2017 Sponsor kakutumia ticket ukaenda ukarudi.Umekaa miaka miwili unazunguka na hii tag tangu trip ile lakini huchani.Umepanda Saratoga kwenda Kigoma kwenu bado unayo hata maandishi yamefutika...
Wadau wapi jijini Mbeya kwenye baa nzuri, yenye huduma nzuri, wahudumu bomba na wenye huduma nzuri?!!!
Je Karembu bar bado inawika? Nataka nitoke mishale ya saa 11 nikapunguze stress japo kiasi...
Tupia ka-video kafupi kasekunde chache kakuchekesha na kuburudisha/kufurahisha
Usisahau zile video za wadada wanaokata mauno ya kufa mtu ;)
pale unapomfumania na dereva bodaboda na demu wako
Watu wengi hupenda kuonekana wastaarabu katika jamii inayomzunguka n.k Unavyojiona ya kuwa wewe ni mstaarabu kuliko wengine,ina maana wewe una sifa zipi?
Sawa tumeshajua kuwa Kawe Asili yake ni ' Cow Way ' au ' Njia ya Ng'ombe ' hivyo kwa mwendo huo huo leo na Mimi GENTAMYCINE naomba kujua Asili ya haya maeneo ambayo Siku zote nimekuwa nikiwa na...
Huu upepo unavuma sana takribani wiki hii yote huenda ndio ulioleta mvua na mafuliko mikoa ya pwani. Hadi huku bara
hali si shwari, vipi huko mliko hali ikoje?
Kama kichwa cha habari kinavojieleza
Maana ya jina langu limetokana na dinosaurs huyu alikua na mbio Kali sana kama mm nilivo so nkajibatiza jina lake
Tyrannosaurus
Habari zenu waungwana natumai mko poa.
Tanzania ina makabila mengi zaidi ya mia na kila kabila lina utaratibu wake liliojiwekea.
Mila na desturi za makabila yetu zinatofautiana, embu tujuzane ni...
Hivi watu wa hii nchi mbona ni makauzu na mabandidu sana? Kwa style hii ya kukutana na kila mtu amenuna tutafikia lengo kweli?
JANA NIMEKUTANA NA MAKAUZU WENGINE WAMEPAKIZA SPIKA KWENYE GARI ETI...
Yaani nyie Mashemeji zangu Wachagga pamoja na Ujanja wenu wote lakini mkiwa mnafika tu maeneo ya Korogwe huwa ‘ mnatekwa ‘ Kirahisi mno hasa pale mkiwa mnasafirisha Maiti kwenda Kuzika Kwenu hadi...
Ndugu zangu naomba namba ya simu ya ndugu Rostam Aziz ili niweze kuwasiliana naye. Nimekuwa nikimtafuta kwa 0754555555 lakini nahisi alibadilisha namba.
Kazi njema kwa wote. Thanks in advance
Habari zenu wakuu,
Nimeingiwa na wasiwasi sana, nina mpenzi wangu nampenda sana, lakini hivi karibuni ameanza kubadilika.
Kila muda nikionana naye ananipa stori za mshana jr na Bujibuji, anadai...
Salute. Kiukweli tangu nimeingia hapa takribani miaka 6 nimegundua ni moja ya jiji la starehe kuliko yote hapa nchini kinachonipa shida moja wanawake wa huku ni vicheche sana si wote lkn ukijabu...
Kuna group moja la whatspp niliungwa nikiwa kama mgeni nikasalimia nikaona kimya, nikasamilia Mara ya pili kimya hakuna anaejibu nikatulia kama nusu saa nione kinachoendelea kimya hakuna...
Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"
Nikajua huyu mtu lazima alikuaga na Range Rover
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...
I hope you are doing well, and I'm good too.
Kindly, take heed to what I will say today. Actually, is so sad to find out many liers are people who are close to our life, such as our friends and...
Aman iwe nanyi wakuu
Leo niko safari froma mwanza to Dar lakin niko na mnyama mkali sana mzee wa kuchanga mbuga ranger ford
Ebhana ee
Nitakuwa nawapa update ya safari na njian kwa ujmla
Safari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.