Wakuu, kuna hali fulani hivi huwa nashindwa kuielewa kabisa yaani mara nyingi nikiwa kwenye mizunguko au naelekea mahali ambapo nafanya vitu vyangu, huwa nakutana na watu au mtu karibia kila siku...
1.Baa medi na mademu unaokutana nao club
2.Mama Ntilie
3.Wanafunzi wa vyuo
4.Demu uliyekosea namba
5.Demu mliyekutana katika mitandao ya kijamii
6.Demu wa saluni
7.Demu wa rafiki yako...
Unajionaje katika Mazingira unayo ishi, je unaleta tija katika jamii yako?
Kama huleti tija unafikiri nani anapaswa kuleta tija kama sio wewe?
Je wajua nguvu kazi ya Taifa ni wewe? Badilika...
Habari....
Hivi mwanaume unanunua ice cream au lambalamba unakula barabarani kama mwanamke au mtoto mdogo unamaanisha nini??
Kwa nini mnatudhalilisha sisi wanaume??
ACHENI TABIA ZA KIJINGA, nunua...
*Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-*
1. *WAROMBO; *Hawa wajanja sana kibiashara/*
*wezi pia.* *wanapenda dili za magendo.* *Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini...
Hakuna kitu kinanikera kama tabia hizi za vijana wa mjini wao wanajiita wazawa
Kuomba posho yaani hii tabia siipendi kabisa mtu ukikutana nae tu kama hamjaonana kitambo lazima akulilie posho...
Wana chitchat, karibuni kwenye shindano la kumpata Mwana jf ambaye ni maarufu, napendekeza majina haya yaingie kwenye mzunguko wa kwanza ambayo, baadae yatapigiwa kura
1.pascal mayalla
2.Mshana...
An Ad JF kama huna connection hupati wakuku PM at mtu mmoja
Kweli Bongo Nyoso
Embu tirilika ata kitu kimoja unachoweza pata bila connection ukiachilia Hewa kw apa kwetu Bongo...
1:Nilikuwa NAPITA barabarani, nikaumwa na nyoka. Nani atanisaidia?
2:Nilitumwa na mama KUSAGA UNGA; njiani nikakuta mto umefurika! Nitavukaje?
3:Mtoto mdogo anazikwa kaburi la futi tatu. MTU MZIMA...
Aliwahi kuwafanya wengine wampende na hata wengine wajute kumfahamu...... Aisee tulimtambua kama kubeli, je ulimtumia?
Twambie ulipatwa na mkasa gani kisa kubwia hii
Wale wana JF tunaotupia dawa(kamchongo) tujuane haPa.huu hapa Kuna jamaa yangu kanikeletea kutoka kigamboni Ni mkali balaa.napenda kaudongo kale ambacho kana moisture kwa mbali sio Kama huu wa...