JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nilikua nikiwaza Sanaa hivi mfano nikipata mapesa mengi mnoo matumizi yake yatakua ni yepi kweli ninaweza ruka hivi vitu viwili watoto wazuri na vile vifurahishe moyo wangu... Ama pesa...
1 Reactions
36 Replies
3K Views
Mwana Jamii Forum simu yako charge ipo asilimia ngapi mda huu? Mimi hii yangu nahisi ishakuwa pasi maana siwezi kuitumia mpaka nichomeke kwenye socket.
6 Reactions
81 Replies
7K Views
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Huyu jamaa ana uzi wake humu una 1M reply, si kitu ya kawaida hii, alafu amekuwa BANNED [emoji848] alijikuta founder wa JF nini...!? [emoji124][emoji124]
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu kuna huyu dada muigizaji/mchekeshaji namtafuta kwa yeyote anaemjua anisaidie.... kuna vijisent vinanisumbua hapa. Kipenda roho......................................
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Tryna look at this side, wengi tumekutana humu tumekua friends but when it reaches to a point kwamba mwenzetu/wenzetu anaoa/wanaoana je tutachangiana? For me, I know without a doubt Mzigua90...
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Wanachit chat kutokana na waandishi wa habari za udaku kulala mbele. Kiwatengu nashika pen kuwashushia News nzito na zenye uhakika... Karibu udaku!! 1. Hatimaye Munkari aolewa na Afisa...
17 Reactions
199 Replies
17K Views
Wanajamii forum wenzanguu uvumilivuu umenishinda mimi na nikiendelea kukakaa ntaumizaa moyoo mwishoo ntaumiaa.Kama upo humuu ndanii Julieth ni PM nakuomba mimi ni kijana wa kiume mpole ,gentleman...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu kama utasikia mtu yeyote anauza simu aina ya samsung au iphone nzuri isiyozidi laki 3 ambayo ni nzuri isiyo na tatizo lolote iwe na rangi nyeusi we muache auzeee me sina elaaa
1 Reactions
9 Replies
2K Views
*Hapo ulipo hakuna hata mtu amewahi kusema wewe ni handsome ila iba uone* *Utasikia "halafu mkaka mwenyewe mzuri tu sijui kwanini...
7 Reactions
5 Replies
3K Views
Video hii ya mvulana akimpikia mdogo wake wa kike chakula (wali wa kukaanga wa Indonesia) imekonga nyoyo za watu wengi katika mtandao wa Twitter, ikitazamwa zaidi ya mara milioni kumi. Mbali na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nani ambaye hajasoma sekondari boarding kipindi kile hajui utemi na ukatili wa form two? Form one waliitwa njuka unapewa shilingi kumi ukalete vitu vya shilingi 50 halafu urudishe na chenji...
55 Reactions
142 Replies
16K Views
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa mdogo wetu c.pulisic mchezaji mnyumbulifu mwenye udambwi udambwi kutoka pale kwa trump. Habari mbaya sana hii kwa wapinzani dogo anakomaa sasa
3 Reactions
8 Replies
2K Views
0 Reactions
3 Replies
616 Views
Kwanini watu wengi hasa bongo hawapendi kabisa magari ya HYUNDAI,shida ni nini kufanya sio maarufu magari haya hapa bongo. Ukiyatazama ni magari yanavutia sana kwa muonekano wa nje,kwa machache...
0 Reactions
3 Replies
831 Views
[emoji856][emoji856][emoji856]... Kwakweli nimeumia sana sana katika hili ndugu zangu, naweza onekana wa ajabu lakini nimeumia sanaaaa! Jana nimepokea taarifa ya kifo cha paka wangu ambaye...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Habari za weekend wadau. Namtafuta huyu dada anaitwa Khantwe , ni muda sana amepotea Jf. Sio siri huyu dada alikuwa kwenye ramani zangu na nilishandaa majeshi nimtokee mara paap kapotea! Popote...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Nina safari ya kwenda Tabora mwezi wa 3 kwa ajili ya biashara. Natokea mkoa wa Kilimanjaro, si unajua Kilimanjaro hamna mademu wa kiarabu au wabushiri. Nikiwa Tabora nina mpango wa kutafuta...
3 Reactions
198 Replies
110K Views
Back
Top Bottom