JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna misemo inasaambaa whatsappk kila siku, ikisisisitiza kuwa ni wise quote from Mugabe? Mimi binafsi napatwa na mashaka na hiyo misemo kama ni kweli inatoka kwa huyo mzee. Je wenzangu mnaweza...
4 Reactions
36 Replies
14K Views
Nasema hivi mchumba hasomeshwi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Japo kuna watu wengi tu humu wanasomesha wachumba zao na kuna wengine walisomesha na kipindi hiki wanajuuuta na wengine...
0 Reactions
3 Replies
918 Views
Nina Laptop yangu aina ya HP nilikuwa nimeiacha chaji nimerudi nakuta Kioo kinaonyesha Rangi nyeupe tu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Nimejaribu kuirekebisha nimeshindwa Wataalamu...
0 Reactions
4 Replies
873 Views
Habari zenu, Mimi ni mfugaji nafuga kuku leo asubuhi kuna kuku wangu nimemvumilia kwa siku 5 kutokana na ugonjwa wake nikidhani angepona maana ana vifaranga vya wiki moja ila kadri muda...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Nchi huwa kuna mahali wanaita 'she' or 'her'. Sasa tuseme kwa mfano: Tanzania ingekuwa na shape gani labda? Au Kenya ingekuwa na sura gani labda?
0 Reactions
15 Replies
969 Views
Baada yakuona malalamiko mengi nikaona bora nipite jukwaa la jamii intelligence nimelipenda maana limeniongezea ufahamu wa baadhi ya vitu.
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Habarin ndugu, samahani kwa mwenye ufahamu kuhusu upatikanaji wa usafiri wa IT namomba tujulishane Hususani Dar-Mbeya asanteni
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mara nyingi tunashindwa kutifautisha marafiki wa kweli na wasio wa kweli ndo mana MTU analalamika ametendwa na rafiki wa karibu. Ili umjue rafiki wa kweli unatakiwa uangalie vigezo vifuatavyo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Tarehe na mwezi Kama wa leo ndio siku uliyopata kibali Cha kuletwa duniani. Ifurahie siku yako Mungu azidi kukubariki na ukawe baraka kwa wengine. Heri ya siku ya kuzaliwa rafiki Mr.Marangu
11 Reactions
54 Replies
37K Views
Habarin ndugu, samahani kwa mwenye ufahamu kuhusu upatikanaji wa usafiri wa IT namomba tujulishane Hususani Dar-Mbeya asanteni
0 Reactions
0 Replies
365 Views
Me nashangaa kuona Marekani majamaa wanawamiminia Risasi watu wasio na hatia akati kuna Wasouth africa wanaua watu bila Hatia[emoji24][emoji24][emoji24] Alafu wanatamba tu mitaaani yani wale...
1 Reactions
0 Replies
384 Views
Awali ya yote uongozi wa chama kikongwe jukwaani CC kinatoa radhi kwa changamoto zinazojitongeza jukwaani. Uongozi wa chama umekuwa ukifuatilia kwa kina na kufanya tathmini za dhati kabisa na...
35 Reactions
431 Replies
16K Views
Coment Herufi Tatu(3) za mwisho za Jina la mpenzi wako, Alafu mwingine Aje kumalizia kuandika Jina kwa herufi zingine zilizobaki ili tuone kama atapatia. Mfano. Uma=Mwajuma. Cc Zero IQ
4 Reactions
244 Replies
17K Views
Mbona hainivutii? Mbona sihisi kufurahishwa na topics za jukwaa hili? Nilidhani pengine umri manake ni kama mawazo ya waleta mada hapa yamekaa kitoto toto sana!? Lakini,. mbona wapo members...
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Natoa Shukrani kwa wote walionesha kujali nakutumia sekunde chache kuandika andiko juu ya kunitakia heri ya siku ya kuzaliwa, Mwenyezi Mungu awajalie kila la heri Shukrani za Pekee ziende kwa Yna2...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Mtoto mdogo alipewa maziwa ya Ng'ombe kwa muda wa week baada ya hapo Ngozi yake ilianza kubadilika ikawa na mabaka mabaka na kavuu sana na vipele.. Inaonekana ni Allergy ya maziwa sasa Hospital...
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Anauza juice huyo mi nimemuungisha hapa kwakweli... Uzi tayari..
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Nadhani hamjambo ndio maana mpo jf sasa, mimi sijambo lakini kama afya yako haiko vizuri pole, Nimejikuta napenda kusoma comment tu wakati mwingine bila kuchangia chochote kwa sababu hiyo, ki...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
sijawahi mfahamu huyu baba jamani mara ya kwanza nilimuona youtube nadhani ni last week akihojiwa na dada wa global tv... ilikuwa kama bahati mbaya tu kufungua video yake sababu mi si mtu wa...
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Back
Top Bottom