JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
miss chagga, Evelyn Salt, Heaven Sent na Madam B hawa wadada walinifanya nicreate accnt JF ili nije kupambana nao huko mnakokuita PM ila nilivyojiunga tu nao wakapotea humu Nanii alikufanya...
16 Reactions
225 Replies
9K Views
Kutokana na uzi wa mkuu Nikifa MkeWangu Asiolewe nimevutiwa kuanzisha hii maada ili watu wengine wajifunze kwenye hii maada kua watu wanapambana usiku na mchana, Upambanaji upo na watu...
3 Reactions
15 Replies
466 Views
Hii inafikirisha sana na inaonesha ni kwa namna gani wanawake wengi ni wabinafsi. Mwanaume akipata pesa atakachofikiria kuoa na kupata watoto na kuendeleza familia iwe bora zaidi . Ila sasa kwa...
10 Reactions
14 Replies
536 Views
Wakuu heshima yenu. Nikiwa kama mtumiaji wa hicho kinywaji,nina malalamiko yangu kwa wahusika. Toka siku tatu au nne zilizopita kumekua na uhaba mkubwa wa safari lager chupa kubwa hapa Dar...
2 Reactions
45 Replies
739 Views
Habarin Baada ya kusumbuliwa na stress kidogo na haya maisha nika ona labda nijaribu bangi maan mimi sio mnywaji kabisa wala mvutaji hapa mtaan kuna ka chimbo nakajua kuna jamaa hizi ndo kazi zao...
17 Reactions
75 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF. Napenda kuchukua wasaa huu Kumshukuru Mungu kwa ajili ya rafiki yangu, ,mshauri wangu na ndugu yangu, Dinazarde,kwani siku ya leo miaka kadhaa nyuma alizaliwa! Mungu...
10 Reactions
80 Replies
4K Views
Wanajamvi nipo Tabora Muda huu ,ndio mara yangu ya kwanza ,kwa wenyeji wa huku nipe location ya viwanja vilivyochangamka vyenye watoto wakali ,Sina usingizi kabisa
0 Reactions
8 Replies
281 Views
Ijalishi ni msikitini, kanisani, kwa profesa janabi, serikalini, kazini, mitaani na n.k Ila wanywa pombe ni watu ambao wanaumoja kwenye mambo yao kuliko hawa wasiotumia. Leo jioni mtu anajigamba...
9 Reactions
16 Replies
525 Views
Kuna members wengi wameshawahi niona mtaani sema hawajui kama ni mimi. Kama unaishi Dar na umeshawahi kukutana na mkaka mtanashati sana handsome, tall, great manly features hadi ukashikwa na...
16 Reactions
63 Replies
4K Views
Kwanini Sasa hivi Mashangazi wanawapenda vijana Siri ni nini hasa? Moja kwa moja kwenye mada Imekuwa trend siku hizi kusikia mahusiano ya mwanamke mkubwa mnene hivi mwenye nyama nyingi aka...
6 Reactions
72 Replies
2K Views
Hawa watu wamenifanya nipende mpira sana Namba saba ya realmadrid Na rephanie Camivag
2 Reactions
4 Replies
215 Views
Nilikuwa KING MSWATI IV enzi zangu, naomba sana kama kuna aliye na mwanangu anipe sasa. Nimejadiliana na mke wangu Lady doctor tumeona tuko tayari kuanzisha ALCC. (Arushaone-Lady doctor Children...
17 Reactions
603 Replies
27K Views
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu Tuendelee...
15 Reactions
172 Replies
10K Views
Nimejifungia zangu ndani natafuna karanga za maganda hapa, nikimaliza napata supu yangu ya sato mzima aliyewekewa viungo vya kila aina. Baada ya hapo, nitapiga 'wine' yangu taratiibu; sijajua...
3 Reactions
8 Replies
274 Views
Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu? How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
18 Reactions
229 Replies
2K Views
Huyu member anae jua id yake mpya anipe pm nimemkumbuka sana sijui nini kilimfanya apotee hapa jamvini
1 Reactions
17 Replies
278 Views
Habari wakuu, Naomba kujuzwa kwa mtu aliye Mbezi Beach shule anafikaje Chanika mwisho kwa usafiri wa daladala . Option ya Bolt inaleta mpunga mrefu kidogo 52k
2 Reactions
8 Replies
755 Views
Naombeni waungwana
0 Reactions
0 Replies
143 Views
Naomba kuuliza hivi nyie wengine mnawezaje kunywa kulewa halafu hampigani ngumi? Mbona mimi siwezi!!
17 Reactions
108 Replies
2K Views
Back
Top Bottom