JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hello . . . Kama mnavyojua aisee , Wanaume tunayo majukumu mengi sana katika kipindi hiki cha sikukuu inafika kipindi kichwa kinauma hadi unatamani siku zipite fasta. All in all huwezi kukwepa...
0 Reactions
0 Replies
437 Views
Nilipowatembelea baadhi ya marafiki zangu kuna vitu vya ajabu nimekutana nazo. Vitu hivi vinachekesha na vingine vinaogofya ama kutisha. Kuna mmoja nilikuta geto yake ana kitanda cha hospital...
19 Reactions
86 Replies
8K Views
Binafsi, mwaka 2020 nimejifunza yafuatayo: 1. Kujitegemea hasa kiuchumi. Kuweka mipango thabiti ili kuepuka kuanguka. Mfano hai, mie binafsi ninajua nikianguka huenda nisiweze kuinuka tena kwa...
4 Reactions
17 Replies
934 Views
Challenge time, naanza mimi Mapebzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
3 Reactions
139 Replies
7K Views
Kuna wakati kipindi Cha huzuni kinakua kirefu kias kwamba hata ujaribu kua strong kuna mda u just can't take it anymore. May the good Lord remember all the unhappy souls.
1 Reactions
8 Replies
664 Views
Ndugu zangu huu ndio ukweli. "Pombe na wanawake huwapotosha wanaume wenye akili"
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Heri ni siku yako mzeebaba Ollachuga Oc keep fighting bro everything is yours believe in plan A[emoji3][emoji3][emoji3] #ShabikiNguliWaChelsea.. #CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
8 Reactions
44 Replies
2K Views
Ifuatayo ni misamiati inayotumika kwa wingi na pengine kwa upekee tu hapa JF kiasi cha kwamba ukitumia kwenye mitandao mingine ya kijamii unaweza usieleweke; Mkuu Chattle wakiamaanisha Chato...
5 Reactions
94 Replies
7K Views
"Mimi hapa ndio babu Baba yangu ni mawe Mchumba wangu ni...... nishajieleza mamaaa.!!" HAYA TWENDE NA HILO BEAT WATOTO WA MWAKA 2000 HAMTOELEWA KAMWE
2 Reactions
6 Replies
489 Views
I searched the heavens and the earth, I found none whose charm and beauty I can compare to you. You bring so much joy to my heart, I want to do same for you, as long as I live if you take me as I...
7 Reactions
51 Replies
2K Views
Unajua wabongo wengi tunawaza kiswahili, na tukitaka kuongea kingereza tunaanzia kwenye kiswahili kisha kingereza. Sasa kuna vioja ambavyo huwa naviona watu wanajitutumua kwenye mitandao Mfano...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Wanaume wenzangu naomba tupitishe azimio la pamoja kama ifuatavyo:- 1. Kuanzia 2021 hakuna kumtumia Demu nauli, hata kama ni 400/= 2. Hata kama umemtumia hela, let say ya matumizi hakuna...
3 Reactions
9 Replies
627 Views
Hello! Habari za purukushani za siku? Kijana wenu mtafutaji kwa mara nyingine. Pole kwa wenye matatizo na shida mbali mbali Mwenyezi Mungu awajalie, na kwa wale wengine Mungu atuepushe na matatizo...
5 Reactions
25 Replies
1K Views
Stress ni nini? Stress ni pale unapotia mimba mwanafunzi, Ubishi ni nini? Ni pale unapokataa kuwa mimba sio yako, Doctor anaamua kukufanyia vipimo. Bahati ni nini? Bahati ni pale doctor...
14 Reactions
32 Replies
2K Views
Habari Mabibi na Mababu, Hapa JamiiForums ni sehemu ambayo imekuwa ikitupa maarifa, connection, dili mbalimbali, wachumba, marafiki, ucheshi nk. Nimefanya kautafiti kadogo nikagunduaa ata uwe...
10 Reactions
51 Replies
6K Views
Mwenye kujua neno au maneno ambayo ukiyasoma au ukilisoma neno hilo kutoka kushoto kwenda kulia ni sawa na kutoka kulia kwenda kushoto. Naanza na hili : Uvivu Tuendelee waungwana....
0 Reactions
8 Replies
715 Views
Hakuna ugomvi wowote mpenzi wako anakutumia ujumbe kama huo. Upepo wa december mtu anahitaji likizo [emoji23][emoji23] nmecheka sana hiki ni kituko cha aina yake kwenye mahusiano. Share kituko...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Mimi Doctor Pancho, Kuelekea mwishoni mwa mwaka na tunakaribia sikukuu hizi. Kwa wale niliowakwaza kwa namna moja ama nyingine, Ama hata kuwatusi maana mikwaruzano kwa binadamu ni kawaida. Hivyo...
2 Reactions
7 Replies
520 Views
Binafsi macho yangu nayapa pole sana
1 Reactions
24 Replies
4K Views
BABA KANIPIGA SIMU MAMBO YAKAWA HIVI.* Baba: Mwanangu ni nini kinaendelea hapo shule? Mimi: Maandamano Baba: Na wewe umeungana na wenzako? Mimi: Hapana Baba: Vizuri sana mwanangu...
12 Reactions
13 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…