Dunia tunayoishi ni Dunia ya mashindano. Maendeleo tunayoyaona sasa yametokana na mashindano yaliyochagizwa na wivu.
Sasa kama uko na site unajenga, ukiona marafiki wamekutembelea na wakaondoka...
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu
Wadau wa JF, niulize Chochote Kuhusu Shule ya Sekondari Ya Jitegemee Enzi za Mwalimu Masawe, Kipingu & Kichonge
Mnakaribishwa kwa maswali
Wale wakola wenzangu wa kuchapa maduu tuambizane hapa gest gani uliyowahi kuitumia kwenye mambo yako na bei ilikuaje?
Pia tuambizane chimbo za gest za bei nafuu ili namna gani vipi ukiopoa ujue...
Watanzania Wazalendo wote
Hamjamboni wote!
Naomba mfahamu ya kuwa siyo kila abebaye mayai kwenye baiskeli hususani phoenix anatokea kanda maalumu ya Tarime
Hiyo ni dhana potofu na inayokera...
Habari za mihangaiko ndugu jamaa na marafil wa jf.
Natumai wazima wa afya tele,
Mm pia cjambo
Wana jamii wenzang ,wake kwa waume vijana kwa wazee, mabibi na mabwana napenda kufuchuka nafasi ya...
Habari wapendwa,
Hapa nawazungumzia wale tulioshindwa kufaul mtihani wa kidato cha nne kwa miaka ya 2010-2015 na kuingia mtaani kusaka chapaa.
Lengo nikuwapa hamasa wale waliofaulu kwenda vyuoni...
Habari!
Tukiendelea kusheherekea Mapinduzi ya Zanzibar na kuwaenzi mashujaa wote. Tutumie na kufahamu misemo ya zamani na maana zake.
Kuna huu msemo wa "Uchawi auvuki bahari" nimekuwa nikisikia...
Na kinachonishangaza zaidi Joni ni mkubwa Kiumri na hata Kipesa kuliko Huseni ila cha Kushangaza ni Siku chache sana tu Huseni wa Visiwani Zanzibar kapanda Cheo cha Kusimamia Karafuu za Zanzibar...
Leo nikiwa kanisani mapema sana, ndipo mchungaji akasema kila mtu amwambie jirani yake "deni langu limelipwa na Mungu"
Sasa nami ile nageuka pembeni yangu ili nisema neno hilo la pastor kwa...
Nakumbuka miaka ya nyuma Hali ilikuwa nzuri na ya kuridhisha kwel kweli,licha ya upigaji wa maeuro/mapound tulokuwa tunaminya bado Hali mtaani ilienendelea kuwa fresh ukilinganisha na sasahivi...
SEPTEMBER 2020
#Jamaa: Lissu ni kibaraka wa mabeberu. Amepewa pesa na mabeberu kuja kuharibu amani ya Tanzania. Magufuli tano tena.!
#Mimi: Bro hiyo sio siasa. Jadili issues acha kuattack...
Nishagonga like 665 kuwapa watu so leo ni siku ya kumpatia mtu like ya 666, tofauti na like zingine hii kidogo itakuwa unique kwani atakayeipata basi atapata na offer. Nitaitoa kwa atakaecomment...
Humu ndani hawakosekani watu wanaokufagilia kila mchango unaotoa lazima wapite nao kwa kuweka like.na wewe zipo ID ambazo chochote wakichangia kwenye thread husika lazima tu uwape likes.ebu wataje...
karibuni katika kipindi chenu pendwa cha JF search member kutoka kwa host wenu babumawe, kipindi hiki ni maalumu kwa wale waliopotezana na wawapendao ndugu, jamaa, wapenzi na marafiki .either iwe...
Kuna uwezekano mkubwa Kijana na Mwanasiasa Machachari nchini Uganda Robert Kyagulanyi ( alias ) Boby Wine akawa ana Ndugu yake wa Damu kabisa huku Tanzania aitwae Maxence Melo ila bado...