JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wasalaam, Moja kwa moja kwenye mada, Kuna baadhi tabia ambazo huwa tunazifanya mbele za watu lakini Ni mbovu na zinakera! Mfano 1. Mtu yupo bize anatembea anakula, may be kanunua Hindi la...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu habari za muda huu? Bila shaka nisiwapotezee muda: NAOMBA KUJUA KWANINI WATUMIAJI WA POMBE (walevi) wana connection sana kuliko walio okoka nk.
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Ninapenda kula kiporo cha wali lakini kikishaingia kwenye fridge tena kipashwe moto kwenye microwave kinanishinda. Nimeshindwa pia kula kiporo asubuhi. Ni kheri nipate matunda asubuhi kipolo...
13 Reactions
77 Replies
7K Views
Habari za mida Wadau. Nategemea kwenda KWA jirani zetu siku chache kabla ya x-mass Wasi wasi wangu ni juu ya vipimo vya Covid. Je kuna mtu amesafiri kwenda huko hivi jaribuni snipe mrejesho...
1 Reactions
2 Replies
571 Views
Kwenye mada. Umewahi kutana au kusikia wabongo wakijisifu ujinga? Sijui ni kutojua au sijui ni nini? Mi nawakutaga wa hivi. 1. Mi mvivu sana kunywa dawa, yaani si malizagi kabisa. Wamenisema...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mtu akiwa na vyake na ukataka uvitumie na wewe vyako vikitumiwa kaa kimya. Nikiwa na maana kwamba kama unamsema mtu kwa mwingine yaani unapeleka umbea basi na Wewe ukisemwa utulie msumari...
0 Reactions
1 Replies
460 Views
Type salam yako ya asili (lugha mama),then atakaye ku replay basi huyo ndio ndugu yako humu jukwaani! Naanza mimi;mubhaho se?? #jr
0 Reactions
6 Replies
403 Views
Ningeokota hela milioni kumi Leo ningemtolea mwanaume mahari anioe; maana sio kwa visingizio hivi!!!!
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Nianze na utangulizi. "Sredi" hii naileta kwenu ikiwa ni maalum kutoa challenge kwa mheshimiwa Mshana Jr, dhidi ya uzi wake aliyouleta hapa unaosoma kwa headin, "Kuvaa chupi ya mpenzi wako si...
0 Reactions
47 Replies
10K Views
Kwa ajili ya kuombeana, kuomba kwa ajili ya Watu wote kuombea taifa, kuombea watakatifu na kujiombea sisi wenyewe ili tusije kuachwa katika safari hii ambayo tumesikia kuwa wateule Ni wachache...
5 Reactions
16 Replies
962 Views
Hii option kiukweli natamani ingekua inafanya kazi yake. Ili nikimfollow member humu niweze kupata notification kwa anacho andika. Kiukweli kuna member wanaandika vitu fact kabisa tena sana, Hasa...
5 Reactions
15 Replies
588 Views
Kitendawili!!!!! Ni mweupe Kama Barafu, Na Ni mweuc Kama Giza, Kuliwa Ni Haramu na ana manyoya mengi mwilini. Jina lake lina herufi (5) Na linaanzia Na Herufi (X). Wanaume huonana nae mara 3...
1 Reactions
11 Replies
16K Views
Hakuna mahusiano yanayoanza mwezi huu wa December Huo ni mtego chunga wallet yako.
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Usipocheka unaumwa sio bure au Ni senior kauzu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787]
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Tukumbukeni misemo ya zaman tupia na yako mie naanza na: Shingo feni Lala mbele Mambo kwa soksi
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Kuna siku nilitembelewa na rafiki pale nyumbani, basi kama wazee tukaona sio mbaya tukikaa nje pembeni kidogo ya nyuma palikua na mti mkubwa uliofanya kivuli safi kabisa. Nilimuita yuke kijana...
6 Reactions
14 Replies
1K Views
Kula katika sahani moja kulijenga upendo na uaminifu. Mtu unaekula nae sahani moja kila siku ni rahisi kumkukumbuka ukaribu wenu mmoja ajipata matatizo. Leo hata vijijini mtaoakuliwa kila mtu...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Natumai usiku wenu kwa sasa ni mzuri,wengine wanafanya maandalizi ya kupiga game ili Walale wakiwa wamekumbatiana..😊😊wengine haijulikabmni kama wako kitandani au uwanja wa mpira maana kila mtu...
8 Reactions
48 Replies
2K Views
SIKU YA KWANZA Mimi: Oya inakuwaje? Mbona leo umechelewa hivyo? Anita: Usafiri ulikuwa shida kweli yaani, nilisubiri gari mpaka nikakoma, yalikuwa yakipita tu. Mimi: Pole sana, kwa hiyo...
0 Reactions
48 Replies
7K Views
1. Daladala nyingi za Dar, taa za kulia huwa ni full light tu. 2. Makonda wa daladala karibu route zote isipokuwa Posta-Mwenge ni wachafu sana 3. Madereva wengi hutumia pombe kali, hasa K-Vant 4...
3 Reactions
6 Replies
929 Views
Back
Top Bottom