JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Siku hizi ukitaka utoboe mapema kimaisha ishi maisha ya kinafki nafki utatoboa sana kimaisha Nataka niwe mtu wa kusifia sifia tu kiwe kibaya kiwe kizuri nasifia tu as long as nayemsifia ana hela...
9 Reactions
20 Replies
2K Views
Nimemtafuta tokea Jana hadi hivi leo sijamuona je, kuna mwana ' Twitani ' Mwenzangu labda amebahatika Kumuona ama akitoa Taarifa zake Nyeti au hata akichangia tu Kimikogo kama kawaida yake...
3 Reactions
120 Replies
13K Views
Heri ya siku ya Baba yetu wa taifa wanaJF Vipi pale umemaliza shule O-level/advance then umefeli. Wenzio wanaenda/wapo/wamemaliza chuo. Unajisikiaje? Au unajisikiaje pale unaulizwa na manzi chuo...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Local za kimtaa mtaa zile za kariakoo na stand nyingine za miji ask for ... 1.Active man 2.Dark Fever. (Kama zipo nyingine mtaongeza) OG perfume Worldwide za Bei ghali . Unaweza tumia ...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Karibuni sana wadau mtembelee Iringa miezi hii march na april. Kwani kuna ulanzi kwa wingi kipindi hiki ukipatikana asubuhi mchana na jioni,maboga,mkaliifya bila kusahau matunda aina ya mitundwa...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Leo nataka nione kitu gani ushawahi copy..so just comment kitu cha mwisho ulicho wait IGA.... Mimi tayari nishaweka changu πŸ‘€β˜πŸ‘†
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hebu chukulia imepita miaka takribani 15 au 20 kabisa toka uhitimu masomo ya ngazi flani mfano: elimu ya sekondari au chuo Lakini ghafla siku za karibuni unaota ndoto umerudi tena masomoni tena...
6 Reactions
41 Replies
39K Views
Kesho najibu Maswali magumu magumu Mf :- -Zaidi ya Ngono mwanamke ana nini cha ku-offer? -Unampa mwanaume kila kitu bado anakuacha, hizo kilakitu ni zipi? -Kwanini ni muhimu kuwa na Viwango vya...
0 Reactions
8 Replies
786 Views
Nawakumbusha tu, Malaya hasikiagi nyege anawaza pesa yako tu so usije ukaonesha ujuzi au kuchosha pingili zako za mgongo kojoa mpe chake sepa... Niongeze sauti au inatosha[emoji1529][emoji441]...
0 Reactions
1 Replies
313 Views
Wacroatia πŸ‡­πŸ‡· wanatamaduni ya kumalizia majina yao na "ic" mfano Modric Mandzukic Olic Je, wewe mwana JF ungezaliwa croatia ID yako ingeandikwaje? Mimi naanza "worldbossic"
1 Reactions
13 Replies
944 Views
Nawakumbusha tu, Malaya hasikiagi nyege anawaza pesa yako tu so usije ukaonesha ujuzi au kuchosha pingili zako za mgongo kojoa mpe chake sepa... Niongeze sauti au inatosha[emoji1529][emoji441]...
0 Reactions
0 Replies
313 Views
Jina lake aliitwa Daniel.... Baba ake alifahamika kwa jina maarufu mzee tupatupa, waliishi mbeya eneo la Ghana.... Majirani zao walikuwa mzee mpiga Uzi na Mama moshi.... Anaemfahamu anijuze
0 Reactions
6 Replies
841 Views
Nahitaji nyumba ya kupanga chumba na sebule ziwe na choo ndani. Contact 0787101726
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Ulikuwa wapi?,mimi nilikuwa darasa la pili shule moja maarufu jijini Mwanza, mwalim akapiga kengele akasema tunarudi nyumbani sababu Nyerere kafariki,nilikuwa hata sijui Nyerere ni nani, mimi...
19 Reactions
454 Replies
32K Views
N aje ni vip ? Husika na somo tajwa hapo juu.. me ni kijana chini ya miaka 30 nimepanga chumba kimoja huku Tembon kipato changu cha kawaida sana under10k per day. sasa bhana nisiwachoshe wala...
2 Reactions
7 Replies
851 Views
Wanaume kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu Sema tumekubaliana nini kama ulikuepo
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Hello wakuu! Huyu ni rafiki yangu tulikutana hapa hapa JF. Tulizungumza mengi sana kuhusu 'tafsiri za ndoto' karibu kila siku tunazungumza hayo. Bahati mbaya nikapoteza simu yangu, namba yake...
1 Reactions
12 Replies
884 Views
Naam kumekucha ni siku mpya tena [emoji23][emoji23] >wasichana waliokuwa wakifagia ofisi za waalimu >Wale wote waliokuwa maskauti >Wale wavulana waliokuwa hawataki kukaa na wasichana dawati...
7 Reactions
67 Replies
5K Views
Nakumbuka kipindi hicho bado nipo seko Hii team Alteza ilikuwa inatamba sana batani kila sehemu za bata wapo na ukitaka kujiunga nayo lazima na wewe uwe na Alteza Nakumbuka kipindi hicho...
1 Reactions
110 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…