zanguni kama kawa kama dawa, tupo tunalisongesha gurudumu la maisha na tupeane pole kwa Corona ila tujikinge na tuwakinge wengine. Basi baada ya hayo tuamie kwenye maada...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
1.Tunakukumbuka - king crazy GK 2.I'll be missing you - bad boy entainment f. Faith Evans (mase) 3.swahiba- Jebby f. Afande sele 4.life goes on - Tupac 5. I miss you aaliay - missy elioty...
0 Reactions
26 Replies
9K Views
Sababu kubwa ni kwamba nimeanza Kuwaonea tu Wivu wanaozivalia na kunawia kutokea nchi za Zimbabwe, South Afrika, Kenya na Rwanda pia.
2 Reactions
3 Replies
436 Views
Kama kichwa kinavyojieleza wakuu, Kuku wa jirani Yangu amepotea sasa jirani yangu huyu yeye badala ya kuniuliza kasafiri Kimya Kimya kwenda Sumbawanga sasa Matatizo huwayanatatuliwa hivyo Jamani...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
January ishaanza kufika ukingoni na saa tunasubiri ujira ambao ni haki yetu ya msingi. Najua kuna simbanking na internet banking lakini utamaduni wetu wa kupeana updates tuuendeleze. Ukiuona...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari. Na imani wote ni wazima wa afya! Karibu tuzungumze na kuweka matukio (Scenario) ambazo zinauwezekano mdogo kutokea(Probability yake ndogo kabisa) na kama ikatokea basi nini kitafanyika...
0 Reactions
1 Replies
456 Views
Nilijifunza kunywa mwenyewe 2009 na nimeamua kuacha mwenyewe 2020.Kila la heri wanywaji.
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Mimi Dar mara ya kwanza nilifika wakati naanza chuo. Sasa toka zamani nimekuwa nikiisoma Coco beach. Yale magazeti ya Sani na Bongo yalinijengea picha kuwa Coco beach ni sehemu moja babkubwa sana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni mzungu kabisa baba yangu ni mu Irish na mama anatokea Scotland hivyo ni mskochi Kama hamuami shauri yenu.
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari wakuu napenda kujifunza utofauti upo wapi?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Namshukuru Mungu kwa afya leo nimetimiza miak 34 tangu nizaliwe. Nawashukuru wazazi pia kwa kunilea na kila kitu toka kwao. Maisha yangu bado napambana. Hapa nilipo sina Nyumba, mke wala gari...
6 Reactions
8 Replies
809 Views
Leo naomba mniulize chochote kuhusu mimi na pia ningependa niweke wazi kuwa sitataja jina langu wala sehemu ninayofanyia kazi
4 Reactions
496 Replies
30K Views
Naaanza Mimi Ni asubuhi nimeaamka Mara pa Naona ka sijielewi duuh Kumbe ni J3 mitungi ya Jana Imenichanganya ndo mana hata sielewi Ni noma kwenda mbele siunajua tena wasela ndo ivo 😀😀😀😀😀😀...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wazee Majuzi kati nimeenda hapa home kwa wazazi . Sasa nimesajiri line mpya juzi tu nikaona ngoja nimjaribu huyu mzee. Nikaandika text kwenda kwake. "Vipi ile hela naisubiri me Suzy" Nikaona tu...
1 Reactions
10 Replies
667 Views
well hapa haitakiwi kuongea sana,ni kuzishusha tu kama ifuatavyo: 1-INFIDELATORS wanatakiwa kugharamia kikao cha kwanza wanapokutana na infideletees wapya kwa asilimia 100...
10 Reactions
1K Replies
57K Views
Kwenye jukwaa letu pendwa kila mtu amekumbana na mikasa majanga na vituko mbalimbali ambavyo haviwezi kumtoka kwenye mind yake, mi naanza na hivi: 1. Sitosahau siku najiunga jf niliambiwa na...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Baadhi ya wahaya wanadai na wako serious makamu wa Rais mpya wa Marekani Kamala Harris ni damu yao. Labda utetezi wao ni kutokana na jina lake la kwanza. Ki ukweli Kamala Harris baba yake ni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hakuna kitu kinatisha kama ndege inapoanza kupaa aisee. Yaani unaona tu majengo yalee kama viberiti. Nakumbuka kuna safari niliwahi kukacha kurudi na ndege nikapanda basi. Ile kitu acha tu.
0 Reactions
14 Replies
900 Views
Back
Top Bottom