katika 100% upo katika kundi gani?
10%= mabaharia fake
30%= wanachama wa CHAPUTA hapa ndani yake wanawake wapo asilimia 2% tu asipimia 98% ni kina wanaume wa dar wengi wao wakiwa ni UVCCM
25%=...
Wadau,
Nataka kujua huyu mshana jr ni mlozi kweli au!? maana huyu mtu namuonaga huku JF kitambo na mi mambo yake ya uganga na ushirikina na ulozi ..mara nyingi huwa naona tu apite hivi..ebana...
Miji 10 yenye pisi kali:
1. Dar 2. Arusha
3. Dodoma
4. Bukoba
5. Tanga
6. Moshi
7. Babati
8. Singida
9. Mwanza
10. Mtwara
Dar: kimbilio la pisi grade A nchini, kuna kila aina ya pisi sound zako...
Aisee hizi habari mbaya sana hasa kwa mji uliobanana kama Dar es salaam. Nilidhani ni propaganda ila sasa mambo sio kabisa! Na hizi daladala zetu full kubanana mwendokasi ndo balaaa aisee itakuwa...
Habari ya mchana wadau nipo njiani kwenda Tabora, naomba kwa wale wenyeji wa Tabora mnianiambie ni wapo napata malazi bora bajeti yangu ni Tsh.50000/= per day
Wadau mbalimbali wanaopenda kwenda kutembea Beach inabidi wajue ratiba ya kupwa(Low tide) na kujaa(High tide).
Kwa Tanzania tuna vipindi 4 vya maji kujaa na kutoka kwa siku, hivyo inabidi ujue...
Haya ni baadhi ya maneno yatakayoingia kwenye matumizi ya kiswahili huku yakiwa na maana mtambuka
1. Baharia
2. Niguse ninuke
Mnaweza ongeza na mengine
Habarini wakuu,
Kama mada inavojieleza hapo juu. Sioni sababu ya kusema mengi saana
Isipokuwa hakuna siku ambayo sintoisahau kama ile sikukuu ya VALENTINE DAY.
Nilimdanganya dem wangu kuwa...
Nmemaliza meeting ya Kimataifa hapa Arusha... Wenzangu wameenda Serengeti na Ngorongoro... Mimi nilikuwa huko miezi michache iliyopita nikiwa na RR. Yaan Range Rover.
Sijaona haja ya kwenda...
*MWANAUME USIMWACHIE MKEO HELA CHUMBANI*
MWACHIE MBELE YA WATOTO NA UMWAMBIE
NA MATUMIZI YAKE, NA WATOTO WASIKIE USIJE KUISHI MAISHA YA UPWEKE UZEENI
*MWANAUME*
Unamwachia mkeo hela ya Chakula...
Naomba kupata marafiki kutoka Kondoa na Singida wawe wa jinsia zote kwa umri wowote.
Mimi natokea Kilimanjaro naishi dar.
Dhumuni la urafiki ni kufahamiana na kubadilishana mawazo.
Mimi ni...
Kama mtu akidukua simu yako,
Akapata access ya kuona call na sms zako kupitia simu yake,
Pia anaweza kutuma sms au kupiga simu kwa kutumia ID yako (means namba yako) kwa mtu mwingine kwa kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.