Majukwaa yote yana heshima zake na kumekuwa na taratibu zinazoelekezwa; kwanza wakati wa kujiunga na JF na taratibu zingine za kila jukwaa. Pamoja na yote hayo, hapa CHIT CHAT tumekuwa na tatizo...
Huku nilipo tumepishana na Tz Masaa mawili. Nmeamka nikaenda GYM hapa hapa Hotel. Huku kwa wenzetu Five Star Hotels lazima ziwe na Gym. Sisi ambao hatuna stress na miili ina shukrani usipoenda Gym...
Mwanzo alikuja mshana jr na selfiker sasa Bujibuji na picha za utotoni, mimi nakuja na uzi wa vichululu na vipapuchi wa utotoni.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Unakaribishwa
Uzalendo umenishinda mzee wa kasumba na nimeamua kudhihirisha kasumba zangu. Kuna dada mmoja maarufu Sana hapa JF, kiukweli nimetokea kuvutiwa nae Sana.
Nimeona Bora nimfuate huko wanakokuita PM...
Uzoefu wangu nimeona kuwa watu wafupi walio wengi ni Magenious pia wanaustaarabu wa kuzaliwa nao
Toa maoni yako tuone kama na ww umewahi kukutana na kundi hilo
Leo mchana kwenye safari zangu hapa mjini nilifika sehumu kilukua kuna kitu nataka kununua price ilikua 1.8m balance yangu ya ilikua laki 9 na 86 nikaona isiwe tabu nikaanza kuangalia majina ya...
Ukiwa unatoka asubuhi kuelekea kwenye mihangaiko yako utaipenda mabibo ndani ya daladala,iwe ukiwa unaelekea makumbusho ,kariakoo au mnazi mmoja ndani ya daladala utakutana na watu wamependeza...
Wadau najua kila mmoja ana mila za kwao. Hebu tukumbushane kidogo miiko yetu ili hata ambao hawazijui waweze kufahamu kwamba zilikuwepo. Hapa haijalishi ni kwa kabila, koo n.k
Mfano:
1. Mwanamke...
Wale ambao mlibatizwa mkiwa wadogo, mlipata mafundisho ya dini, mlipokea sakrament zote za kanisa. Wengine mnakumbuka mbuzi wakichunjwa siku ya Kipaimara na watu walikuwa pilau na soda...
Weekend ndio hiyo inaanza, kila mtu alikuwa na enzi zake,
Kuna ambao enzi zao zimepita kwa sababu ya umri na wengine ni kwa sababu ya majukumu,
Kuwa mzee hakukufanyi usikumbuke Enzi zako,
Kuna...
Habari za siku nyingi JF members..
Nachukuwa fursa hii kuwataarifu kuwa @Shombelakisomali nimerudi tena baada ya kupigwa ban la nusu mwaka nzima..
Nikiri wazi kuwa nimeumia vyakutosha kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.