JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari, Guys, kwa mtu yeyote anayejua magari mazuri ya kusafiria safari za mkoani especially Mbeya aniambie 'luxury bus' kama kuna sehemu za kuchaji. Ikiwezekana kwa anaejua au amesikia ni basi...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Je, hii mvua ni baraka za Mwenyezi Mungu kwetu wakazi wa Dar es Salaam? Mvua kunyesha non-stop 24/7, hii mvua inanyesha tu by chance?
1 Reactions
5 Replies
775 Views
Simu feki zina tabia ya ajabu sana,unaweza ukaandika thread yako vizuri wakati unapost simu feki inaweza kuyabadilisha maneno yako mwisho ukaonekana uliandika uzi ukiwa kwenye ambulance...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Hello wanajukwaa,poleni na majukumu naenda straight to the point Mimi Ni mpenzi Sana wa nukuu(quotes).zimekuwa zikinisaidia katika changamoto nyingi hasa za kielimu,kimaisha,mfano "money speaks...
0 Reactions
0 Replies
620 Views
  • Closed
Sometimes Love emotions arise anywhere, And ain't guilty to say how you feel about someone whom you love. Sio mchangiaji sana humu ila ni msomaji mzuri wa mada mbali mbali.. Nimejikuta navutiwa...
4 Reactions
407 Replies
24K Views
Habari ya mawio? Wise man once said " East or West, home is the best " kwa hakika hakuna mazingira murua kabisa kama nyumbani. Nakumbuka niliwahi rudi nyumbani kwa ajili ya likizo. Wakati huo...
3 Reactions
64 Replies
5K Views
Hasa za kwenda makwetu huko mbagala huko ndani ndani maana ndipo tulipo , na tunako ishi . Dah aseee nyomi lote hili hapa gerezani daladala stand , just dah ahahahah aseee , na mvua hiii Oh...
1 Reactions
1 Replies
641 Views
Naombeni msaada kuhusu mazingira gani mazuri kwa kujisomea kati ya kupanga au kukaa hostel za chuo ili kupata matokeo chanya? Tukianza kwa gharama, nasoma chuo ambacho hostel zake ni laki 4 kwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Inawezekana vipi Hawa Swansea wanatufunga Man United kwa Mara ya tatu mfululizo Na serikali ya CCM inaangalia tuu?... Tunataka mabadiliko
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Mara ana v8,mara yuko kwa Dadake amekataliwa na demu , mara Ana range, mara anatafuta fundi gari inagongagonga dah acheni uongo wadau mmezidi. Kwa wanao wafahamu watakuwa wamenielewa
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mabaharia wenzangu najua mtakuwa mmenielewa sio lazima mpaka tupelekwe na Upepo wa Kisulisuli![emoji14][emoji13][emoji39][emoji39]
8 Reactions
58 Replies
5K Views
Dalali wa kazi ambaye yupo Morogoro mjini nitafute 0712650183
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyojieleza nataka kwenda kusali jumapili hii kwenye ilo kanisa.
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakandarasi watakiona cha moto. Jamani uniform za askari wetu zinapendeza..
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hapa ni kwa ajili ya wale wanao tumia social network eg.jf, Facebook, whtasap, insta etc 1:kujifunza technology 2:kupata marketing connection za biashara 3;kupata marafiki na life mates...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwasababu gani wanandoa au wapenzi wanajiachia mpaka wanafikia kujirekodi video za uchi? Kwani mnakua hamridhiki kuangaliana bila kurekodiana? Kwani mwaka gani itakua mwisho wa kumdharirisha...
4 Reactions
46 Replies
4K Views
Hamjamboni. Went uelewa watusaidie TAFSIRI ya maneno hayo!
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Mimi Ollachuga Oc as a big fan of Chelsea and Mtiba shugwa ya Tanzania napenda kujitakia kheri ni Siku yangu ya kuzaliwa. Miaka 25 iliyopita mama alileta mtu muhimu sana duniani ambaye ni mimi...
4 Reactions
64 Replies
3K Views
Nimeamini kwa nini ukiitiwa mwizi unauawa sekunde moja, Nimeibiwa Computer aina ya Toshiba dynamic setelite L20, simu Samsung galaxy grand prime na pesa ndani yaani nimepandwa na hasira balaa...
2 Reactions
84 Replies
8K Views
Back
Top Bottom