"*Kitendo cha kuchukua tu namba ya simu ya demu wa Dar, tayari nywele zake zinafumuka muda huo huo, njaa inamuuma dakika hiyo hiyo, simu yake inaharibika siku hiyo hiyo, siku yake ya kuzaliwa...
Natumai ni wazima kama nilivyo.
Moja kwa moja pasipo kupepesa macho najitosa kwenye mada yangu.
Wakuru hakuna kitu kinatia haibu/fedheha kama kufumaniwa ukiwa unashusha mzigo au upo bafuni...
Hodi hodi wanabodi kwa mara ya kwanza najitokeza kwenye jamvi nikiomba maoni yunu kuhusu tabia za wanawake wa kipare na taratibu zao ukitaka kumwoa taratibu za mahari zinakuwaje? Nawasilisha!
UJINGA NI NINI?
Ujinga ni pale ambapo demu wako anaweka picha ya mchepuko wake kwenye profile halafu status anaandika R.I.P wewe unaanza kumpa pole ukijua ni(REST IN PEACE-PUMZIKA KWA AMANI)...
Mabachela wenzangu mupooo..
Ebwana hizi kazi zingine bora kuoa tu nakwambia.. Kupika tu wali na samaki jiko limetapakaa vyombo huku na huko..
Sio ajabu siku tatu zinapita vyombo...
Hivi hizi bangili za kimasai wanazosemaga zina uwezo wa kukulinda na hatari au ukapita mahali popote bila kuguswa Kuna ukweli wowote hapo. Nasikia hata madereva wanapendaga sana kuzivaa
*Je, una sura mbaya na ngozi nyeusi?, Je una miguu miembamba?, Je una makalio madogo sana??, Je una shepu mbaya?? Sasa ulitaka awe navyo Nani??? We mshukuru mungu upo hai na viungo vyako vyote...
Kuna rafiki yangu anahitaji kuoa mke ambaye ni mwalimu wa sekondari ameniomba ushauri na mimi nimeona nililete jukwaani.Wapo wanaosema ukioa mwalimu utaishi kama mfalme alie peponi mfano halisi...
Wanasema eti ukitaka kujua ugumu wa jiwe alilotumia daudi kumuua goliathi
Mpe mwanamke wa kichaga unga wa ngano akupikie maandazi...
Sio Mimi..ni msemo tu unaotrend uraiani
Ila mje wenyewe...
Miezi kadhaa iliyopita wateja wa benki yetu pendwa NMB tulipewa taarifa kuwa kwa sasa hakutokuwa na monthly charges kwa saving accounts but nashangaa mpaka leo mimi nakatwa tena mbaya zaidi ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.