JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Maisha haya achaa tu Tokea nimenunua ka vx8 nakutana na mambo ya ajabu sana juzi natoka zangu nyumbani naelekea shambani na gari langu mpya aina ya vx8 kwaajili ya kwenda kubebea mihogo na mkaa...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Salaam wakuu. Niende kwenye mada moja kwa moja. Kumekuwa na mambo mbali mbali yenye kujenga, kufundisha na kuburudisha. Lakini katika wingi wa mambo hayo huwa inatokea mtu unataka kutoa ushuhuda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
BABY HAUJAUMIA? Nasikia ukiwa na hela DAR, hata ukijamba demu anakwambia, pole baby, hujaumia? Ishiwa sasa, utasikia, anajambajamba ovyo, nitolee kipindupindu chako hapa
7 Reactions
18 Replies
3K Views
▼ ‹ › Home View web version Wednesday, August 14, 2013 Udaku Specially at 9:33 AM SHILOLE ASHUSHIWA KIPIGO KISA MADENI... Msanii nyota kwenye tasinia ya muziki na filamu bongo Zuwena...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
*DADA ANGALIA JINA LAKO* 1. Brighter 170,600 2. Esther 7,200,000 3. Margret 280,000 4. Joy 90,800 5.luch 1,500,000 6. Victoria 1,300,200 7. Maureen 4,600,000 8. Juan 820,000 9. Charity 3,200,000...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Sio mapenzi sio pesa vyote hivi vinanisumbua akili yangu, ila kwa suala la pesa nazani limefika mwisho wa kusumbua akili yangu.. Maana kwa jinsi hali ilivo ngumu nimeongea na ndugu zangu...
3 Reactions
1 Replies
746 Views
Pokeeni Salamu zenu nyingi kabisa kutoka hapa Nyumbani Mkoani Gisenyi nchini Rwanda. Nashindwa kuwa nanyi mara kwa mara kwakuwa huku Kijijini ( Shambani ) nilipo kuna muda Mtandao haukamati...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Kile kitendo cha kuomba chenji kwa mwenzako uwe mfanyabiashara au siyo hudumisha amani kwani anayeombwa naye hutoa akiweka akiba kuwa akiishiwa ataomba kwa aliyemsaidia. Ila kwa watu mlioishi na...
0 Reactions
3 Replies
457 Views
Naomba kujua hii colour maana tumebishana hatujapata majibu mwingine. Anasema kaki mwingine carrot mwingine rangi ya maziwa.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Siku ya leo nimetimiza miaka kadhaa duniani, Nawashukuru wazazi walionileta duniani Japo wametangulia mbele za haki(RIP Dad&Mum) Namshukuru MUNGU kwa uzima na afya, Sifa na utukufu namrudishia...
9 Reactions
37 Replies
2K Views
Ukiulizwa na mpenzi wako sasa hivi unataka nini utamwambia unataka nini? Mimi nimemwambia aje kulala huku wiki moja.
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Hapa kwetu uswahilini, tumeamka na tifu la kufa kuku na vifaranga wake. Mtoto wa kiume ambae tulihisi tangu mwanzo ya kuwa ni kachumbari ya makafiri, anashikana nguo na mama yake mzazi kisa...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Baada ya makamanda kunishambulia sana nilipoleta uzi wa uzuri wa stand ya makao makuu ya nchi, nilijiuliza kwanini wanakuwa wabishi ndipo nilipoanza kuchunguza jengo la makao makuu yao pale mtaa...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Muda mwingi mzazi wa kike (Mama) ndani ya nyumba ndio mwenye majukumu ya kuwaangalia watoto wadogo. Ila muda ambao mama anakua hayupo nyumbani basi baba ndio huchukua majukumu ya kuwaangalia...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari wanabodi, Kwa hili vuguvugu na joto la kisiasa linavyoendelea nchini tanzania hivi sasa (Kufukuzwa uwanachama Mh Membe n.k) na sintofahamu za wapinzani kusulubiwa pasipokua na huruma. Na...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hii kitu ilinikuta kweli jamani... Sehemu ninayo fanya kazi aliletwa binti mumoja kuja kufanya kazi, kiukweli sio siri nilimuelewa sana kiasikwamba kuna siku alipatwa na tatizo na njia pekee ya...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
1. Wengine kila tupandapo Dala Dala ikitokea tumebahatika Kukaa Siti Moja na Abiria wa Kike Kutongoza / Kumtongoza ni Jambo la lazima mno kama Israeli na Roho ya Binadamu. Sasa huwa inakera zaidi...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
MARA nyingi AKILI yangu huwa inafanya kazi kulingana na mtu ninaekutana nae. Kuna mtu anajua mimi ni mjinga. Kuna mtu anajua mimi ni mtu mwenye upeo mpana wa kufikiri. Kuna mtu anajua mimi ni...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Karibuni katika uzi huu, lengo na nia ni kuweka tweets mbalimbali za wabongo kutoka twitter, ambazo zinaweza zikawa za kufikirisha, kushauri, kufurahisha na hata kupongeza! Naanza na hii...
9 Reactions
159 Replies
14K Views
Mwanzoni mwa mwaka huu kama masihara nilijikuta naingia ktk huu mchezo baada ya kujiunga kampuni mojawapo sitoitaja jina. Kwa kifupi ni kwamba kushinda huwa nashinda ila kuliwa ni zaidi. Pili...
10 Reactions
81 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…