*JINSI YA KUENDELEA KUWA MASIKINI*
1.Usiamke mapema.
2. Usipange matumizi ya Pesa zako.
3. Usiweke akiba mpaka utakapo-kuwa tajiri.
4. Chagua kazi. Mimi nimesoma siwezi kufanya hii kazi.
5...
Ifahamike sitotaja jina la wahusika/mhusika
Kuna jamaa mmoja hapo kibaha alitembelewa na Shemeji yake (kaka wa mke wake)
Basi jamaa alishindwa kudhibiti tabia yake ya kumpiga mkewe na gubu...
Jamani nilipokuwa mdogo hii ndo ilikuwa hobby yangu maana kwa umbo langu dogo sikuweza kupigana ila ukinikosea kidogo..nitakupa neno utakaa kimya mwenyewe!
Najikumbushia tu...(usinichukie...)...
Hello leo nitakuwa pale posta/ferry naangalia meli na pantoni zikipita ni pale pembeni ya kituo kidogo cha polisi kivukoni ukija unaweza kuniona...musio na mishe ya maana wenzangu hapa town...
An Italian, French and Indian went for a job interview in England .
They were told that they must compose a sentence in English with three main words: Green, Pink and Yellow.
The Italian was...
Habari
Siku za hivi karibuni kuna rafiki yangu amepangiwa Mwamashimba kwenda kufanya kazi huko.
Wanaoijua embu mnijuze pakoje vip huduma muhimu zinapatikana?
Ni kisiwa kinachopatikana kando kando mwa bahari ya hindi chenye ukubwa wa hekari 16.
Inaaminika kuwa haishi mtu pale toka karne ya 19 hadi leo huku kukiwepo misikiti iliyojengwa toka karne ya...
Hivi karibuni nime expirience tatizo la gas kuisha ndani ya wiki3 tofauti na siku za nyuma, ikumbukwe naishi na mke only hatuna house girl wala ndugu, wote tunatoka asubuhi sana na tunarejea...
Kwa wale wenye wenza wao humu jf kama usingekua na huyo uliyenae sasa ungetamani kuwa na nanii humu??
Huu ni uzi wa kuwa huru na kufunguka hata kama yupo hapa wewe usimwogope sema tu kama siyo...
Hakuna kipindi kigumu kama kuanza kuishi na beki tatu aisee kuna vitu vingi vya kushangaza..tulipata beki tatu toka Iringa picha linaanza tulimwambia apike Uji aisee tutakuta kaweza...
Habarini wana jamvi…
Leo ningeomba mawazo yenu kwenye hiki kisa..ni mkasa wa kweli…nitatumia majina yasiyo rasmi.
Aku na Sam ni wapenzi tangu wakiwa shule ya sekondari, walifanikiwa kumaliza...
1. Kama ulikata daftari mara mbili. Kipande kimoja ukaacha nyumbani na kingine ukaenda nacho shule. We ni shujaa.
2. Kama ulitumia kipande cha kandambili kama ufutio.
3. Kama ulikanyagia...
Habari zenu wadau. Hv hii kitu inawakuta na nyingi au ni mimi tu. Madada wa hapa mtaani kila kitu kikiharibika wanataka mimi ndo niwarekebishie. Iwe simu, saa, tv set zikizingua mpk umeme somtime...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.