JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna video zingine inabidi ucheke tu hata kama umenuna kwa kweli hebu tazama hii video.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
What if TCRA wakianzisha leseni ya umiliki wa simu Viambatanisho.- 1.Cheti cha daktari cha kuonyesha afya ya akili yako Na vinginevyo watakavyoona vinafaa then wanatoa Class za umiliki wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Me sipendi haya maswali *Unarudi saa ngapi *Utakula *Una miaka vingapi *Nikija kwani utataka *Uko wapi *Mama yako yupo *Ule mzigo nilio kuomba unanipa Sipendi sana
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kweli kabisa mi huwa nafua nguo Mara moja tu na kuzianika sababu zangu 1. Nilikuwa nafua maratatu ile Mara ya tatu nikaona tanatoka maji na povu jingi nikajua napoteza muda 2. Nguo zangu...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Taarifa ndio hiyo
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa wapenzi wa tik tok mtaandao onao post video za joking na action serious fun unaotumiwa hasa indian ,kenya na Tanzania kwa wachache wao Tatizo lake mmoja tu ukitaka kufaidi usiwe unaweka bando...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani majina ya kibantu ni hazina. Askofu Abednego KESHOMSHAHARA.
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Rafiki zangu Kwakweli Mungu Ni Mwema ,Nimepata Kazi NMB Kama Loan Officer J3 naanza Kazi 0 likes , O Comments Hello Nimefukuzwa Kazi Hapa Kazini Kwangu ,Hivyo Nipo Home Kupisha Uchunguzi Kwanza...
7 Reactions
11 Replies
1K Views
KITUO CHA KUULIZA MASWALI YA KIFALA 1- NA WEWE ULIZA LAKO NA UTAPEWA MAJIBU NA WADAU MBALI MBALI i. Shilingi 1000/-ni bei gani?- Kisa wa Mbeya JIBU:Ndugu yangu swali lako zuri sana, uchumi kwa...
14 Reactions
68 Replies
7K Views
Fanya kubonyeza link,, then jisajili,,, you will thank me Later https://jamiiforums.com/1WI00vXTFZ
0 Reactions
4 Replies
692 Views
D to K, ninapokua home wananiita Dingi kwenye Kaya. katika JF nzima, jukwaa hili ndilo mmejaa watoto kibao, mnajadili madudu tuu, njooni kule JAMII INTELIGENCE tuumize vichwa, sio mnaleta mambo...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Naomba kukuuliza tu mrembo Hajar umeolewa? Thanks in advance
5 Reactions
70 Replies
5K Views
Taarifa za ndani kutoka uwanja wa Taifa ni kwamba Msemaji wa Simba Haji Manara alizimia kabla ya mechi kumalizika baada ya vijana wa UD Songo kupata goli la kuongoza. Baada ya kupata huduma ya...
6 Reactions
29 Replies
4K Views
Je,ww ni mtumiaji wa truecaller ile application kwenye simu basi hii inakuhusu, truecaller ni application ya kutambua namba ngeni inayokupigia sasa basi kama ww unaitumia hyo uko kwenye hatar...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Jumuiya ya Mabaharia kwa Kushiriana na jumuiya changa ya Maharia wanakuletea Kufuli Maridhawa za Kufunga PM Kujipatia kufuli fika kwenye Ofisi za Mabaharia, ama muone Baharia alie karibu nawe bei...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
katika pita pita zangu huko nimekutana na post ya huyu mzee wetu ,analalamika wadada wa bongo mna vizinga sana yu know, na hapo yupo jikoni na le super pajamaz you know ,gadidamu itiii
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna watu majasiri , Rubani kijana atorosha ndege Rubani mmoja raia wa Tanzania anashikiliwa katika kituo cha polisi hapa Johanesburg Afrika ya kusini kwa tuhuma za kujaribu kutorosha ndege...
7 Reactions
11 Replies
3K Views
Nilikutana na mshikaji wangu Tandika stendi ya Mbagala, akanishtua kwa nyuma akisema "Malogymathematic ndio wewe!? upo kaka?" Nikamjibu nipo kiongozi tunasindikiza wenye maisha yao akacheka sana...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni hivi: Nimejikalia zangu bar na ki elfu tano changu cha mawazo, na sasa najipatia kakinywaji kangu uchwara ka balimi huku nacheki mechi ya spurs na arsenal. Wakati mimi nakunywa kibalimi changu...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom