JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sisi ni masingle ladies nalazima tule raha kabisa . Sio mtu atupangie kula raha eti mtu anakuita malaya kisa unajiachia upendavyo . Dah achani matani maisha nikujiachia sio kusikiliza watu . Eti...
7 Reactions
88 Replies
5K Views
Naona karibia kila mtu JF anazungumzia 7800/=. Hivi inamaana gani ?maana naona kama vile ni mimi peke yangu sielewi!
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Nikiwa naendelea kuzeeka naona bora nitafte mwanamke wa kunisaidia kufua nguo nipeni zawadi kama friends
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mungu kaikumbuka kagera kwa mvua kubwa
0 Reactions
2 Replies
981 Views
Leo katika pita pita zangu nimekutana na hako kamsemo
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Kipindi cha nyuma mabaharia walikuwa wakifanya sana starehe, kwa kuwa mwingi wa maisha yao walitumia melini na pesa ipo mfukoni. Ndipo walipokuwa wakishuka katika bandari lazima wapate mwanamke...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Enzi hizo ukikamatwa, Mwl anachukua hicho kibuti ana ki attach kwenye mtihani wako kisha hata kama dk hazijaisha unatolewa nnje Wangapi mpo makazini kwa msaada wa chabo a.k.a kibuti
0 Reactions
0 Replies
415 Views
nauliza uyu jamaa anaitwa invisible ndo nani? afu nami nataka kua invisible
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Habari JF.. Naomba msaada wenu ndugu zangu nataka kwenda South Africa kutafuta maisha, naomba kufahamu gharama mpaka kufika huko iwe kihalali au kwa njia za panya (hasa hasa hii). Nauli mpaka...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Jina la uzi juu lahusika Naombakurejeshewa uzi wangu wa "Maisha ya Ban yasikie tu"
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Habarini wana JF. Poleni na majukumu makubwa ya kujenga taifa, nina suala nataka niwasilishe kwenu japo ni suala la mtu binafsi. Neno langu siyo sheria hivyo sina maana kwamba nataka watu...
5 Reactions
312 Replies
13K Views
Tafadhari, kama kichwa kinavyosema. Nina kitabulisho cha taifa nilijiandikishia Dar ila kwa sasa nipo mkoani. Lakini nilipochukua niliangalia picha na majina juu juu na kuweka sahihi na kuondoka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Yaan sawa na kusema Jukwaa la MMU ni tawi la facebook. MMU members wanapenda sana mambo ya pampunchi!
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Kumbe bado nahitaji kozi ya miaka maana Jana usiku wa manane nilisikia kwa jirani miguno ya mahaba Mara mvunjiko wa chaga!! Kisha nikasikia baby panda tena dirishani fanya Kama unaidondokea!!!!!!
2 Reactions
9 Replies
3K Views
1-Kula hovyo barabarani. 2-Kujipulizia marashi . 3-Kubishana na wanawake. 4-Kukaa sehemu moja na wanawake wengi. 5-Kuvuta sigara barabarani na huu ni ulimbukeni. 6-Kulewa kijinga hadi ubebwe...
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Ni wimbo gani ungependa dj aupige kwenye party hii
0 Reactions
3 Replies
680 Views
Natafta marafik wakuchat kupoteza mawazo ila wawe wakiume tu....haswa waliopo mwanza ili sometime tunakuwa tunatembeleana
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom