JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jamani wadada nyie mnatutesa sana yaani hadi kumaliza kula tunda sio rahisi usisikie kauli hizi 1. Ndio nakuja ila ujue sikai sana 2. Nishukie wapi? 3. Saizi saa ngapi nataka kuondoka 4. Ubaya...
17 Reactions
82 Replies
10K Views
Ushindwe wewe tu Ila kila aina ya mwanamke unayeweza kumuwaza ukiamua unamtaka hili suala lipo under your control kabisa huwezi kufeli.usiyumbe Wala kuwaza kuhusu mwanamke kwa sababu wewe ndiwe...
0 Reactions
2 Replies
751 Views
Nakumbuka mi nlikuwa naitwa mwarabu koko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
0 Reactions
87 Replies
8K Views
Naomba hizi tetesi ziwe za kweli aisee. Watumiaji wote anzeni kufanya mazoezi ya kuwa natural, maana pengine na vitu vingine vikazuiwa pia. Maswala unakuta eti Chausiku nae ananywele hadi...
8 Reactions
102 Replies
8K Views
Habari ndugu Kama kichwa cha uzi kinavyo jieleza mimi ni kijana wa miaka 18 ila tangu nizaliwe sijawahi kumtongoza binti wa lika lolote lile ila juzi nilijaribu kwa binti mmoja jina...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Shepu ya mabonde mabonde Nimeridhia Ntakumiliki usikonde Hataa nkifulia Oooh Bebi unashow za ng'ombe mbuzi wanakimbia Nauosha hu mwogo wa jang'ombe Leta sufuria Baby usijipe stressi We...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Ha ha ha
0 Reactions
9 Replies
840 Views
Kama ilivyo ada kuanzia kesho kutakuwa na muendelezo wetu wa Mada ya JF hard talk, Tulishahoji baadhi ya member wengi sana kupitia mada hii kama kina FaizaFoxy @Da'Vinc Malcom Lumumba zitto...
2 Reactions
7 Replies
967 Views
Lusajo umeadimika na kumbe umebadilisha avatar
0 Reactions
3 Replies
696 Views
Je ni namba 1, 2, 3 au4? Kama wewe ni genius kweli tunaomba utoe jibu kwenye hii picha.
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Na we tupia yako
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Naona mnalia lia sana pm. Nasikitik kwamba pm huwa sijibu sms au kuendeleza majadiliano huko Uzi wenu ni huu unaweza kujaribu bahati yako Karibuni hapa mnitongoze jamani, napenda kutongozwa mie😜
2 Reactions
323 Replies
23K Views
Aman iwe kwenu wapendwa Kwanza kwa kuondoa utata Mimi siyo Wa Kilimanjaro Mimi ni msukuma Wa mwanza lakin Niko huku Kilimanjaro tumekuja huku na mjomba kusalimia wakwe zake maana kaoa huku...
18 Reactions
217 Replies
21K Views
1. Ni bei ya sato kilo moja 2. Kuku wa nyama mmoja 3.kilo 2 za nyama ya ng'ombe 4.Sukari kilo 3 5. Donna kilo 4 6. Mchele kilo 4 super kabisa 7. Maziwa ya ng'ombe lita 4 8. Soda take away 10 9...
16 Reactions
80 Replies
6K Views
Mavoko amefunguka hayo akiteta na B dozen.
2 Reactions
44 Replies
7K Views
Yaani hawa wadada wakishapata simu ni shida tupu .wanaongea kuliko customer care wa Tigo. Kuwapa simu inakuwa shida. Tutawaachaje nyumbani na watoto bila simu Sasa? Yaani hata ukimtafuta simu iko...
9 Reactions
128 Replies
12K Views
Oii Oii (In Kalapina's voice) Direct to the point. Umeenda kutembea somewhere. Umekaribishwa vizuri kama mgeni. Full maukarimu. Muda wa kulala unawekewa mashuka mapya. Yani yametolewa kabatini...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Bado nipo nafanya ziara huku mikoani. Bado nipo Songea, ila nimeexperience mambo ambayo yamenishangaza. 1. Kupanda gari inabidi huwe na namba ya dereva au kondakta. -->> Ili sio kosa lao...
16 Reactions
93 Replies
7K Views
As i lie down my bed the whole day today, all I am thinking of, is u mama! Nakukumbuka sana mama yangu. Wakati mwingine siku inakuwa mbaya, nzito, chungu sana, natamani hata ungekuwepo...
8 Reactions
51 Replies
3K Views
Back
Top Bottom