JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Watu wazima mtakumbuka! Mkutadha wa mpira wa miguu uligunduliwa huko China! Walikuwa wanacheza mpira wenye umbo kama la yai! Hakukuwa na magoli wala jezi kipindi hiko, watu walitambuana kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Sehemu ninayoitafuta iwe na huduma za muhimu karibu kamavile MAJI, HOSPITAL, UMEME NA MTANDAO WA SIMU UWE UNAKAMATA 4G BILA USUMBUFU Sehemu hiyo isiwe mkoa wa Dar, Kilimanjaro...
3 Reactions
132 Replies
16K Views
Angalia siku ya kawaida kwa Kiduku Lilo inavyoenda kama yanavyoeleza maelezo hapa chini..... Unaamka asubuhi unawasha gari lako kama ni Range, BMW, Benz, Ford, Audi au Jeep... ambalo jana...
18 Reactions
50 Replies
7K Views
Nakumbuka siku ile umekuja nyumbani Massachusetts, kumjulia hali mzee baada ya kutolewa hospitali ya Hopkins alikokuwa amelazwa Ulitufariji sana familia yetu kwa ujumla. Sitasahau ulipotusaidia...
2 Reactions
4 Replies
524 Views
Kila nikimtoa out mtoto wa kike kama sio mtumiaji wa pombe basi ataagiza fanta passion na kama haipo utasikia anataka mo passion. Kuna siri gani kuhusiana na vinywaji hivi vya passion ni kwamba...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Imagine Vuta taswira Siku itokee mamilioni ama ma elfu ya watumiaji wote wa jamiiforums wote tukutanishwe sehemu moja na kufahamiana. Nani ungependa kumjua na kwanini? Nani hutaki kukutana naye...
3 Reactions
56 Replies
2K Views
Haya mitano tena mmeiona? Hakuna hata mia ya kuhonga! Wanaume wanazidisha ubahiri wengine hata familia wamezitelekeza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mitano tena.... Mjiandae kisaikolojia...
2 Reactions
3 Replies
724 Views
Waswahili walisema akunyimae mbaazi kakupunguzia mashuzi. Jana nimeenda sehemu usiku kwa mwaliko. Walipika Mbaazi. Kwa kweli nlikula nikazipenda. Ila shughuli yake nimeiona usiku na leo hii...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Super tag hawa jamaa ndo mi nasema ni famous nilijiunga tu siku ya kwanza nikawajua!Ila inaonekana wako famous humu JF Joanah Use brain Heriel Joannah Scars cocastic Chakorii Depal Boeing 747...
15 Reactions
91 Replies
5K Views
Habarini wakuu! Kwa wale wote waliobahatika kupiga shule ya pandahill apa mdio mahali pake sema lolote na nn unakumbuka na mwalimu gani huto weza kuja kumsahau mfano mm siwezi kuja kumsahau ticha...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Finally mwaka naumaliza vizuri kwa muvi safi. Nimeisubiria toka dec 2019 Hatimae imetoka 16 Dec 2020 wameipiga danadana sana loh. Kwa mwaka huu muvi ya Extraction bado ilikua inashika namba moja...
5 Reactions
77 Replies
6K Views
Juzi ijumaa nilipata mtoto wa kikwere kutokea Bagamoyo. Nilimnywesha pombe akawa chakachaka...hata mimi nilikua najikaza nisilewe ili nikaimudu kazi vilivyo. Tukanywa mtoto akalewa nyakanyaka...
0 Reactions
16 Replies
719 Views
Kwanza Hongereni kwa kufanikiwa kufuzu AFCON mwaka huu baada takribani ya miaka 38. Pil tu niwe muwazi mimi ni mmoja ya wale tuliopata bahati ya kuwa warefu. Ila kusema ukweli watanzania wengi...
18 Reactions
202 Replies
23K Views
Watu wamekuwa wakila mboga kwa visingio mbalimbali, wengine wakisingizia hii sio mboga, hii ni mishikaki. Wengine wanasema hii sio mboga, hii ni supu na wengine wanasema hii sio mboga ni nyama...
0 Reactions
2 Replies
710 Views
Funguka bila hofu..mimi ningependa kifuatacho kiwe..
10 Reactions
165 Replies
10K Views
TWENDE SAWA....... .................... Wewe ni muuzaji wa duka, mteja anakuja na shilingi elfu Kumi (10,000/-) feki anataka Mkate wa shilingi 2,000/- ...wewe bila kujua unaipokea lakini...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea, Hebu tusemezane kidogo ni maamuzi Gani magumu umeyapanga kuyafanya mwaka huu ili upige hatua katika maisha
2 Reactions
29 Replies
2K Views
-kuweka mlio wa mchiriku kwenye simu yako -kuvaa soksi zenye matundu -Kuhadithia muvi za akina Kanumba... -kujitazama kwenye vioo vya madirishani -kuvaa suruali ya kitambaa ndani una kibukta -...
11 Reactions
101 Replies
7K Views
Hi ni kutokana na kadi ya clinic majibu kuwa negative kwenye upande wa vipimo (nadhani tunaelewana). Wazee huwa tunapakimbilia sana hapo. Usiku mwema wakuu
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Wadau humu habari za saa hizi, Okey jana bwana kuna kisanga kimenitokea kisa Kunywa pombe ila kuweka sawa tatizo hilo ni hivi Mimi huwa nikinywa pombe huwa napata vibe la hatari. Yani nakuwa...
3 Reactions
7 Replies
883 Views
Back
Top Bottom